Ihayabuyaga
JF-Expert Member
- Aug 22, 2011
- 481
- 530
Basi tiletee mwendelezo tataMkuu Dindai yangu ilikuwa jana!,Nilikuwa kidogo nawashangaa majirani wanavyo tahiriwa bila ganzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tiletee mwendelezo tataMkuu Dindai yangu ilikuwa jana!,Nilikuwa kidogo nawashangaa majirani wanavyo tahiriwa bila ganzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]nahene fazaMkuu Chakula Kibaya subiri nikupikie chakula kitamu ule ushibe [emoji23][emoji23]
Kama unadanganywa unatafuta nini kwenye huu uzi.....kasome thread zingine hukoAcha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
Usilete story zako za uongo uongo hapaWatu wa kijiji cha wegero huwa hawana akili kama zako za kipumbavu,wewe umetoka Wegero ipi?,ile ninayo ifahamu mimi au wegero ya kichwani hamna kitu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti wegero kwetu!,ACHA KUWAIBISHA WAKAZI WA WEGERO NGEDERE WEWE![emoji1787][emoji1787] wegero kwetu
Haya tuendelee sasa shusha vituuuMkuu Dindai yangu ilikuwa jana!,Nilikuwa kidogo nawashangaa majirani wanavyo tahiriwa bila ganzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu wegero kwetu unaufahamu mpumbu paka?,wewe cheza sasa uje uone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usilete story zako za uongo uongo hapa
DuhWachawi ni wakorofi sana
Umenikumbusha kuna jamaa baada ya kufika shinyanga karibu na gamboshi wakapewa story za gamboshi na wakaelekezwa hata hapakuwa mbali kihivyo,sasa siku material ya ujenz yameisha hawakuwa na kazi wakaamua watembee tembee na wakaamua wakapaone gamboshi walitembea sana mpaka ikafika jion na hawakupafikia mpaka wakakata tamaa ikabid warudi,ile kurudi hata nusu saa haikuisha wakawa wamefika shuleni walipokuwa wanafanya ujenzi,hao jamaa kesho yake waliamka wamenyolewa vipara
Story za kufikirika tombanyoko usizilete tena humuMkuu wegero kwetu unaufahamu mpumbu paka?,wewe cheza sasa uje uone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu 0ozg Tz wewe acha asikwambie mtu,sikuhiyo tulitembea kishenzi,kumbe tulikuwa tunafanyiwa kiini macho na waluga waluga walikuwa pembeni wanatuchora tu!,nitaeleza vizuri![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wachawi ni wakorofi sana
Umenikumbusha kuna jamaa baada ya kufika shinyanga karibu na gamboshi wakapewa story za gamboshi na wakaelekezwa hata hapakuwa mbali kihivyo,sasa siku material ya ujenz yameisha hawakuwa na kazi wakaamua watembee tembee na wakaamua wakapaone gamboshi walitembea sana mpaka ikafika jion na hawakupafikia mpaka wakakata tamaa ikabid warudi,ile kurudi hata nusu saa haikuisha wakawa wamefika shuleni walipokuwa wanafanya ujenzi,hao jamaa kesho yake waliamka wamenyolewa vipara
Tulichomfanya Yule Mchawi hatokuja kusahau kamwe! - 7.
Tulitembea kwa muda kidogo hatimaye tukawa tumefika kwao Deborah,sasa tulipofika mbwa walianza kubweka sana,kwakuwa jamaa alikuwa akifahamika pale,aliwapigia wale mbwa mruzi hatimaye wakawa wanamfuata wakitikisa mikia.
Tulisonga mpaka kwenye kile kinyumba alichokuwa anakaa debora na mdogo wake,sasa kwa muda ule alikuwa debora mwenyewe na yule mdogo wake nadhani alilala nyumba kubwa.Ema alianza kugonga mlango hatimaye binti wa watu alifungua!.
Ema "Ulikuwa umelala?"
Debo "mmh" aliitikia huku akipiga miayo.
Basi nilimwambia Deborah aniletee kiti mie nikae kwa nje kama wao walikuwa na mazungumzo marefu,Debo akanitaka niingie tu ndani!.Basi niliingia ndani hatimaye taa ya chemri ikawashwa,sasa kwakuwa hakukuwa na mazungumzo yeyote ya maana,mimi ilibidi nijiongeze nitoke nje ili jamaa achakate papuchi.
Nilitoka nje nikakaa kwa muda kama saa nzima.Walipotoka ili kupotezea nikajifanya kama najipigisha mruzi wa uongo na kweli ili kupotezea.Nilimuona jamaa ni mshamba sana kwasababu hawezi kunitembeza usiku wote huo kisa tu yeye anakwenda kuchakata papuchi kwa demu wake,nilichukia sana lakini ikabidi nivunge tu.Mimi nilidhani wanakwenda kuzungumza vitu vya maana ambavyo ilinipasa niwepo ili nitoe ushauri kumbe ilikuwa ni uchakataji wa papuchi.
Basi bana hatukumaliza muda debo akawa anatusindikiza,sasa tulipotoka nje ya fensi ya miti ya boma lao ilibidi nimgusie kuhusu yule binti ambaye nilimuona lamboni akiwa anafua.Sasa baada ya kuwa nimempa specifications za namna yule binti alivyo,debo alicheka sana.
Debo "Jamani shem,mwanamke gani yule sasa"
Ema akadakia "Kwani ni nani?"
Debo "Si yule Mwise!"
Ema "Wewe umejuaje ni Mwise?"
Debo "Sasa ni nani Pale shuleni mwenye matako makubwa kama siyo Mwise?"
Basi kwa namna nilivyomuelezea Debora namna yule binti alivyo alikuwa ameshamfahamu kabisa.Sasa mimi kiukweli yule binti nilitokea kumtamani sana kulingana na umbo lake namna lilivyokuwa,kiukweli sura ilikuwa ya baba yake(mbaya) lakini umbo lilikuwa la mama yake(zuri),Kuhusu sura kwangu haikuwa tatizo,mimi nilichotaka ni kuchakata papuchi tu!.
Debo "Shem yule hata hakufai,hata hamuendani!"
Mimi "Shem mbona yupo freshi tu!"
Debo "Yaani ulivyo smati hivyo utembee na yule binti?,hapana kwa kweli"
Debo "Wewe usijali shem mimi nitakupa rafiki yangu,ni mzuri kweli nahisi utampenda"
Basi kiukweli yale maneno ya Debo ni kama yalitaka kunikata stimu lakini moyoni bado tamanio langu ni kuwa na mtoto Mwise matako makubwa maana ndivyo vitu nilivyokuwa nikivipenda kwa miaka hiyo!.Kweli,baada ya yale mazungumzo tuliondoka kurejea nyumbani kama kawaida,hiyo ilikuwa yapata saa 5 usiku.
Sasa kuna siku mwanakijiji mmoja alileta Jogoo mkubwa pale nyumbani,kama nilivyosena hapo awali ya kwamba,pale kwa Headmaster wakati ule kila siku alikuwa analetewa kidumu cha maziwa fresh cha lita tano na kila wikiendi alikuwa akiletewa kuku na wanakijiji tofauti tofauti,hii ilikuwa ni kama bonasi ya Mwalimu mkuu kwasababu ile shule ilikuwa ikifanya vizuri kimasomo.Sasa wikiendi hiyo headmaster hakwenda mjini kama kawaida yake,nilimchinja yule Kuku na hatimaye mchana tukawa tume mla tukabakiza mboga ya usiku.
Baadae mida ya mchana saa 8 ba'mdogo akasema anashuka senta na baadae angerudi na mama mdogo kwasababu walikuwa wanatokea mjini kuja hapo kijijini,hivyo akasema angekaa huko mpaka mida atakayompokea mke wake waje nae.Pale kijijini kulikuwaga na gari aina ya Hiace ambayo ilikuwa ikitoka mjini inalala hapo na kesho yake inaondoka,hivyo kama ulikuwa unakwenda mjini na hiyo gari ikikuacha basi inakubidi uhairishe safari.
Ba'mdogo "Hiyo mboga muiche kwa ajili ya wageni,nyie chambueni dagaa ambazo mtalia ugali usiku"
Mimi "Sawa baba"
Basi bana huo mchana nikaingia zangu kupumzika,Ema yeye alikuwa ameenda madarasani huko kusoma na wanafunzi wenzie.Ilipofika saa kumi na moja nikaanza kutengeneza dagaa kwa ajili ya kitoweo cha usiku.
Ilipofika saa 12 niliwasha jiko ili sasa nipashe yule kuku tuliyemla mchana halafu baada ya hapo nipike wale dagaa.
Nimeenda kuchukua sufuria ile ili niweke kwenye jiko nakuta ni nyepesi mno,kufungua mfuniko na kutazama ndani nakuta mboga hamna,ilikuwa ni mifupa tu inanikodorea macho!,yaani hata mchuzi ulikuwa umelambwa wote!.Nilishituka sana na nikajiuliza hiyo mboga ni nani atakuwa amekula?
Nilitoka nje ili niende pale darasani kumshitua Ema kumuuliza yawezekana yeye ndiye aliyekula ile mboga ili headmaster atakaporudi aweze kujibu.
Sasa wakati nakwenda kule madarasani nikamuona na yeye akiwa anakuja.
Mimi "Ndo mnatoka?"
Ema "eeenh ndo tumemaliza pindi"
Mimi "Yule kuku ulimla wewe?"
Ema "Kuku?,kuku yupi?"
Mimi "Si ile mboga tuliyokula mchana"
Ema "Kwani imekuwaje?"
Mimi "Aiseee twende ukajionee mwenyewe".
Basi tulipofika ndani moja kwa moja jikoni.
Ema "Daaaah sa nani kala?"
Mimi "mimi sijui,nimelala mchana nikaamka ili niipashe ndo kama unavyoona".
Mimi "Na dingi alisema anakuja na mama mdogo,sasa sijui itakuaje maana alisema kuku tuache kwa ajili ya mgeni na sisi tupike dagaa"
Tuliendelea kutazamana pale tusijue cha kufanya.Nilimwambia Ema tutamwambia dingi kilichotokea lakini Ema ni kama alisita sana.
Ema "Wewe headmaster humjui vizuri,usione anakuchekea hapa ukamfanyia utani,niulize mimi"
Mimi "Yule ni baba yangu mdogo na nina mfahamu vema,sasa kama hatujala sisi tufanyeje?
Ema "Yule hawezi kuamini kaka"
Ema "Sikiliza,mimi ngoja nikimbie kwao Debo nimwambie anikamatie kuku tuje kuchinja,vinginevyo itakuwa hatari"
Mimi "Mbona kama muda umeenda sana,na wao nadhani wanaweza kuwahi kurudi"
Ema "Headmaster namjua,hawezi kurudi saa hizi,hapo mpaka ngoma tatu ndo unamuona hapa na mkewe"
Basi jamaa ilibidi aondoke anakimbia kwenda kwa demu wake kufata kuku wakuja ku-replace.Kiukweli ile hali haikuwa ya kawaida kabisa,pamoja na vile vitisho lakini wanaume bado tuliendelea kukomaa!.Ilipofika mida ya saa moja usiku nilikuwa nikismubiri jamaa lakini sikuona,sasa baada ya kupika wale dagaa na jamaa alikuwa haonekani,niliona nikimbie nimfuate,nilisema yawezekana alipofika kwa demu wake uchakataji ukaanza akasahau mambo ya kuku.
Nikafunga mlango nikaondoka zangu,nimetembea sana bila kukutana na jamaa njiani,nilikuwa nimekasirika sana na hakuna siku niliyomuona jamaa ni mpumbavu kama siku hiyo,sasa nimefika kwao Deborah nakuta jamaa amekaa kwenye kiti tena amekunja kabisa nne.
Mimi " Sasa ema umefika tena umekaa?"
Ema " Hapana kaka sijakaa kama unavyodhani,Deborah amesema anampika kabisa ili tukifika sisi ni kusonga ugali tu kaka"
Basi ikabidi nikae tusubiri huyo kukua aive,kiukweli nilikuwa nimechukia sana kwa namna jamaa ambavyo alikuwa hachukulii vitu serious!.
Sasa tumekaa pale mpaka mida ya saa tatu usiku ndipo kuku akawa ameiva,nilikuwa nawaza tukimkuta dingi kafika tutamueleza tulikuwa wapi!.
Baada ya Deborah kutukabidhi yule kuku kwenye hotpot tukaanza mwendo wa kutembea haraka kuwahi nyumbani,sasa cha ajabu tulitembea sana lakini tukawa hatufiki,Aisee kiukweli wasukuma nawanyooshea mikono.
Yaani fikiria tunatembea lakini kila tukiangalia hatufiki,sasa nikamwambia jamaa "hebu tusimame kwanza".
Mimi "Isije kuwa hii njia tumeichanganya Ema".
Ema " Kaka njia ndiyo hii".
Mimi "Mbona sasa tumetumia muda mrefu sana?"
Jamaa akaniambia "twende nzetu tutafika kaka,najua una kimuhe muhe cha dingi yako".
Jamaa alikuwa anafanya masihara lakini kiukweli tulipiga sana makitaimu.
Sasa wakati tunatembea hatuna hili wala lile,tukasikia sauti nyuma yetu ikiita "Emaaa mpenziiii".
Aiseee sitakuja kuisahau ile siku,kila mtu alipita chocho lake na tulikutana nyumbani asubuhi.
Msaghane wegero kwetu kana ghanu ghonswe nihi gharure?[emoji23][emoji23][emoji23]Story za kufikirika tombanyoko usizilete tena humu
Namakaro mura taleta ibhinto oni umwene nkoghanyande hahaaaaaaMsaghane wegero kwetu kana ghanu ghonswe nihi gharure?[emoji23][emoji23][emoji23]