Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Tulia Ackson wewe ni kiongozi mkubwa sana wa Dunia punguza kuposti picha zako Facebook

Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.

Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.

Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.

NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Asingefanya hivyo awamu zilizopita. Ni awamu ya wanawake.
 
Tulia hana lolote. Ni bahati tu kwamba mpumbavu kapata ndondokela ya cheo, ndiyo maana anashindwa kuficha upumbavu wake.
 
Instagram je??? Anapost na vi- caption kama vya akina shilole sometimes.... Anasikitisha
 
Tulia hana lolote. Ni bahati tu kwamba mpumbavu kapata ndondokela ya cheo, ndiyo maana anashindwa kuficha upumbavu wake.
Daaa ni shida sana mkuu, Mungu amsaidie
 
Jamani mimi sijui ni mshamba au ninamaarifa kidogo, huwa napata sana shida kuona kiongozi mkubwa kama Tulia Acksoni, Spika wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na spika wa Dunia, mtu anae ongoza maspika wote wa Dunia hii. Najiuliza anapata wapi muda wa kujipost FaceBook.

Wewe kama mwasheria ungekuwa anajikeep bize katika kupitia sheria, kanuni na mwiongozo ya bunge la Dunia, pamoja na la Tanzania.

Dhahabu inathamani sana ni kwa sbb ni adimu, huwa haipatika mara kwa mara, thamani ya mtu huwa inaongezeka kama watu huwa hawakuoni mara kwa mara.

NB: Wewe ni icon wa Tanzania Duniani, nakushauri punguza kujipost. Thamani Yako inashuka katika jamii ya kitanzania na Dunia kwa ujumla.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kwa kweli anapenda sana kuji post sijui shida ni ipi 😆😆
 
Tanzania kwa wengi hakuna tofauti kati ya mwanasiasa wa kimataifa na dada poa plus plus anayedanga mitandaoni.
 
FB ni ya wanafunzi na wahuni. Yeye anatafuta nini huko? Mshaurini huenda hajui!
 
Tanzania kwa wengi hakuna tofauti kati ya mwanasiasa wa kimataifa na dada poa plus plus anayedanga mitandaoni.
Wamepata bahati ya exposure lakini BAdo wanashindwa kuwa civilized
 
FB ni ya wanafunzi na wahuni. Yeye anatafuta nini huko? Mshaurini huenda hajui!
Ni sahihi mkuu, mtu mwenye akili timamu, mwenye hekima, na maarifa , kiongozi mkubwa hawezi kuposti picha zake fb
 
Back
Top Bottom