Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Kutokana na comment za wakuu kuwa zinakera sana basi ili kujua tulimfanya nini mchawi kuna link ya telegram utalipia 2000. ( in Victims voice) [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Watu wa kijiji cha wegero huwa hawana akili kama zako za kipumbavu,wewe umetoka Wegero ipi?,ile ninayo ifahamu mimi au wegero ya kichwani hamna kitu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti wegero kwetu!,ACHA KUWAIBISHA WAKAZI WA WEGERO NGEDERE WEWE![emoji1787][emoji1787] wegero kwetu
Atakuwa anatokea maghatini au kitaramanka huyo
 
Kutokana na comment za wakuu kuwa zinakera sana basi ili kujua tulimfanya nini mchawi kuna link ya telegram utalipia 2000. ( in Victims voice) [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yake yake ya mke wa ‘ kaka mwarabu’ aitwaye VICTIM
 
Mkuu Moisemusajiografii naona unapita kila wakati kuangalia stori ya uongo isiyokufurahisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Karibu mkuu kijijini kwetu Kekombyo tunywe togwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Togwa ya mtama?Saa hizi napiga vyombo vyangu nilivyozoea.

Kupita kwenye uzi huu ni kwa sababu mnani-quoteMkiacha nami nitawaacha muendelee kupeana porojo.
 
Togwa ya mtama?Saa hizi napiga vyombo vyangu nilivyozoea.Kupita kwenye uzi huu ni kwa sababu mnani-quoteMkiacha nami nitawaacha muendelee kupeana porojo.
Mkuu Moisemusajiografii unakung'uta vyombo lakini karoho kako kila muda kanakukimbiza kwenye uzi wa Umughaka![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwagilia moyo mkuu[emoji23]
 
Mkuu Moisemusajiografii unakung'uta vyombo lakini karoho kako kila muda kanakukimbiza kwenye uzi wa Umughaka![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwagilia moyo mkuu[emoji23]
Sasa,jamaa yangu,babu,kwa nini niwe na inda/kuchukia uzi huu?Ntakuwa mura musasi! Anayekataa changamoto ni mtoto tu. Mtu mzima unaweza kutukanwa, kubezwa na lolote lile na bado ukawa mbishi tu.
 
Back
Top Bottom