Ihayabuyaga
JF-Expert Member
- Aug 22, 2011
- 481
- 530
Kumbe ni mosaghane....nilidhani nù-umurisia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msaghane wegero kwetu kana ghanu ghonswe nihi gharure?[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni mosaghane....nilidhani nù-umurisia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msaghane wegero kwetu kana ghanu ghonswe nihi gharure?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngutunyiii layoki kurumbafuNamakaro mura taleta ibhinto oni umwene nkoghanyande hahaaaaaa
Nyege inazidi nguvu ya uchawi si mchezoTulichomfanya Yule Mchawi hatokuja kusahau kamwe! - 8.
Niliruka nikaingia kwenye shamba la mahindi ambayo bado yalikuwa madogo kiukweli nilikimbia sana na sikufahamu nilikuwa naelekea wapi!.Nilifika sehemu ambapo kulikuwa na kimlima ikabidi nisimame nishike magoti huku nikiwa nahema kama mbwa!.Sasa akili iliporudi nikaanza kujiuliza hivi nilichokuwa nina kimbia ni nini?,kwanini nikimbie kama labda nimeua mtu?,lakini pia aliyefanya na mimi kukimbia alikuwa Ema baada ya kushituka akaanza kukimbia ndipo na mimi kuitafuta njia yangu!.
Basi nikaanza kuteremka kurudi nilikotoka,nilitembea kwenye yale mashamba usiku ule bahati nzuri hakukuwa na giza kubwa ambalo lingezuia mimi kutazama vizuri!,nilijaribu kuitafuta njia ya kuelekea nyumbani lakini sikuweza kuifahamu maana nilikuwa nimekimbia umbali mrefu!.Sasa wakati natembea ili kulitafuta barabara kuu ambalo pengine lingenipa muongozo wa kuelekea nyumbani,mara ghafla nikasikia watu zaidi ya mmoja wakiwa wanakuja wanazungumza,ikabidi nilale chini ili wasinione maana ilikuwa usiku pengine kuhisi mimi ni mwizi!.Wale watu walipita walikuwa wakizungunza mambo yao tu kwa lugha ya kisukuma,nilipoona wamefika mbele na mimi sasa nikaanza kuwafuata kwa nyuma nikisi uenda ile njia ingenirudisha mpaka mahali ambapo nilikuwa napatambua ili iwe rahisi kufika nyumbani.
Sasa niliendelea kutembea lakini nikawa naona kabisa naelekea kwenye mazingira ambayo sikuwahi kufika,ikabidi nisimame huku hofu ikitanda,kumbuka mida hiyo ilikuwa yapata saa 4 kuelekea saa 5 usiku.Ikabidi nirudi tena na ile njia,nimetembea sana na hofu ilipokuwa ikizidi nikaanza kukimbia huku napiga mruzi wa uoga ili kujipa matumaini hata kama kuna kitu kibaya basi kiogope.
Ile njia ilinipeleka mpaka kwenye uwanja mmoja ambao ulikuwa ukifanyika mnada kila tarehe 15 ya kila mwezi,nilipofika hapo niliweza sasa angalau kupata picha uelekeo wa nyumbani.Sasa nikatembea ili niende kukamata njia ya uelekeo wa kule lamboni ambako kungenipeleka moja kwa moja hadi nyumbani.
Sasa wakati natembea nikasikia sauti ya kike ikiimba nyimbo kwa lugha ya kisukuma,nilipogeuka kwa mbali kidogo nikaona huyo mtu akawa anakuja uelekeo niliokuwa nikielekea mimi,sikuwa na hofu nilijua ni mpita njia kama mimi.Sasa wakati natembea na yule mtu naye anakuja kwa kasi,alipofika karibu yangu ndipo kumtazama vizuri alikuwa yule binti demu ya Ema,akajifanya kama hajaniona!.
Sasa moyoni nikawa najiuliza,kwanini kila mara mimi hukutana huyu binti?,na mazingira ninayokutana nae siyo mazingira rafiki hata kidogo.
Akanipita na kiukweli sifahamu kama hakuniona au aliniona ila akaamua kuuchuna!.
Mimi "Shem!" Niliita kwa nguvu.
Akasimama akageuka.
Binti "Aah shem,kumbe ni wewe"
Mimi "Unaenda wapi usiku wote huu?".
Binti "We acha tu,mama aliniagiza mahali ndiyo narudi"
Mimi "unawezaje kutembea usiku hivi tena uogopi?"
Binti "Nikuulize wewe maana sisi huku vijijini tulishazoea"
Kale kabinti siyo kwamba kalikuwa kabaya sana,La hasha!,kiukweli kama huna hili wala lile kalifaa kuzugia kwa hapo bushi.
Binti "Mbona upo mwenyewe,mwenzio yuko wapi?"
Mimi "Yuko nyumbani"
Binti "Na huku unatoka wapi?"
Mimi "Kuna mgeni natoka kumsindikiza ndo narudi nyumbani"
Baada ya kukadanganya hivyo mara ghafla kakaanza kucheka sana na kile kicheko hakika kilikuwa cha dharau,na kiukweli sikuelewa maana yake nini.
Binti "mmmh sawa bana utamsalimia mwenzio"
Mimi "Mbona lakini unacheka?"
Binti "Nacheka kwasababu nakuhurumia wewe mwenyewe unawezaje kutembea usiku huu hapa kijijini tena ukiwa mgeni!"
Sasa baada ya kusema maneno yale mara ghafla tamaa ya ngono ikanijia usiku ule na kichwani nikawaza kwakuwa tulikuwa wawili tu yale maeneo ndipo ilikuwa nafasi ya kukadanganya ili kanipatie papuchi nipunguze ugwadu wa muda mrefu.
Mimi "lakini unajua mwenzio huwaga Nakupenda"
Binti "Jamani wewe sini shemeji yangu lakini!"
Mimi "Sawa!,lakini kwani nani atajua!?"
Binti "utaniweza lakini?"
Mimi "nitakuweza,wewe nipe tu japo kidogo hakuna atakayejua"
Yule binti tena akaanza kucheka vilevile kwa dharau ya hali ya juu na sikuelewa lile cheko kwa wakati ule lakini kwa baadae nilikuja kufahamu ni kwanini alikuwa akicheka vile.
Basi nikakasogelea nikaanza kukashika pale huku mimi wakati huo abdala kichwa wazi ametuna kama kijiti!.
Binti "Kwanini tusiende nyumbani kwetu"
Mimi " kwenu ni mbali,wewe tufanye tu hapa kidogo halafu kila mtu aondoke kwao"
Binti "Aliyekwambia kwetu mbali ni nani?"
Mimi "Kwenu sini kule masairo?"
Binti "Jamani,sasa hapo Masairo kwani ni mbali?".
Sasa wakati yeye anasema si mbali,kumbuka pale tulipokuwa nikipiga umbali wa kutoka hapo mpaka kwao,si chini ya kilometa 4 lakini binti anakwambia si mbali.Basi kwakuwa nilikuwa nina hamu ya kuchakata papuchi ikabidi niwe bwege nimkubalie binti tuelekee kwao.
Basi tulitembea na jambo la kushangaza safari tulitembea kidogo tukawa tumefika hapo kwao,nilibaki najiuliza maswali kibao kichwani lakini sikuwa na majibu.
Nikawa najiuliza,kwanini leo hapo Kjijini Masairo pamekuwa karibu kiasi hicho?,au kwasababu nilikuwa nina ugwadu kiasi kwamba sikuona ni mbali?,sasa akili yangu ni kwamba nifike nichakate papuchi na ikiwezekana niondoke nirudi nyumbani hata kama ikiwa ni usiku wa manane,cha msingi nisilale nje tu!.
Sasa tulipofika hapo kwao na binti mara moja akawa amenipeleka kwenye kinyumba cha nyasi ambacho ndani kulikuwa na giza ila chini kulikuwa na godoro limetandikwa.
Binti "Kaa humu unisubiri niende kwa mama kwanza"
Sasa pale nje kulikuwa na moto ambao ulikuwa una fifia fifia ukionyesha yawezekana kulikuwa na watu wakiota muda si mrefu!.
Sikutakaa kabisa kukaa na nikawa tayari kutoka nduki endapo ningehisi hatari,nikasogea kwenye mlango nikawa nachungulia!.
Yule binti akaelekea mpaka kwenye nyumba iliyokuwa imeezekwa kwa nyasi lakini ilikuwa kubwa kiasi,kwa muonekano ni kama ilikuwa chumba na sebule.Alipofika akaanza kugonga mlango huku akiongea kwa lugha ya kisukuma.
Basi alifungua mlango mwanamke mmoja ambaye bila shaka alikuwa mama yake kwa mujibu wa maelekezo yake!.Wakaanza kuongea kwa kisukuma ambapo sikujua walikuwa wanaongea nini!.
Ghafla baada ya maongezi ya yale maongezi yule mama akawa anakuja kule kwenye kile kinyumba nilichokuwamo,sasa ikabidi nitoke pale mlangoni nikarudi kukaa kwenye godoro chini nione nini kilikuwa kinaendelea.Alipofika akaanza kugonga mlango.
Mimi "Karibu"
Mama "Hujambo Umughaka?"
Ooooh!,nikawaza huyu mama jina langu kalijulia wapi?,hata huyo binti yake tu hakuwahi kulifahamu jina langu zaidi ya kuniita shemeji.Sikutaka kuonyesha nimeshangazwa lakini akili kukichwa zikaanza kuchaji ghafla!.
Mimi "Sijambo mama"
Mama "Mwalimu mkuu yeye mzima?"
Mimi "Yeye mzima kabisa"
Mama "Sawa,karibu mwanangu"
Baada ya ile salamu akaondoka zake kuelekea kwake na binti yake alikuja akafunga mlango,kiukweli nilikuwa nina hamu na papuchi lakini ghafla hamu ikawa inakata.Nilijiuliza maswali mengi mno.
Inawezekanaje huyo mama akalijua jina langu?,au uenda alikuwa akifahamiana na ba'mdogo sasa akamtajia jina langu?,lakini bado nilikataa!,inawezekanaje mama ambaye ndiyo ameniona mara moja tu akanichangamkia kiasi kile?,Je ni ulikuwa ni utaratibu wa kabila la kisukuma kuruhusu mabinti zao kuchakatwa ovyo bila mama kuonyesha kuchukizwa?.Mimi nilidhani uenda binti angegombezwa na mama yake mimi kwenda pale lakini mama ndiye alionekana kufurahia ugeni wangu!.
Basi sikuwa na hiyana ikabiti uchakataji uchue nafasi kwa usiku ule,sasa kuna wakati tukiwa tunavuta pumzi baada ya mizagabuano ya muda mrefu,binti anaanzisha stori kikawaida ambazo zilikuwa zinazidi kunichanganya!.
Binti "Unajua mama yangu anakupendaga sana wewe".
Daaah!,kiukweli ile sentensi ya anakupendaga sana wewe ndiyo ikazidi kunichanganya.
Mimi "Kwani mama yako amewahi kuniona wapi?"
Binti "wewe unajiona hapa kijijini kama mgeni wakati unafahamika sana tu"
Binti "wewe si kuna siku ulimsaidia mama kubeba kuni kuleta nyumbani,au umesahau"
Mimi "Hapana,siyo mimi labda mama yako atakuwa amenisahau"
Binti "Mama yangu huwa asahau"
Sasa nikawa navuta picha ni lini nimemsaidia huyo mama kubeba kuni lakini nikawa sikumbuki kabisa,lakini binti akawa anakomaa kwamba ni mimi.
Lakini kuna muda nikasema huenda ikawa kweli,lakini ni siku ipi?,mbona mimi siikumbuki hiyo siku?,na jina langu huyo mama alilijuaje?,Kiumweli maswali hayakuisha ila kwakuwa papuchi ndilo kusudio la mimi kwenda pale,nikasema liwalo na liwe!.
Tumvumilie zaidi. Kuna kona moja ya nchi saa hii wanaishi zama za rais ni mwinyiMimi nilimvumilia nikajua hajui kukadiria. Nilimvumilia tena shule ya kata kuwa na wanafunzi 12 tu, tena wanafaulu wote kwenda vipaji.
Ila kwenye mpira kulipia 100, umeme wa jenereta tena kingamuzi kulipiwa na ni enzi hizi za after shule ya kata. Nikaona huyu kenge hana akili kabisa
EnheeTulichomfanya Yule Mchawi hatokuja kusahau kamwe! - 8.
Niliruka nikaingia kwenye shamba la mahindi ambayo bado yalikuwa madogo kiukweli nilikimbia sana na sikufahamu nilikuwa naelekea wapi!.Nilifika sehemu ambapo kulikuwa na kimlima ikabidi nisimame nishike magoti huku nikiwa nahema kama mbwa!.Sasa akili iliporudi nikaanza kujiuliza hivi nilichokuwa nina kimbia ni nini?,kwanini nikimbie kama labda nimeua mtu?,lakini pia aliyefanya na mimi kukimbia alikuwa Ema baada ya kushituka akaanza kukimbia ndipo na mimi kuitafuta njia yangu!.
Basi nikaanza kuteremka kurudi nilikotoka,nilitembea kwenye yale mashamba usiku ule bahati nzuri hakukuwa na giza kubwa ambalo lingezuia mimi kutazama vizuri!,nilijaribu kuitafuta njia ya kuelekea nyumbani lakini sikuweza kuifahamu maana nilikuwa nimekimbia umbali mrefu!.Sasa wakati natembea ili kulitafuta barabara kuu ambalo pengine lingenipa muongozo wa kuelekea nyumbani,mara ghafla nikasikia watu zaidi ya mmoja wakiwa wanakuja wanazungumza,ikabidi nilale chini ili wasinione maana ilikuwa usiku pengine kuhisi mimi ni mwizi!.Wale watu walipita walikuwa wakizungunza mambo yao tu kwa lugha ya kisukuma,nilipoona wamefika mbele na mimi sasa nikaanza kuwafuata kwa nyuma nikisi uenda ile njia ingenirudisha mpaka mahali ambapo nilikuwa napatambua ili iwe rahisi kufika nyumbani.
Sasa niliendelea kutembea lakini nikawa naona kabisa naelekea kwenye mazingira ambayo sikuwahi kufika,ikabidi nisimame huku hofu ikitanda,kumbuka mida hiyo ilikuwa yapata saa 4 kuelekea saa 5 usiku.Ikabidi nirudi tena na ile njia,nimetembea sana na hofu ilipokuwa ikizidi nikaanza kukimbia huku napiga mruzi wa uoga ili kujipa matumaini hata kama kuna kitu kibaya basi kiogope.
Ile njia ilinipeleka mpaka kwenye uwanja mmoja ambao ulikuwa ukifanyika mnada kila tarehe 15 ya kila mwezi,nilipofika hapo niliweza sasa angalau kupata picha uelekeo wa nyumbani.Sasa nikatembea ili niende kukamata njia ya uelekeo wa kule lamboni ambako kungenipeleka moja kwa moja hadi nyumbani.
Sasa wakati natembea nikasikia sauti ya kike ikiimba nyimbo kwa lugha ya kisukuma,nilipogeuka kwa mbali kidogo nikaona huyo mtu akawa anakuja uelekeo niliokuwa nikielekea mimi,sikuwa na hofu nilijua ni mpita njia kama mimi.Sasa wakati natembea na yule mtu naye anakuja kwa kasi,alipofika karibu yangu ndipo kumtazama vizuri alikuwa yule binti demu ya Ema,akajifanya kama hajaniona!.
Sasa moyoni nikawa najiuliza,kwanini kila mara mimi hukutana huyu binti?,na mazingira ninayokutana nae siyo mazingira rafiki hata kidogo.
Akanipita na kiukweli sifahamu kama hakuniona au aliniona ila akaamua kuuchuna!.
Mimi "Shem!" Niliita kwa nguvu.
Akasimama akageuka.
Binti "Aah shem,kumbe ni wewe"
Mimi "Unaenda wapi usiku wote huu?".
Binti "We acha tu,mama aliniagiza mahali ndiyo narudi"
Mimi "unawezaje kutembea usiku hivi tena uogopi?"
Binti "Nikuulize wewe maana sisi huku vijijini tulishazoea"
Kale kabinti siyo kwamba kalikuwa kabaya sana,La hasha!,kiukweli kama huna hili wala lile kalifaa kuzugia kwa hapo bushi.
Binti "Mbona upo mwenyewe,mwenzio yuko wapi?"
Mimi "Yuko nyumbani"
Binti "Na huku unatoka wapi?"
Mimi "Kuna mgeni natoka kumsindikiza ndo narudi nyumbani"
Baada ya kukadanganya hivyo mara ghafla kakaanza kucheka sana na kile kicheko hakika kilikuwa cha dharau,na kiukweli sikuelewa maana yake nini.
Binti "mmmh sawa bana utamsalimia mwenzio"
Mimi "Mbona lakini unacheka?"
Binti "Nacheka kwasababu nakuhurumia wewe mwenyewe unawezaje kutembea usiku huu hapa kijijini tena ukiwa mgeni!"
Sasa baada ya kusema maneno yale mara ghafla tamaa ya ngono ikanijia usiku ule na kichwani nikawaza kwakuwa tulikuwa wawili tu yale maeneo ndipo ilikuwa nafasi ya kukadanganya ili kanipatie papuchi nipunguze ugwadu wa muda mrefu.
Mimi "lakini unajua mwenzio huwaga Nakupenda"
Binti "Jamani wewe sini shemeji yangu lakini!"
Mimi "Sawa!,lakini kwani nani atajua!?"
Binti "utaniweza lakini?"
Mimi "nitakuweza,wewe nipe tu japo kidogo hakuna atakayejua"
Yule binti tena akaanza kucheka vilevile kwa dharau ya hali ya juu na sikuelewa lile cheko kwa wakati ule lakini kwa baadae nilikuja kufahamu ni kwanini alikuwa akicheka vile.
Basi nikakasogelea nikaanza kukashika pale huku mimi wakati huo abdala kichwa wazi ametuna kama kijiti!.
Binti "Kwanini tusiende nyumbani kwetu"
Mimi " kwenu ni mbali,wewe tufanye tu hapa kidogo halafu kila mtu aondoke kwao"
Binti "Aliyekwambia kwetu mbali ni nani?"
Mimi "Kwenu sini kule masairo?"
Binti "Jamani,sasa hapo Masairo kwani ni mbali?".
Sasa wakati yeye anasema si mbali,kumbuka pale tulipokuwa nikipiga umbali wa kutoka hapo mpaka kwao,si chini ya kilometa 4 lakini binti anakwambia si mbali.Basi kwakuwa nilikuwa nina hamu ya kuchakata papuchi ikabidi niwe bwege nimkubalie binti tuelekee kwao.
Basi tulitembea na jambo la kushangaza safari tulitembea kidogo tukawa tumefika hapo kwao,nilibaki najiuliza maswali kibao kichwani lakini sikuwa na majibu.
Nikawa najiuliza,kwanini leo hapo Kjijini Masairo pamekuwa karibu kiasi hicho?,au kwasababu nilikuwa nina ugwadu kiasi kwamba sikuona ni mbali?,sasa akili yangu ni kwamba nifike nichakate papuchi na ikiwezekana niondoke nirudi nyumbani hata kama ikiwa ni usiku wa manane,cha msingi nisilale nje tu!.
Sasa tulipofika hapo kwao na binti mara moja akawa amenipeleka kwenye kinyumba cha nyasi ambacho ndani kulikuwa na giza ila chini kulikuwa na godoro limetandikwa.
Binti "Kaa humu unisubiri niende kwa mama kwanza"
Sasa pale nje kulikuwa na moto ambao ulikuwa una fifia fifia ukionyesha yawezekana kulikuwa na watu wakiota muda si mrefu!.
Sikutakaa kabisa kukaa na nikawa tayari kutoka nduki endapo ningehisi hatari,nikasogea kwenye mlango nikawa nachungulia!.
Yule binti akaelekea mpaka kwenye nyumba iliyokuwa imeezekwa kwa nyasi lakini ilikuwa kubwa kiasi,kwa muonekano ni kama ilikuwa chumba na sebule.Alipofika akaanza kugonga mlango huku akiongea kwa lugha ya kisukuma.
Basi alifungua mlango mwanamke mmoja ambaye bila shaka alikuwa mama yake kwa mujibu wa maelekezo yake!.Wakaanza kuongea kwa kisukuma ambapo sikujua walikuwa wanaongea nini!.
Ghafla baada ya maongezi ya yale maongezi yule mama akawa anakuja kule kwenye kile kinyumba nilichokuwamo,sasa ikabidi nitoke pale mlangoni nikarudi kukaa kwenye godoro chini nione nini kilikuwa kinaendelea.Alipofika akaanza kugonga mlango.
Mimi "Karibu"
Mama "Hujambo Umughaka?"
Ooooh!,nikawaza huyu mama jina langu kalijulia wapi?,hata huyo binti yake tu hakuwahi kulifahamu jina langu zaidi ya kuniita shemeji.Sikutaka kuonyesha nimeshangazwa lakini akili kukichwa zikaanza kuchaji ghafla!.
Mimi "Sijambo mama"
Mama "Mwalimu mkuu yeye mzima?"
Mimi "Yeye mzima kabisa"
Mama "Sawa,karibu mwanangu"
Baada ya ile salamu akaondoka zake kuelekea kwake na binti yake alikuja akafunga mlango,kiukweli nilikuwa nina hamu na papuchi lakini ghafla hamu ikawa inakata.Nilijiuliza maswali mengi mno.
Inawezekanaje huyo mama akalijua jina langu?,au uenda alikuwa akifahamiana na ba'mdogo sasa akamtajia jina langu?,lakini bado nilikataa!,inawezekanaje mama ambaye ndiyo ameniona mara moja tu akanichangamkia kiasi kile?,Je ni ulikuwa ni utaratibu wa kabila la kisukuma kuruhusu mabinti zao kuchakatwa ovyo bila mama kuonyesha kuchukizwa?.Mimi nilidhani uenda binti angegombezwa na mama yake mimi kwenda pale lakini mama ndiye alionekana kufurahia ugeni wangu!.
Basi sikuwa na hiyana ikabiti uchakataji uchue nafasi kwa usiku ule,sasa kuna wakati tukiwa tunavuta pumzi baada ya mizagabuano ya muda mrefu,binti anaanzisha stori kikawaida ambazo zilikuwa zinazidi kunichanganya!.
Binti "Unajua mama yangu anakupendaga sana wewe".
Daaah!,kiukweli ile sentensi ya anakupendaga sana wewe ndiyo ikazidi kunichanganya.
Mimi "Kwani mama yako amewahi kuniona wapi?"
Binti "wewe unajiona hapa kijijini kama mgeni wakati unafahamika sana tu"
Binti "wewe si kuna siku ulimsaidia mama kubeba kuni kuleta nyumbani,au umesahau"
Mimi "Hapana,siyo mimi labda mama yako atakuwa amenisahau"
Binti "Mama yangu huwa asahau"
Sasa nikawa navuta picha ni lini nimemsaidia huyo mama kubeba kuni lakini nikawa sikumbuki kabisa,lakini binti akawa anakomaa kwamba ni mimi.
Lakini kuna muda nikasema huenda ikawa kweli,lakini ni siku ipi?,mbona mimi siikumbuki hiyo siku?,na jina langu huyo mama alilijuaje?,Kiumweli maswali hayakuisha ila kwakuwa papuchi ndilo kusudio la mimi kwenda pale,nikasema liwalo na liwe!.
Mkuu usijibishane na wapuuzi. Tuendelee na storyNdugu zangu kuna muda huwa nasoma komenti za wadau hasa wapumbavu,nabaki tu nacheka kama mazuri vile[emoji23][emoji23].
Yaani eti leo mwaka 2022 mtu anashangaa mwaka 2004 hakuna mtu aliyekuwa anamiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10!,Seriously kabisa Unashangaa!?.
Yaani miaka kama 20 iliyopita mtu kumiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10 wewe unashangaa?,kuna muda akili ya baadhi ya vijana wa Tanzania zinahitaji kupelekwa gereji na kusukwa upya![emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi mmetembea kweli kwenye hii nchi na mkajionea maisha ya watanzania wenzenu au mnaishi tu huko Daslam na mnabisha bisha tu kama kuchangamsha genge?.
Nenda hapo loliondo,longido na huko kiteto ukajionee wamasai wanavyomiliki ng'ombe wa kutosha!,na hiyo ni miaka hii tu ambapo mahitaji ya maisha yameshakuwa makubwa!.
Kama hujawahi kutembea kwenye hii nchi na maisha hukuwahi kuyaishi usiwe unasimama mbele ya wanaume unaanza kubisha,utachekwa[emoji23][emoji23].
Mpumbavu mmoja anahoji kuhusu mimi kulipia shilingi 100 kuingia bandani,yaani zaidi ya miaka 18 unahoji huu ujinga?,una habari mwaka huo wa 2004 mpaka shilingi kumi ilikuwa inanunua nyanya na vitunguu?,una habari mwaka huo shilingi tano ilikuwa unanunua pipi?,Sasa kama shilingi kumi ilikuwa na thamani ya kununua nyanya iweje shilingi mia ionekane ndogo?
Na ndiyo maana nasema ndugu zangu,kuna vijana wanafanya hili taifa vijana wote tuonekane wapumbavu!.[emoji23][emoji23]
Mtu huyo huyo anahoji wanafunzi 12 kufaulu wote kwenda form 6 lakini anashindwa kuhoji leo wanafunzi zaidi ya 100 kwenye shule moja kufaulu kwenda form 6![emoji23][emoji23],Yaani unataka kuniambia wanafunzi wa enzi zile hawakuwa na akili mpaka wanafunzi 12 kufaulu unashangaa.
Mimi nimesoma shule ya kata masomo ya Sayansi PCB na shule niliyosoma haikuwa na maabara(laboratory)lakini nikafaulu kwa divesheni 2,kwahiyo hili nalo utahoji?[emoji23][emoji23].
Aiseee kama taifa bado tunasafari ndefu sana!
T14 Armata wewe ni punguani [emoji12]
achana nao wehu haoNdugu zangu kuna muda huwa nasoma komenti za wadau hasa wapumbavu,nabaki tu nacheka kama mazuri vile[emoji23][emoji23].
Yaani eti leo mwaka 2022 mtu anashangaa mwaka 2004 hakuna mtu aliyekuwa anamiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10!,Seriously kabisa Unashangaa!?.
Yaani miaka kama 20 iliyopita mtu kumiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10 wewe unashangaa?,kuna muda akili ya baadhi ya vijana wa Tanzania zinahitaji kupelekwa gereji na kusukwa upya![emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi mmetembea kweli kwenye hii nchi na mkajionea maisha ya watanzania wenzenu au mnaishi tu huko Daslam na mnabisha bisha tu kama kuchangamsha genge?.
Nenda hapo loliondo,longido na huko kiteto ukajionee wamasai wanavyomiliki ng'ombe wa kutosha!,na hiyo ni miaka hii tu ambapo mahitaji ya maisha yameshakuwa makubwa!.
Kama hujawahi kutembea kwenye hii nchi na maisha hukuwahi kuyaishi usiwe unasimama mbele ya wanaume unaanza kubisha,utachekwa[emoji23][emoji23].
Mpumbavu mmoja anahoji kuhusu mimi kulipia shilingi 100 kuingia bandani,yaani zaidi ya miaka 18 unahoji huu ujinga?,una habari mwaka huo wa 2004 mpaka shilingi kumi ilikuwa inanunua nyanya na vitunguu?,una habari mwaka huo shilingi tano ilikuwa unanunua pipi?,Sasa kama shilingi kumi ilikuwa na thamani ya kununua nyanya iweje shilingi mia ionekane ndogo?
Na ndiyo maana nasema ndugu zangu,kuna vijana wanafanya hili taifa vijana wote tuonekane wapumbavu!.[emoji23][emoji23]
Mtu huyo huyo anahoji wanafunzi 12 kufaulu wote kwenda form 6 lakini anashindwa kuhoji leo wanafunzi zaidi ya 100 kwenye shule moja kufaulu kwenda form 6![emoji23][emoji23],Yaani unataka kuniambia wanafunzi wa enzi zile hawakuwa na akili mpaka wanafunzi 12 kufaulu unashangaa.
Mimi nimesoma shule ya kata masomo ya Sayansi PCB na shule niliyosoma haikuwa na maabara(laboratory)lakini nikafaulu kwa divesheni 2,kwahiyo hili nalo utahoji?[emoji23][emoji23].
Aiseee kama taifa bado tunasafari ndefu sana!
T14 Armata wewe ni punguani [emoji12]
Bwana achanao tupe raha sisiNdugu zangu kuna muda huwa nasoma komenti za wadau hasa wapumbavu,nabaki tu nacheka kama mazuri vile[emoji23][emoji23].
Yaani eti leo mwaka 2022 mtu anashangaa mwaka 2004 hakuna mtu aliyekuwa anamiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10!,Seriously kabisa Unashangaa!?.
Yaani miaka kama 20 iliyopita mtu kumiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10 wewe unashangaa?,kuna muda akili ya baadhi ya vijana wa Tanzania zinahitaji kupelekwa gereji na kusukwa upya![emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi mmetembea kweli kwenye hii nchi na mkajionea maisha ya watanzania wenzenu au mnaishi tu huko Daslam na mnabisha bisha tu kama kuchangamsha genge?.
Nenda hapo loliondo,longido na huko kiteto ukajionee wamasai wanavyomiliki ng'ombe wa kutosha!,na hiyo ni miaka hii tu ambapo mahitaji ya maisha yameshakuwa makubwa!.
Kama hujawahi kutembea kwenye hii nchi na maisha hukuwahi kuyaishi usiwe unasimama mbele ya wanaume unaanza kubisha,utachekwa[emoji23][emoji23].
Mpumbavu mmoja anahoji kuhusu mimi kulipia shilingi 100 kuingia bandani,yaani zaidi ya miaka 18 unahoji huu ujinga?,una habari mwaka huo wa 2004 mpaka shilingi kumi ilikuwa inanunua nyanya na vitunguu?,una habari mwaka huo shilingi tano ilikuwa unanunua pipi?,Sasa kama shilingi kumi ilikuwa na thamani ya kununua nyanya iweje shilingi mia ionekane ndogo?
Na ndiyo maana nasema ndugu zangu,kuna vijana wanafanya hili taifa vijana wote tuonekane wapumbavu!.[emoji23][emoji23]
Mtu huyo huyo anahoji wanafunzi 12 kufaulu wote kwenda form 6 lakini anashindwa kuhoji leo wanafunzi zaidi ya 100 kwenye shule moja kufaulu kwenda form 6![emoji23][emoji23],Yaani unataka kuniambia wanafunzi wa enzi zile hawakuwa na akili mpaka wanafunzi 12 kufaulu unashangaa.
Mimi nimesoma shule ya kata masomo ya Sayansi PCB na shule niliyosoma haikuwa na maabara(laboratory)lakini nikafaulu kwa divesheni 2,kwahiyo hili nalo utahoji?[emoji23][emoji23].
Aiseee kama taifa bado tunasafari ndefu sana!
T14 Armata wewe ni punguani [emoji12]
Sukari nusu ilikuwa 250, mkate mzima ilikuwa mia mbili, Mimi Kodi ya meza nilikuwa naacha elfu tatu au elfu tano home, Tena kipindi iko ela nnayo kiiasi, mchele supa ilikuwa mia tano au Mia sita kgNdugu zangu kuna muda huwa nasoma komenti za wadau hasa wapumbavu,nabaki tu nacheka kama mazuri vile[emoji23][emoji23].
Yaani eti leo mwaka 2022 mtu anashangaa mwaka 2004 hakuna mtu aliyekuwa anamiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10!,Seriously kabisa Unashangaa!?.
Yaani miaka kama 20 iliyopita mtu kumiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10 wewe unashangaa?,kuna muda akili ya baadhi ya vijana wa Tanzania zinahitaji kupelekwa gereji na kusukwa upya![emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi mmetembea kweli kwenye hii nchi na mkajionea maisha ya watanzania wenzenu au mnaishi tu huko Daslam na mnabisha bisha tu kama kuchangamsha genge?.
Nenda hapo loliondo,longido na huko kiteto ukajionee wamasai wanavyomiliki ng'ombe wa kutosha!,na hiyo ni miaka hii tu ambapo mahitaji ya maisha yameshakuwa makubwa!.
Kama hujawahi kutembea kwenye hii nchi na maisha hukuwahi kuyaishi usiwe unasimama mbele ya wanaume unaanza kubisha,utachekwa[emoji23][emoji23].
Mpumbavu mmoja anahoji kuhusu mimi kulipia shilingi 100 kuingia bandani,yaani zaidi ya miaka 18 unahoji huu ujinga?,una habari mwaka huo wa 2004 mpaka shilingi kumi ilikuwa inanunua nyanya na vitunguu?,una habari mwaka huo shilingi tano ilikuwa unanunua pipi?,Sasa kama shilingi kumi ilikuwa na thamani ya kununua nyanya iweje shilingi mia ionekane ndogo?
Na ndiyo maana nasema ndugu zangu,kuna vijana wanafanya hili taifa vijana wote tuonekane wapumbavu!.[emoji23][emoji23]
Mtu huyo huyo anahoji wanafunzi 12 kufaulu wote kwenda form 6 lakini anashindwa kuhoji leo wanafunzi zaidi ya 100 kwenye shule moja kufaulu kwenda form 6![emoji23][emoji23],Yaani unataka kuniambia wanafunzi wa enzi zile hawakuwa na akili mpaka wanafunzi 12 kufaulu unashangaa.
Mimi nimesoma shule ya kata masomo ya Sayansi PCB na shule niliyosoma haikuwa na maabara(laboratory)lakini nikafaulu kwa divesheni 2,kwahiyo hili nalo utahoji?[emoji23][emoji23].
Aiseee kama taifa bado tunasafari ndefu sana!
T14 Armata wewe ni punguani [emoji12]
Dah mzee naona unazidi kutupeleka mbali tu ni nilijua ni story ya single seating kumbe inazidi kuongeza episodes tu.., anyway tupe story umughakaTulichomfanya Yule Mchawi hatokuja kusahau kamwe! - 8.
Niliruka nikaingia kwenye shamba la mahindi ambayo bado yalikuwa madogo kiukweli nilikimbia sana na sikufahamu nilikuwa naelekea wapi!.Nilifika sehemu ambapo kulikuwa na kimlima ikabidi nisimame nishike magoti huku nikiwa nahema kama mbwa!.Sasa akili iliporudi nikaanza kujiuliza hivi nilichokuwa nina kimbia ni nini?,kwanini nikimbie kama labda nimeua mtu?,lakini pia aliyefanya na mimi kukimbia alikuwa Ema baada ya kushituka akaanza kukimbia ndipo na mimi kuitafuta njia yangu!.
Basi nikaanza kuteremka kurudi nilikotoka,nilitembea kwenye yale mashamba usiku ule bahati nzuri hakukuwa na giza kubwa ambalo lingezuia mimi kutazama vizuri!,nilijaribu kuitafuta njia ya kuelekea nyumbani lakini sikuweza kuifahamu maana nilikuwa nimekimbia umbali mrefu!.Sasa wakati natembea ili kulitafuta barabara kuu ambalo pengine lingenipa muongozo wa kuelekea nyumbani,mara ghafla nikasikia watu zaidi ya mmoja wakiwa wanakuja wanazungumza,ikabidi nilale chini ili wasinione maana ilikuwa usiku pengine kuhisi mimi ni mwizi!.Wale watu walipita walikuwa wakizungunza mambo yao tu kwa lugha ya kisukuma,nilipoona wamefika mbele na mimi sasa nikaanza kuwafuata kwa nyuma nikisi uenda ile njia ingenirudisha mpaka mahali ambapo nilikuwa napatambua ili iwe rahisi kufika nyumbani.
Sasa niliendelea kutembea lakini nikawa naona kabisa naelekea kwenye mazingira ambayo sikuwahi kufika,ikabidi nisimame huku hofu ikitanda,kumbuka mida hiyo ilikuwa yapata saa 4 kuelekea saa 5 usiku.Ikabidi nirudi tena na ile njia,nimetembea sana na hofu ilipokuwa ikizidi nikaanza kukimbia huku napiga mruzi wa uoga ili kujipa matumaini hata kama kuna kitu kibaya basi kiogope.
Ile njia ilinipeleka mpaka kwenye uwanja mmoja ambao ulikuwa ukifanyika mnada kila tarehe 15 ya kila mwezi,nilipofika hapo niliweza sasa angalau kupata picha uelekeo wa nyumbani.Sasa nikatembea ili niende kukamata njia ya uelekeo wa kule lamboni ambako kungenipeleka moja kwa moja hadi nyumbani.
Sasa wakati natembea nikasikia sauti ya kike ikiimba nyimbo kwa lugha ya kisukuma,nilipogeuka kwa mbali kidogo nikaona huyo mtu akawa anakuja uelekeo niliokuwa nikielekea mimi,sikuwa na hofu nilijua ni mpita njia kama mimi.Sasa wakati natembea na yule mtu naye anakuja kwa kasi,alipofika karibu yangu ndipo kumtazama vizuri alikuwa yule binti demu ya Ema,akajifanya kama hajaniona!.
Sasa moyoni nikawa najiuliza,kwanini kila mara mimi hukutana huyu binti?,na mazingira ninayokutana nae siyo mazingira rafiki hata kidogo.
Akanipita na kiukweli sifahamu kama hakuniona au aliniona ila akaamua kuuchuna!.
Mimi "Shem!" Niliita kwa nguvu.
Akasimama akageuka.
Binti "Aah shem,kumbe ni wewe"
Mimi "Unaenda wapi usiku wote huu?".
Binti "We acha tu,mama aliniagiza mahali ndiyo narudi"
Mimi "unawezaje kutembea usiku hivi tena uogopi?"
Binti "Nikuulize wewe maana sisi huku vijijini tulishazoea"
Kale kabinti siyo kwamba kalikuwa kabaya sana,La hasha!,kiukweli kama huna hili wala lile kalifaa kuzugia kwa hapo bushi.
Binti "Mbona upo mwenyewe,mwenzio yuko wapi?"
Mimi "Yuko nyumbani"
Binti "Na huku unatoka wapi?"
Mimi "Kuna mgeni natoka kumsindikiza ndo narudi nyumbani"
Baada ya kukadanganya hivyo mara ghafla kakaanza kucheka sana na kile kicheko hakika kilikuwa cha dharau,na kiukweli sikuelewa maana yake nini.
Binti "mmmh sawa bana utamsalimia mwenzio"
Mimi "Mbona lakini unacheka?"
Binti "Nacheka kwasababu nakuhurumia wewe mwenyewe unawezaje kutembea usiku huu hapa kijijini tena ukiwa mgeni!"
Sasa baada ya kusema maneno yale mara ghafla tamaa ya ngono ikanijia usiku ule na kichwani nikawaza kwakuwa tulikuwa wawili tu yale maeneo ndipo ilikuwa nafasi ya kukadanganya ili kanipatie papuchi nipunguze ugwadu wa muda mrefu.
Mimi "lakini unajua mwenzio huwaga Nakupenda"
Binti "Jamani wewe sini shemeji yangu lakini!"
Mimi "Sawa!,lakini kwani nani atajua!?"
Binti "utaniweza lakini?"
Mimi "nitakuweza,wewe nipe tu japo kidogo hakuna atakayejua"
Yule binti tena akaanza kucheka vilevile kwa dharau ya hali ya juu na sikuelewa lile cheko kwa wakati ule lakini kwa baadae nilikuja kufahamu ni kwanini alikuwa akicheka vile.
Basi nikakasogelea nikaanza kukashika pale huku mimi wakati huo abdala kichwa wazi ametuna kama kijiti!.
Binti "Kwanini tusiende nyumbani kwetu"
Mimi " kwenu ni mbali,wewe tufanye tu hapa kidogo halafu kila mtu aondoke kwao"
Binti "Aliyekwambia kwetu mbali ni nani?"
Mimi "Kwenu sini kule masairo?"
Binti "Jamani,sasa hapo Masairo kwani ni mbali?".
Sasa wakati yeye anasema si mbali,kumbuka pale tulipokuwa nikipiga umbali wa kutoka hapo mpaka kwao,si chini ya kilometa 4 lakini binti anakwambia si mbali.Basi kwakuwa nilikuwa nina hamu ya kuchakata papuchi ikabidi niwe bwege nimkubalie binti tuelekee kwao.
Basi tulitembea na jambo la kushangaza safari tulitembea kidogo tukawa tumefika hapo kwao,nilibaki najiuliza maswali kibao kichwani lakini sikuwa na majibu.
Nikawa najiuliza,kwanini leo hapo Kjijini Masairo pamekuwa karibu kiasi hicho?,au kwasababu nilikuwa nina ugwadu kiasi kwamba sikuona ni mbali?,sasa akili yangu ni kwamba nifike nichakate papuchi na ikiwezekana niondoke nirudi nyumbani hata kama ikiwa ni usiku wa manane,cha msingi nisilale nje tu!.
Sasa tulipofika hapo kwao na binti mara moja akawa amenipeleka kwenye kinyumba cha nyasi ambacho ndani kulikuwa na giza ila chini kulikuwa na godoro limetandikwa.
Binti "Kaa humu unisubiri niende kwa mama kwanza"
Sasa pale nje kulikuwa na moto ambao ulikuwa una fifia fifia ukionyesha yawezekana kulikuwa na watu wakiota muda si mrefu!.
Sikutakaa kabisa kukaa na nikawa tayari kutoka nduki endapo ningehisi hatari,nikasogea kwenye mlango nikawa nachungulia!.
Yule binti akaelekea mpaka kwenye nyumba iliyokuwa imeezekwa kwa nyasi lakini ilikuwa kubwa kiasi,kwa muonekano ni kama ilikuwa chumba na sebule.Alipofika akaanza kugonga mlango huku akiongea kwa lugha ya kisukuma.
Basi alifungua mlango mwanamke mmoja ambaye bila shaka alikuwa mama yake kwa mujibu wa maelekezo yake!.Wakaanza kuongea kwa kisukuma ambapo sikujua walikuwa wanaongea nini!.
Ghafla baada ya maongezi ya yale maongezi yule mama akawa anakuja kule kwenye kile kinyumba nilichokuwamo,sasa ikabidi nitoke pale mlangoni nikarudi kukaa kwenye godoro chini nione nini kilikuwa kinaendelea.Alipofika akaanza kugonga mlango.
Mimi "Karibu"
Mama "Hujambo Umughaka?"
Ooooh!,nikawaza huyu mama jina langu kalijulia wapi?,hata huyo binti yake tu hakuwahi kulifahamu jina langu zaidi ya kuniita shemeji.Sikutaka kuonyesha nimeshangazwa lakini akili kukichwa zikaanza kuchaji ghafla!.
Mimi "Sijambo mama"
Mama "Mwalimu mkuu yeye mzima?"
Mimi "Yeye mzima kabisa"
Mama "Sawa,karibu mwanangu"
Baada ya ile salamu akaondoka zake kuelekea kwake na binti yake alikuja akafunga mlango,kiukweli nilikuwa nina hamu na papuchi lakini ghafla hamu ikawa inakata.Nilijiuliza maswali mengi mno.
Inawezekanaje huyo mama akalijua jina langu?,au uenda alikuwa akifahamiana na ba'mdogo sasa akamtajia jina langu?,lakini bado nilikataa!,inawezekanaje mama ambaye ndiyo ameniona mara moja tu akanichangamkia kiasi kile?,Je ni ulikuwa ni utaratibu wa kabila la kisukuma kuruhusu mabinti zao kuchakatwa ovyo bila mama kuonyesha kuchukizwa?.Mimi nilidhani uenda binti angegombezwa na mama yake mimi kwenda pale lakini mama ndiye alionekana kufurahia ugeni wangu!.
Basi sikuwa na hiyana ikabiti uchakataji uchue nafasi kwa usiku ule,sasa kuna wakati tukiwa tunavuta pumzi baada ya mizagabuano ya muda mrefu,binti anaanzisha stori kikawaida ambazo zilikuwa zinazidi kunichanganya!.
Binti "Unajua mama yangu anakupendaga sana wewe".
Daaah!,kiukweli ile sentensi ya anakupendaga sana wewe ndiyo ikazidi kunichanganya.
Mimi "Kwani mama yako amewahi kuniona wapi?"
Binti "wewe unajiona hapa kijijini kama mgeni wakati unafahamika sana tu"
Binti "wewe si kuna siku ulimsaidia mama kubeba kuni kuleta nyumbani,au umesahau"
Mimi "Hapana,siyo mimi labda mama yako atakuwa amenisahau"
Binti "Mama yangu huwa asahau"
Sasa nikawa navuta picha ni lini nimemsaidia huyo mama kubeba kuni lakini nikawa sikumbuki kabisa,lakini binti akawa anakomaa kwamba ni mimi.
Lakini kuna muda nikasema huenda ikawa kweli,lakini ni siku ipi?,mbona mimi siikumbuki hiyo siku?,na jina langu huyo mama alilijuaje?,Kiumweli maswali hayakuisha ila kwakuwa papuchi ndilo kusudio la mimi kwenda pale,nikasema liwalo na liwe!.
Sasa hili mbna uneshaoitolea ufafanuz ,muda mrefu nakuona unabishana kuhusu hyo Mia 100 kwa kipindi kile Sasa yanin ueleze kwa urefu Kia's hiki c Bora ungetumia muda huu kuandika story yako na Kisha kuimaliza kwa wakatiNdugu zangu kuna muda huwa nasoma komenti za wadau hasa wapumbavu,nabaki tu nacheka kama mazuri vile[emoji23][emoji23].
Yaani eti leo mwaka 2022 mtu anashangaa mwaka 2004 hakuna mtu aliyekuwa anamiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10!,Seriously kabisa Unashangaa!?.
Yaani miaka kama 20 iliyopita mtu kumiliki ng'ombe zaidi ya elfu 10 wewe unashangaa?,kuna muda akili ya baadhi ya vijana wa Tanzania zinahitaji kupelekwa gereji na kusukwa upya![emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi mmetembea kweli kwenye hii nchi na mkajionea maisha ya watanzania wenzenu au mnaishi tu huko Daslam na mnabisha bisha tu kama kuchangamsha genge?.
Nenda hapo loliondo,longido na huko kiteto ukajionee wamasai wanavyomiliki ng'ombe wa kutosha!,na hiyo ni miaka hii tu ambapo mahitaji ya maisha yameshakuwa makubwa!.
Kama hujawahi kutembea kwenye hii nchi na maisha hukuwahi kuyaishi usiwe unasimama mbele ya wanaume unaanza kubisha,utachekwa[emoji23][emoji23].
Mpumbavu mmoja anahoji kuhusu mimi kulipia shilingi 100 kuingia bandani,yaani zaidi ya miaka 18 unahoji huu ujinga?,una habari mwaka huo wa 2004 mpaka shilingi kumi ilikuwa inanunua nyanya na vitunguu?,una habari mwaka huo shilingi tano ilikuwa unanunua pipi?,Sasa kama shilingi kumi ilikuwa na thamani ya kununua nyanya iweje shilingi mia ionekane ndogo?
Na ndiyo maana nasema ndugu zangu,kuna vijana wanafanya hili taifa vijana wote tuonekane wapumbavu!.[emoji23][emoji23]
Mtu huyo huyo anahoji wanafunzi 12 kufaulu wote kwenda form 6 lakini anashindwa kuhoji leo wanafunzi zaidi ya 100 kwenye shule moja kufaulu kwenda form 6![emoji23][emoji23],Yaani unataka kuniambia wanafunzi wa enzi zile hawakuwa na akili mpaka wanafunzi 12 kufaulu unashangaa.
Mimi nimesoma shule ya kata masomo ya Sayansi PCB na shule niliyosoma haikuwa na maabara(laboratory)lakini nikafaulu kwa divesheni 2,kwahiyo hili nalo utahoji?[emoji23][emoji23].
Aiseee kama taifa bado tunasafari ndefu sana!
T14 Armata wewe ni punguani [emoji12]