peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Robert AmsterdamTatizo si Sugu kushinda Tatizo KUpinduliwa kwa matokeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Robert AmsterdamTatizo si Sugu kushinda Tatizo KUpinduliwa kwa matokeo
Robert AmsterdamTatizo si Sugu kushinda Tatizo KUpinduliwa kwa matokeo
Wakapindue sehemu zingine kama Tanga, Tabora no siyo Mbeya. Mbeya ndiyo sehemu pekee MAGUFULI alilazimishwa kuweka vidole 2 juu ambayo ni alama ya CDM. PATACHIMBIKATatizo si Sugu kushinda Tatizo KUpinduliwa kwa matokeo
Ungeandika wakizunguka na watu walewale wahudhuriaji kutoka kata moja kwenda kata nyingine kufanya mikutano ya hadharaNawaona mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA almaaruf kama 'Rais wa Mbeya ' Sugu' Joseph Mbilinyi na waziri Mkuu wa Mbeya mzee wa UPAKO John Mwambigija mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Mbeya wakipita kata hadi kata.
Mbeya hawataki mkoloni Sugu kabila ingine isiyo ya Mbeya kuendelea kutawala mbeya mjiniWakapindue sehemu zingine kama Tanga, Tabora no siyo Mbeya. Mbeya ndiyo sehemu pekee MAGUFULI alilazimishwa kuweka vidole 2 juu ambayo ni alama ya CDM. PATACHIMBIKA
Unalo faili mirembeMbeya hawataki mkoloni Sugu kabila ingine isiyo ya Mbeya kuendelea kutawala mbeya mjini
Mkoloni Sugu safari hii lazima afungashwe virago akatawale kwao sio mbeya
Tulia usingishe tako sindano ikikatika unaloMmeingiza tu sauti kwa hao watu.
Wa kumnyoa bado hayupo mbeyaJipe moyo, subiri Huyo jamaa wenu sijui gusu anyolewe ipasanyo
Katambi???Tulia, Gwajima Na Mrisho Gambo ni mojawapo ya watu ambao watapigwa kabla jogoo hajawika!
Huyo nae CHADEMA wakijipanga kulinda kura mapema tuKatambi???
Uchaguzi huu wamepewa maelekezo maalum.Kabla ya hapo Mbeya jiji haikuwa na mkurugenzi
Kura 34,000 utaamzaje kuiba kwa mfano!Mbeya wanajitambua, kumbuka Sugu alipata kura 100,000 katika kura 166,000 za Mbeya Mjini mwaka 2015 dhidi ya Wakili Sambwe Shitambala.
Ulipotelea wapi Chief?
Karibu sana!
Labda CCM wa Dodoma ndiyo watanyima Sugu. Mbeya Sugu anapata kura nyingi kutoka kwa wana CCM wenyewe.Huu wimbo na haya maneno yanatoka kwa wanachama wa Chadema. So hiko walichoimba hakitakiwi kua kipimo cha kukuletea conclusion.
Ni kama ukute ccm wakiimba kua hawamtaki Sugu.