Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa liniMbeya kwenye mtaa kwa mtaa
Kuna uzi wangu wa "DR TULIA ACKSON ALIKWINA , japo Moderator waliuhujumu , kila kitu kimo kwenye uzi uleView attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini
View attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini
Kwa hiyo hapo tu ndo sugu kashinda?View attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini
Okay tarehe 28/10/2020 si mbali bado siku 43!Hich
Hicho kipicha hakina lolote!! Wakipewa t-shirt na kapelo wanavaa. Wakipewa mikopo wanachukua, lakini miouo yao iko na Sugu tu!!
Hich
Hicho kipicha hakina lolote!! Wakipewa t-shirt na kapelo wanavaa. Wakipewa mikopo wanachukua, lakini miouo yao iko na Sugu tu!!
Kabisa,nafuu ya Tulia ni Goli la MkonoView attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini
ahhahahahDuuuu!! Ile flat screen kule nyuma si ndiyo itazidi maana Kwa Hali hii atabakia mifupa tupu
Mwambieni kuwa makaburu wa Afrika kusini waliijenga S.A kama ULAYA, lakini haikuwafanya "WASAUZI" wawapende makaburu kwa UKATILI wao.Subiria matokeo ya mkurugenzi wa jiji.
Maskini Betina mtamuua kwa presha ? Kabla hata ya pambano lake na Zena .View attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini
Tulia hawezi kushinda kwa kura, ila anaweza kutangazwa kuwa mshindi kwa maelekezo toka juuView attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini
Leo utakuwa na ugeni huu nyumbani mwakoIla na wewe evil spirit unafanya nini humu jukwaani si uende kwako kuzimu ukale tabu na wenzio mapepo wachafu na majini muendelee kumtumikia baba yenu ibilisi!??
YESU NI BWANA.
Kwa taarifa tu, kama kuna sehemu damu itamwagika kwa Serikali kulazimisha wabunge wao basi Mbeya na Tarime zitakuwa ndiyo za kwanza kwa Tanzania bara.
Watu wa Mbeya hawatakubali kamwe Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Mbeya Mjini apindue matokeo. Damu itamwagika, ni damu ya nani mimi sijui. Kimsingi Mbeya tunajitambua hatutaki dharau
Let them reap what they sawView attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini