GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Sawa watetee ila ukweli mnaujuaIssue ni nying, ila sidhan kama kina BYD na kina Great Wall auto wangekuwa wanatengeneza gari mbovu hivo wangedumu
Mzee gari hio inaweza kuwa na shida,Sawa watetee ila ukweli mnaujua
Wachina watu wa hovyo sana
Unajua kwanini hizo kampuni zimepigwa marufuku kuuza gari zao USA?Mzee gari hio inaweza kuwa na shida,
Huwez nambia BYD angedumu kwenye soko kwa kutengeneza gari mbovu hivo
...na starlet pia.Bora nibaki na haka ka Crown kangu.
Unaamini kabisa gari za wachina? HayaChery Omoda 5 hii.. Hatujui kilichoikumba ngumu kujudge.
Hebu angalia hizo picha halafu fanya tathmini yakoUshindani wa kibiashara una mengi
Mtu anayeamini habari za fb ana moyo sana
Unajua bei ya hilo gari?Hebu angalia hizo picha halafu fanya tathmini yako
Siko kibiashara humu ila nawapa tahadhari dhidi ya ghali ilio bei rahisi
Mwehu huyu mleta uziSema mkuu yani we mwenyewe umeleta mada inaonekana bado kabisa unaponda ...hujaleta input kua nini kilitokea mpaka gari ikawa ivyo...yani ume base kwenye lawana tuu
Kichina itakua watuNimeikuta facebook baada ya jamaa kununua gari la kichina kwa wakala huko sauzi
Hakuchukua muda mrefu
Chuma inayoshikilia tairi limekatika
BYD wamefungua kiwanda HungaryMchina baiskeli za umeme zinalipuka kila leo, ila uzuri magari yao hakuna ulaya
Africa tutanunua kwa kitonga chake tu
Ukiangalia kila comment anaponda tu hapo ndio naona ana shida kidogoMwehu huyu mleta uzi