Wewe nguvu yako iko wapi? Mbona huna hata ya nyuma ya kiboard?Nyie mbuzi mnakuaga na nguvu mkiwa nyuma ya keyboard sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nguvu yako iko wapi? Mbona huna hata ya nyuma ya kiboard?Nyie mbuzi mnakuaga na nguvu mkiwa nyuma ya keyboard sana
Nawakubali sana watu wa MbeyaKwa taarifa tu, kama kuna sehemu damu itamwagika kwa Serikali kulazimisha wabunge wao basi Mbeya na Tarime zitakuwa ndiyo za kwanza kwa Tanzania bara.
Watu wa Mbeya hawatakubali kamwe Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Mbeya Mjini apindue matokeo. Damu itamwagika, ni damu ya nani mimi sijui. Kimsingi Mbeya tunajitambua hatutaki dharau
Kama anaofanya magufuliMmeanza ukabila sasa? Mmeshindwa kwa hoja!
Mkurugenzi kapewa zigo la mavi hapo. Sijui atafanyaje aisee.Tulia lake jiko ,hayo mambo mengine amuachie Sugu
Hilo halina ubishiNi kweli sugu atashinda tena mbeya mjini
Ila Magufuli yuko juu sana kwa ukabila. Yuko against na Mwlm Nyerere aliyekemea sana ukabila.Mmeanza ukabila sasa? Mmeshindwa kwa hoja!
Sasa hukumuona alivyokuwa anacheza netball kapiga ukaptura..ni hatari sheikhDuuuu!! Ile flat screen kule nyuma si ndiyo itazidi maana Kwa Hali hii atabakia mifupa tupu
Kabla ya hapo Mbeya jiji haikuwa na mkurugenziSubiria matokeo ya mkurugenzi wa jiji.
Jeniii jmnn😅😅😅😂Mmeingiza tu sauti kwa hao watu.
Kampeni manager wa tulia, tulia hivyo hivyo huku ukipiga magoti kumuomba baba yenu wa ikulu apindue matokeo.Mmeingiza tu sauti kwa hao watu.
tulia alishindwa kushuka kwa wazee wa tunge kwa kuwaeleza nia yakeMmeanza ukabila sasa? Mmeshindwa kwa hoja!
Unazikosea sana flat screen mkuu, na kwa niaba ya maflat screen yote, nimekusamehe!🤣Duuuu!! Ile flat screen kule nyuma si ndiyo itazidi maana Kwa Hali hii atabakia mifupa tupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subiria matokeo ya mkurugenzi wa jiji.
Mbona huko Rungwe Sophia Mwakagenda anachanja mbuga tu?CCM ilifanya makosa ya wazi kulazimisha Tulia Ackson agombee Mbeya ili kumtoa Sugu. Kuna sababu 4:-
1. Siyo mzawa wa Mbeya kwa kuwa anatokea Rungwe. Hata ukisema Tanzania hakuna ukabila lakini Wasafwa ambao ndiyo wengi hawawezi kumpa kura Tulia Mnyakyusa, bora wampe Mpangwa Sugu.
2. Mfumo dume. Hata kwao Rungwe wasingempa mwanamke kutokana na mila zao.
3. Taswira ya Tulia kama Naibu Spika. Ametumika sana kuwakandamiza wapinzani kwa kuwanyima nafasi ya kuongea, kuwafukuza kwenye vikao na kupuuza hoja zao
4. Kura 100,000 za Sugu za mwaka 2015. Hawa watu waliomfanya Sugu awe the most voted MP bado wapo na Sugu hajawakwaza.
Sioni namna Tulia atapata hata 20% ya kura za Mbeya Mjini.