Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Wakati huo sie kijijin kwetu tulikuwa tunalipa 200 na uefa ilikuwa inaoneshwa na channel ten,sijui epl maana nilikuwa sijaanza kuifatilia
 
Alfu muda wote nikisoma akili yangu yote imetwin vijij vya sumbawanga ambavyo nilishi alfu mwalimu mkuu wa shule niliyosoma namuweka kama Bab ako mdgo sijui kwannn jamaa mmoj tolu black HV

Haya endelee bwana mpywangung z
 
Sijui umeishi wapi ambako vitendo vya kiuchaw ulikuwa huvijui wala hata kuhisi
 
Mkuu trudie acha kunichekesha[emoji23][emoji23]

Kwamba jamaa baada ya kuona mnapenda stori za kishoga akaona ni muda wa kupiga pesa![emoji23][emoji23]
Nawewe usije tu ukatuhamishia huko.
Maana tumeshakuwa interested!
 
Hivi yule bondia aliyepigwa KO Jana alizinduka kweli!
 
Acha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
 
Alfu muda wote nikisoma akili yangu yote imetwin vijij vya sumbawanga ambavyo nilishi alfu mwalimu mkuu wa shule niliyosoma namuweka kama Bab ako mdgo sijui kwannn jamaa mmoj tolu black HV

Haya endelee bwana mpywangung z
Mpwayungu chai nyingi
 
Acha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
Kiingilio kilikuwa mia kwa wakati huo wala ajakosea kabisa
 
Nikiunganisha doti naona kama yule demu (Deborah) atakuwa anahusika kwenye kumtandika jamaa (Ema) maana ni kama alimpenda sana jamaa ila mshkaji (Ema) alichukulia poa, na demu (Deborah) alisema atamuonesha na mambo ... sana,

Eniwei twendelee kula mtori tu hizo nyama tutazikuta chini au nasema uongo ndugu zangu?

Sent from my HUAWEI RIO-L01 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…