Tuliambiwa Magufuli kajenga vituo vya afya kila kata, hivi tunavyoambiwa vinajengwa sasa ni vipi?

Tuliambiwa Magufuli kajenga vituo vya afya kila kata, hivi tunavyoambiwa vinajengwa sasa ni vipi?

Kule wilaya ya Chamwino,Jimbo la Mvumi Kata zifuatazo hazina vituo vya Afya:-
Igandu, Nghahelezi, Idifu, Mvumi Misheni, Mvumi Makulu, Makang'wa, Fufu, Loje na Nhinhi

Kata zenye Vituo vya Afya katika Jimbo Hilo ni Handali, Mpwayungu na Mlowa, basi!
mpwayungu village kimebatika kuwa na kituo cha afya Wilaya nzima ya Chamwino.
 
Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.

Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?

Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
Mkuu,


Ngonjera unazozisikia ni aina fulani ya utapeli (political blackmailing and deception to legitimize them clinging in power)
 
Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.

Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?

Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
Uliambiwa na nani? Vituo vya afya 400 ndio Kila kata?
 
Hizi tozo ni maalum kwa ajili ya kununua vieitee za kutosha.

“Unaijua vieitee wewe” in Chakubanga’s voice
 
Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.

Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?

Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
Sasa hivi tunataka kujenga kituo kimoja mtu mmoja
 
Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.

Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?

Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
Ogopa sana hizi:
1. Niliambiwa
2. Nilijulishwa
3. Nilisimuliwa
4. Nilitangaziwa

Na hasa kama Serikali inahusika!
 
Wakibanwa utasikia vituo vya afya,madarasa na vyoo.

Wameshakariri majibu aisee.
 
Maana inashangaza, pale tulipoambiwa vituo vimejengwa kila kata na mwaziri na wabunge hawa hawa.

Sasa tena mawaziri na wabunge hawa hawa wanasema vituo vya afya vinajengwa kila kata, ina maana vile vya awali vimebomoka ama?

Hebu watuambie wanajenga nini (kama wanafanya ukarabati, wanaongeza majengo labda yale ya awali hayatoshi, ila sio kusema wanajenga vituo vipya wakat tayari wameshatuambia kila kata inakituo cha afya.
Vitu vingine ni observation tu mfano kata ninayoishi Mimi kituo Cha afya kikubwa kimejengwa Wakati wa Magu ,palikuwa na zahanati tu .Je wewe unapoishi umeona kituo Cha afya ?
 
Back
Top Bottom