ryan riz
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 423
- 683
Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.
Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?
Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?
Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.