Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani bunge likivunjwa wanakufa? Kwahiyo bora kuuzwa kuliko kukosa ubunge? Hii katiba ibadilishwe haraka!Unajiuliza, lengo ilikuwa kuwatisha hao wana ndiyo wenzake ama?!
Unafikiri bunge letu litakuwa na uwezo wa kuisimamia Serikali kwa ulege lege huo?
View attachment 2680325
It has always been that way.Stranger than Fiction...
Hovyo Sana!Unajiuliza, lengo ilikuwa kuwatisha hao wana ndiyo wenzake ama?!
Unafikiri bunge letu litakuwa na uwezo wa kuisimamia Serikali kwa ulege lege huo?
View attachment 2680325
Jiwe alikuwa mpuuzi sana kutuletea mataahira wampitishe milele! Babu Tale na wapuuzi wengine! Shenzi type!Spika dhaifu kutokana na mfumo wa katiba yetu.
Unamtunishiaje misuli mwenyekiti wa chama chako ambaye ndiyo anapitisha jina lako kwenye uchaguzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha hizo. Mbona Halima Mdee alikuwa anapiga kura ya kukataa bajeti ya TARULA kuboresha barabara za Mabwepande na Kawe, maagizo ya chama? Na Mbunge Kenan wa Rukwa, na 19 kina Mdee, nao wamezuiwa kuingia bungeni kumsapoti kulia tundulissu aliyeshindwa 87%/13% kweupe mchana?Unajiuliza, lengo ilikuwa kuwatisha hao wana ndiyo wenzake ama?!
Unafikiri bunge letu litakuwa na uwezo wa kuisimamia Serikali kwa ulege lege huo?
View attachment 2680325
Aliyeiba kura akafa. Kamuacha LissuWacha hizo. Mbona Halima Mdee alikuwa anapiga kura ya kukataa bajeti ya TARULA kuboresha barabara za Mabwepande na Kawe, maagizo ya chama? Na Mbunge Kenan wa Rukwa, na 19 kina Mdee, nao wamezuiwa kuingia bungeni kumsapoti kulia tundulissu aliyeshindwa 87%/13% kweupe mchana?
Na wewe unawekaje rehani taifa lako kwa maslahi yako binafsi, kwa mfano?Spika dhaifu kutokana na mfumo wa katiba yetu.
Unamtunishiaje misuli mwenyekiti wa chama chako ambaye ndiyo anapitisha jina lako kwenye uchaguzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CCM huwa wanaona aibu?Tulipofikia ni aibu tupu jamani