Basi tusubiri 28/10/2020Hujatoa jibu hapo unarukaruka kama popcorn mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tusubiri 28/10/2020Hujatoa jibu hapo unarukaruka kama popcorn mkuu.
Endelea kujifariji tu!!Ndani ya hii miaka hii CCM wamedanganyana mno...!! Sasa wacha wakipate!! Si wa kuonea huruma hawa...unanunua madiwani/ wabunge unasema umekiua chama cha siasa shindani...!! Hii theory ya wapi na ilishawahi kufanya kazi wapi duniani?
Chama cha siasa ni mali cha wanachama. Sasa wenye chama CCM mmeshajua!!
Huyo mkurugenzi akipindua matokeo basi ahakikishe kaondoka dakika hiyo hiyo la sivyo ataenda kumsalimia Kandoro!Kwa taarifa tu, kama kuna sehemu damu itamwagika kwa Serikali kulazimisha wabunge wao basi Mbeya na Tarime zitakuwa ndiyo za kwanza kwa Tanzania bara.
Watu wa Mbeya hawatakubali kamwe Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Mbeya Mjini apindue matokeo. Damu itamwagika, ni damu ya nani mimi sijui. Kimsingi Mbeya tunajitambua hatutaki dharau
Hopeless!Huyo mkurugenzi akipindua matokeo basi ahakikishe kaondoka dakika hiyo hiyo la sivyo ataenda kumsalimia Kandoro!
Mbeya hatupo tayari kucheka na makima
Jitokeze oktoba tukung'oe kend* hizo!Hopeless!
Labda huku JF lakini mitaani wala hutii mguu!Jitokeze oktoba tukung'oe kend* hizo!
Kasome kwanza majibu ya mgombea wako kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege Chato, ukimaliza then uje hapa.Endelea kujifariji tu!!
View attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini
Hizo sababu ni za kipuuzi kabisa,sugu atapigwa mapema sana mtashangaaView attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini
ChomoaMmeingiza tu
Kushinda hata shinda lakini tume itamtangaza, mwanamke ana roho mbaya kama sura yakeView attachment 1569746
CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anapokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwa kandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini
Jawabu la swali unaloulizwa ni muhimu vinginevyo piga kimya ili heshima ibaki pahala pake 😀Basi tusubiri 28/10/2020
Unachekesha sanaDuuuu!! Ile flat screen kule nyuma si ndiyo itazidi maana Kwa Hali hii atabakia mifupa tupu