Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiendelea niiteEndelea....
Mkuu shule za kata zilianza kujengwa 2004 na siyo na 2006Acha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
Acha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
Mkuu weka story tumjue mchawi mlivyomfanyaDaaaah inabidi kwanza nicheke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba shule za kata zimeanza kujengwa mwaka 2005,uwiiiiiiiiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Haki kama ndizo akili hizi familia zenu zinashida sana na omba usije ukapata mtoto akarithi akili zako bora angalau arithi za mama yake zinaweza kumsaidia[emoji23][emoji23].
Hivi ulikuwa unajua MPANGO WA MAENDELEO WA ELIMU YA MSINGI(MMEM) na MPANGO WA MAENDELEO WA ELIMU YA SEKONDARI(MMES),Yale madarasa yalianza kujengwa miaka gani?,ukijua hilo basi jibu utapata Ngedere jike wewe,Kupitia mipango hiyo ndipo tulipata shule za kata Ngedere jike wewe!,Tamko rasmi lilitolewa na aliyekuwa Rais wa Tanzania wa wakati huo Hayati Benjamini Mkapa mwaka 2000 na utekelezaji wake ukaanza Mwaka 2001,sasa tahira kama wewe unakuja bila aibu unasema shule za kata zimeanza mwaka 2005[emoji23][emoji23][emoji23].
Aisee hili Taifa kumbe bado linavijana wapumbavu kiasi hiki[emoji23][emoji23][emoji23].
Halafu hebu njoo utuambie huo mwaka 2004 nyie mlikuwa mnalipa shilingi ngapi kwenye mabanda ya mpira,njoo hapa Moisemusajiografii utueleze![emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaka huo nakumbuka shule songea tulikuwa tunanunua sahani ya wali tsh. 100 na unapewa na ofa ya chai baadhi ya mgahawa. Nadhani itakuwa ndio hiyo😂😂Wewe ndiye huna akili, unadhani thamani ya Tsh 100 kwa sasa ni sawa na mwaka 2005 kurudi nyuma?
Hayo maandishi meengi kwa ajili ya nini?Acha upambaff!Daaaah inabidi kwanza nicheke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba shule za kata zimeanza kujengwa mwaka 2006,uwiiiiiiiiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Haki kama ndizo akili hizi familia zenu zinashida sana na omba usije ukapata mtoto akarithi akili zako bora angalau arithi za mama yake zinaweza kumsaidia[emoji23][emoji23].
Hivi ulikuwa unajua MPANGO WA MAENDELEO WA ELIMU YA MSINGI(MMEM) na MPANGO WA MAENDELEO WA ELIMU YA SEKONDARI(MMES),Yale madarasa yalianza kujengwa miaka gani?,ukijua hilo basi jibu utapata Ngedere jike wewe,Kupitia mipango hiyo ndipo tulipata shule za kata Ngedere jike wewe!,Tamko rasmi lilitolewa na aliyekuwa Rais wa Tanzania wa wakati huo Hayati Benjamini Mkapa mwaka 2000 na utekelezaji wake ukaanza Mwaka 2001,sasa tahira kama wewe unakuja bila aibu unasema shule za kata zimeanza mwaka 2005[emoji23][emoji23][emoji23].
Aisee hili Taifa kumbe bado linavijana wapumbavu kiasi hiki[emoji23][emoji23][emoji23].
Halafu hebu njoo utuambie huo mwaka 2004 nyie mlikuwa mnalipa shilingi ngapi kwenye mabanda ya mpira,njoo hapa Moisemusajiografii utueleze![emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hapo kuna tofauti gani mkuu.Hesabu za kukaribisha unazikumbuka mkuu?😂😂😂🙏🙏🙏Mkuu shule za kata zilianza kujengwa 2004 na siyo na 2006
Hii ni hadithi au story?Nisikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane
Miaka ya fulani baada ya kumaliza shule ya sekondari,niliamua kwenda kumsalimia Ba'mdogo aliyekuwa mkuu wa shule fulani ya sekondari hapo kwenye hicho kijijini.
Wana kijiji walikuwa wakimpa heshima kubwa Ba'mdogo kwasababu wanafunzi wote waliosoma kwenye ile shule walifaulu kuendelea na elimu ya Sekondari ya upili(Advance),japo shule ile ilikuwa ya kata na kwa mwaka ule nilienda mimi ilikuwa imefaulisha kwa awamu ya kwanza,yaani toka hiyo shule ianzishwe wanafunzi waliokuwa wamefika kidato cha ilikuwa tayari ni mara moja,hivyo nilipofika mimi wale nilowakuta ndo walikuwa wa awamu ya pili.
Sasa kwa mwaka ule wa kwanza wanafunzi wa kidato cha nne walimaliza 12 na wote walifaulu kuendelea Advance tena walienda kwenye shule za vipaji maalumu ikiwemo Ilboru.Sasa wanakijiji kiukweli walimpenda sana Dingi mdogo kwa kujitolea kuwaleta waalimu wa ziada ambao kile kijiji kilikuwa kinawalipa.
Nilipofika nilikuta pale kwa Ba'mdogo kila siku iendayo kwa Mungu ilikuwa inakuja Galoni ya maziwa fresh lita 5, kile kijiji kilikuwa na wafugaji wengi sana wa mifugo ya kila aina! Yaani kumuona mwanakijiji anamiliki ng'ombe elfu 10 ilikuwa kitu cha kawaida,sasa mbali na maziwa, kila Jumapili alikuwa analetewa kuku jogoo mmoja na mwanakijiji.
Ba'mdogo aliwahi kuniambia waliwahi kukaa kikao na wana kijiji wakakubali kila kaya kuwa wanakamua maziwa kulingana na zamu walizokuwa wamewekeana kwa ajili ya mwalimu mkuu ikiwemo kitoweo hicho cha kuku.
Nilipofika mara ya kwanza kwa sababu ya uroho na ulafi, nilikuwa nakunywa yale maziwa kwa wingi kana kwamba kesho hayatokuja mengine,yaani kila niliposikia kiu ya maji mimi nilitwanga maziwa, baadae sasa baada ya kuzoea ilifika sehemu tukawa tunayaangalia na tunaishia kuyamwaga tu maana hakukuwa na wakumpa.
Pale kwa Ba'mdogo baada ya mimi kufika,ni kama nilifanya wapumue maana kazi za hapa na pale nilikuwa nikizifanya mimi, ilikuwa ikifika ijumaa dingi mdogo alikuwa akiondoka kuelekea mjini kwa familia yake na ikifika jumapili jioni alikuwa akilejea.
Sasa kwa wakati huo dingi mdogo alikuwa akiishi na bwana mdogo mmoja alikuwa wa rafiki yake ambaye baada ya kufeli shule mahali fulani alimpatia namba na jina akawa amerudia pale kidato cha pili,hivyo nilipofika mimi tukawa watu watatu.
Japo kulikuwa ni kijijini lakini kulikuwa na maisha fulani ya amani sana,kulikuwa na Lambo kubwa ambalo wanakijiji walikuwa wakijipatia maji ya mahitaji yao hapo. Kwa upande wa umeme ulikuwa bado haujafika na wana kijiji walitumia Solar na Majenereta.
Ilipokuwa ikifika wikiendi nilikuwa ninashuka senta kwa ajili ya kuangalia mpira,wakati huo nilikuwa shabiki wa kutupwa wa Arsenal, ingawaje hivi leo sina mahaba kama hapo zamani kwasababu timu haieleweki nini inafanya. Yaani ilikuwa ni bora nilale na njaa kuliko kwenda kuitazama timu yangu pendwa ya Arsenal.
Kwenye ule ukumbi jamaa alikuwa anatumia jenereta na malipo ilikuwa Tsh 100 kwa wakati ule, sasa lile jenereta lilikuwa likiwashwa wakati wa mechi inapoanza tu ili kuokoa mafuta, yale mambo ya kuangalia uchambuzi wa kina Thomas Mlambo na Robert Marawa yalikuwa hayapo.
Sasa nilikuwaga nikimaliza shughuli zangu hapo nyumbani ikifika saa nane mchana,huyoooo naondoka zangu na kurudi mpaka gemu nihakikishe zimeisha ndo narudi nyumbani. Yule jamaa aliyekuwa hapo nyumbani hakuwa mpenzi wa mpira ila alikuwa mpenzi wa papuchi, yaani alikuwa anatembeza stiki si kwa wanafunzi wenzie tu, hadi wanakijiji.
Kutoka hapo nyumbani hadi ufike senta ilikuwa kilomita 3, kwenda na kurudi inakubidi utembee kilomita sita. Kiukweli kile kijiji hakikuwa na ujambazi wala vibaka, shida ya pale ilikuwa Uchawi!
Aiseeee sijawahi kuona asikwambie mtu.
Inaendelea...
- SEHEMU YA PILI (2)b
Sasa awe straight and to the point.Aeleze hadithi za mchawi.Aache kumbwelambwela.Kiingilio kilikuwa mia kwa wakati huo wala ajakosea kabisa
Mimi nimeishia hapo aliposema wanafunzi wote 12 wa shule ya kata walifaulu vizuri tena walichaguliwa kwenda advance shule zenye za vipaji😂😂😂😂Nilipofika hapo tu kwny mfugaji kumiliki ng'ombe elfu 10 nikaacha kuendelea kusoma.
Mchawi atakua amejificha kwenye banda la mpiraSasa awe straight and to the point.Aeleze hadithi za mchawi.Aache kumbwelambwela.
Jamaa ongo kimbwa!Anasimulia kama kizee fulani kivuta bangi.Mimi nimeishia hapo aliposema wanafunzi wote 12 wa shule ya kata walifaulu vizuri tena walichaguliwa kwenda advance shule zenye za vipaji😂😂😂😂
Daaaah inabidi kwanza nicheke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba shule za kata zimeanza kujengwa mwaka 2006,uwiiiiiiiiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Haki kama ndizo akili hizi familia zenu zinashida sana na omba usije ukapata mtoto akarithi akili zako bora angalau arithi za mama yake zinaweza kumsaidia[emoji23][emoji23].
Hivi ulikuwa unajua MPANGO WA MAENDELEO WA ELIMU YA MSINGI(MMEM) na MPANGO WA MAENDELEO WA ELIMU YA SEKONDARI(MMES),Yale madarasa yalianza kujengwa miaka gani?,ukijua hilo basi jibu utapata Ngedere jike wewe,Kupitia mipango hiyo ndipo tulipata shule za kata Ngedere jike wewe!,Tamko rasmi lilitolewa na aliyekuwa Rais wa Tanzania wa wakati huo Hayati Benjamini Mkapa mwaka 2000 na utekelezaji wake ukaanza Mwaka 2001,sasa tahira kama wewe unakuja bila aibu unasema shule za kata zimeanza mwaka 2005[emoji23][emoji23][emoji23].
Aisee hili Taifa kumbe bado linavijana wapumbavu kiasi hiki[emoji23][emoji23][emoji23].
Halafu hebu njoo utuambie huo mwaka 2004 nyie mlikuwa mnalipa shilingi ngapi kwenye mabanda ya mpira,njoo hapa Moisemusajiografii utueleze![emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Jamaa ongo kimbwa!Anasimulia kama kizee fulani kivuta bangi.
Hivi muwe mnajielewa.Kuna shule iloyopo kwenye kata na shule zilizojengwa maalum kwa ajili ya kuziba upungufu wa shule za sekondari miaka ya kati ya 2000(2004-).Sasa kama form nyoya ulikuwa mwaka 1997,ndiyo ubishane na mimi babu yako.Idiot!Bro Achana naye huyo. Humu JF much knows ni wengi na hawajui kitu. Nimeanza form 1 shule ya kata Mwaka 1997 na hiyo shule ilijengwa 1994 kule Morogoro vijijini sasa anabisha na Mgeta Secondary ni shule ya Kata imeanza 1992.
Sasa anashangaa kuingia kwenye vibanda umiza kwa 100 wakati tumeangalia marudio ya mechi ya Simba na Stela Abdijan kwa Tsh 10 mwaka 1993.
Sukari tumepanga foleni kununua na Soda hizi tumenunua Tsh 50. Watoto wa juzi 2000's
Mgeta nakufahamu,tuoneshe mchawi kwanzaBro Achana naye huyo. Humu JF much knows ni wengi na hawajui kitu. Nimeanza form 1 shule ya kata Mwaka 1997 na hiyo shule ilijengwa 1994 kule Morogoro vijijini sasa anabisha na Mgeta Secondary ni shule ya Kata imeanza 1992. Sasa anashangaa kuingia kwenye vibanda umiza kwa 100 wakati tumeangalia marudio ya mechi ya Simba na Stela Abdijan kwa Tsh 10 mwaka 1993. Sukari tumepanga foleni kununua na Soda hizi tumenunua Tsh 50. Watoto wa juzi 2000's