Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Facebook ni sawa na mtu kutoka nje jioni ukapita mitaani kusalimiana na majirani, kupata habari, kupunguza stress, sioni kosa la spika liko wapiUtoto una ukomo wake! Tabia za kujipost FB ni utoto
Trump rais wa Marekani anapost almost daily tena kuna wakati anawakejeli wapinzani huko FB, unaweza kuleta sababu tofauti ya kumshauri aache kupost Fb lkn kusema eti awe busy na kupitia kanuni za bunge haina mashiko kwasababu huyu mama ameprove yuko vizuri kwenye sheria na taratibu za bunge na sheria kiujumla. Mambo ya mitandaoni ni maisha yake binafsi muache mama wa watu.
Yule ni Trump wa Marekani. Wana desturi de
Kwahiyo ulitaka akomae na sheria 24/7 bila hata kurefresh mind kwenye social media,hayo ni maisha yake binafsi ili mradi tu havunji sheria...Tunasahau Nae ni Binadamu nae ana Mambo yake anapenda Ile ni account Binafsi na nadhani Posts za Pale ni her own View, Sasa who are you to Judge her aisee?
Let her live
🤣 🤣 🤣
🤣 🤣 🤣Kwahiyo ulitaka akomae na sheria 24/7 bila hata kurefresh mind kwenye social media,hayo ni maisha yake binafsi ili mrafi tu havunji sheria...
Hakuna mtu kasema ni mbaya, ila mtu mzima kuposti posti ni utoto. Hata wewe kama unafanya hivyo na umevuka miaka 40, jitambue kuwa bado una akili za kitoto. Hilo halina ubishiFacebook ni sawa na mtu kutoka nje jioni ukapita mitaani kusalimiana na majirani, kupata habari, kupunguza stress, sioni kosa la spika liko wapi
Wewe ndiye unaiona Facebook ni mbaya, sio lazima wote tuione mbaya
Ana utoto sanaJamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hakunaga private life ukiwa public figure ukumbuke.Private life
Kwani lazima muangalie? Fanyeni yenu nae muacheni na yake.Kama angekuwa anapost mambo ya msingi ingeleta maana na sio ule ujinga ambao huwa anapost.
Mie mbona sijawahi kuona hata akaunti yake, kwani nyie huwa mnatafuta nini huko?Tulia Jackson amekaa kilimbukeni sana.
Anajipost hovyo hovyo na vijinyimbo vya ajabu
Aacha uzwazwa mtumishi/kiongozi wa uma usimfananishe na mfanyabiashara, maadiri ni tofauti labda kama wewe ni mbumbu, Elon mask anaweza kutembea kifua wazi akishangilia timu yake lkn Mwigulu akifanya hivyo adharani ni maajabu.Wewe umepata wapi muda wa kumuanzishia Uzi?
Hiyo ni private life yake,wewe haikuhusu,
Dunia ya leo ni mitandaoni,mfano hata tajiri wa Dunia Elon yupo active mitandaoni.
Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji
Jasiri haachi asili. Huyu ni kahaba kiasili hawezi acha kujipost upuuzi.Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Punguani kama wewe usiyejua hata kuandika lugha yako kwa ufasaha,utajadili nini hapa?Aacha uzwazwa mtumishi/kiongozi wa uma usimfananishe na mfanyabiashara, maadiri ni tofauti labda kama wewe ni mbumbu, Elon mask anaweza kutembea kifua wazi akishangilia timu yake lkn Mwigulu akifanya hivyo adharani ni maajabu.
Shida watanzania ni wavivu wa kusoma, hata maadili ya uma,hawajuiAacha uzwazwa mtumishi/kiongozi wa uma usimfananishe na mfanyabiashara, maadiri ni tofauti labda kama wewe ni mbumbu, Elon mask anaweza kutembea kifua wazi akishangilia timu yake lkn Mwigulu akifanya hivyo adharani ni maajabu.
Kumbuka yeye ni mwanamke na bado yuko vizuri, hivyo bado anayo malengo yake binafsi akiwa mwanamke.Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.
Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.
Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.
NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.