Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mtengenezaji aliuza sana hivi vijitochiTaa au tochi ya sola niliyozungumzia ni hii hapa wakuu[emoji116]View attachment 2373681
Atakuwa anatokea maghatini au kitaramanka huyoWatu wa kijiji cha wegero huwa hawana akili kama zako za kipumbavu,wewe umetoka Wegero ipi?,ile ninayo ifahamu mimi au wegero ya kichwani hamna kitu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti wegero kwetu!,ACHA KUWAIBISHA WAKAZI WA WEGERO NGEDERE WEWE![emoji1787][emoji1787] wegero kwetu
Yake yake ya mke wa ‘ kaka mwarabu’ aitwaye VICTIMKutokana na comment za wakuu kuwa zinakera sana basi ili kujua tulimfanya nini mchawi kuna link ya telegram utalipia 2000. ( in Victims voice) [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimefurahi how your mental is gravitating to that stuffsMalizia story, Deborah alimfanya nini Emma?
Beberu punga mafi yakoMimi beberu.Weye ni mbuzi jike.
Haisaidii.Itaendelea kueleweka weye ni mama mzazi wa mbuzi wadogo.Beberu punga mafi yako
Mkuu Moisemusajiografii naona unapita kila wakati kuangalia stori ya uongo isiyokufurahisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haisaidii.Itaendelea kueleweka weye ni mama mzazi wa mbuzi wadogo.
Togwa ya mtama?Saa hizi napiga vyombo vyangu nilivyozoea.Mkuu Moisemusajiografii naona unapita kila wakati kuangalia stori ya uongo isiyokufurahisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu mkuu kijijini kwetu Kekombyo tunywe togwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Moisemusajiografii unakung'uta vyombo lakini karoho kako kila muda kanakukimbiza kwenye uzi wa Umughaka![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Togwa ya mtama?Saa hizi napiga vyombo vyangu nilivyozoea.Kupita kwenye uzi huu ni kwa sababu mnani-quoteMkiacha nami nitawaacha muendelee kupeana porojo.
Sasa,jamaa yangu,babu,kwa nini niwe na inda/kuchukia uzi huu?Ntakuwa mura musasi! Anayekataa changamoto ni mtoto tu. Mtu mzima unaweza kutukanwa, kubezwa na lolote lile na bado ukawa mbishi tu.Mkuu Moisemusajiografii unakung'uta vyombo lakini karoho kako kila muda kanakukimbiza kwenye uzi wa Umughaka![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwagilia moyo mkuu[emoji23]