Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpwayungu village kimebatika kuwa na kituo cha afya Wilaya nzima ya Chamwino.Kule wilaya ya Chamwino,Jimbo la Mvumi Kata zifuatazo hazina vituo vya Afya:-
Igandu, Nghahelezi, Idifu, Mvumi Misheni, Mvumi Makulu, Makang'wa, Fufu, Loje na Nhinhi
Kata zenye Vituo vya Afya katika Jimbo Hilo ni Handali, Mpwayungu na Mlowa, basi!
Mkuu,Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.
Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?
Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
Uliambiwa na nani? Vituo vya afya 400 ndio Kila kata?Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.
Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?
Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
VIEITE oyeeee !!!Hizi tozo ni maalum kwa ajili ya kununua vieitee za kutosha.
“Unaijua vieitee wewe” in Chakubanga’s voice
Sasa hivi tunataka kujenga kituo kimoja mtu mmojaMaana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.
Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?
Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
Ogopa sana hizi:Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.
Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?
Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
Mangi wa Iramba anatembelea L300 LC New Model 2022 mbichi kabisa V6 ya 647millionJamaa wanashindana kununua V8 za milioni 600 moja
Halafu wanyiramba wanaishi kwenye nyumba za tembe na kufanya vibaruaMangi wa Iramba anatembelea L300 LC New Model 2022 mbichi kabisa V6 ya 647million
Vitu vingine ni observation tu mfano kata ninayoishi Mimi kituo Cha afya kikubwa kimejengwa Wakati wa Magu ,palikuwa na zahanati tu .Je wewe unapoishi umeona kituo Cha afya ?Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.
Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?
Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.