Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
most of the voters in Tanzania are undecided voters, subiri siku ya kura kuhesabiwa na matokeo kutangazwa hii misafara isikuyumbishe. TRUMP alishinda uchaguzi lakini mwanzoni ilikuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hujaijua Mbeya bado na hujamjua Sugu bado.most of the voters in Tanzania are undecided voters, subiri siku ya kura kuhesabiwa na matokeo kutangazwa hii misafara isikuyumbishe. TRUMP alishinda uchaguzi lakini mwanzoni ilikuwaje?
HahahahaSasa hukumuona alivyokuwa anacheza netball kapiga ukaptura..ni hatari sheikh
Hiyo number 4 ni mwibaCCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anatokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia Mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu.
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao.
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwakandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini.
Si wanawategemea policeMkurugenzi kapewa zigo la mavi hapo. Sijui atafanyaje aisee.
Wewe ni takataka tu huwezi kutupangia. Sugu ni Mbeya na Mbeya ni Sugu, hicho kidudu mtu chenu kipeni Jimbo la IkuluJipe moyo, subiri Huyo jamaa wenu sijui gusu anyolewe ipasanyo
Wewe ni jalalaa huwezi kuwaongelea wanambeya mitandaoniWewe ni takataka tu huwezi kutupangia. Sugu ni Mbeya na Mbeya ni Sugu, hicho kidudu mtu chenu kipeni Jimbo la Ikulu
Umesema "YESU NI BWANA" JE, Wewe Ni mke wa Yesu??Ila na wewe evil spirit unafanya nini humu jukwaani si uende kwako kuzimu ukale tabu na wenzio mapepo wachafu na majini muendelee kumtumikia baba yenu ibilisi!??
YESU NI BWANA.
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anatokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia Mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu.
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao.
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwakandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini.
Si umesikia kuwa hata wale aliowakopesha boda boda na bajaj kupitia Tulia Trust Fund wanapeperusha bendera za CDM!! Imemuuzi kaamua kuwanyang'anyaTulia kaandaliwa fungu ili hata akishindwa kuna faulo ichezae ili aonekane ni mshindi kwa kukubarika kwa rushwa zake kupitia TULIA TRUST FUNDS
Mkiongea kisukuma mnasahau neno ukabila😳Mmeanza ukabila sasa? Mmeshindwa kwa hoja!
Yule mgombea wenu wa urais alipowaambia wasukuma kule geita kwamba wamchague yeye msukuma mwenzao hukuuona huo ukabila ??Mmeanza ukabila sasa? Mmeshindwa kwa hoja!