Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Woozaaahhhhhh!! Haya mkuje mkujee hukuu mambo tayariiiii!
Wabheja sana Umughaka!
 
punguza ujuaji.

usidhani wote humu ni makuku ya broiler kama wewe.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kibwego hiyo.

analeta uziefu wa malezi yake ya kimayai mayai hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtu anayetukana wazazi iwe ni wa kwake au wa anaobishana nao amelaaniwa huyo hana maana, Hana fungu lolote la furaha katika maisna yake yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jioni achia kipande kingine Mkuu maana wengine tushakuwa addicted kwa simulizi yako
 
Halafu ebu ngoja,,,,!! Kumbe nawe ulikua unasoma????? Au ulikua unasubiria mwakani ureseat Hapohapo skuli kwa faza mdogo?????

Hata Mimi sija mwelewa pale anasema baba yake angempiga na asingesomeshwa shule na angekua mchunga ng'ombe endapo baba yake angejua amelala kwa Monica....

Huyu anasoma saa ngapi wkt anauza miwa?
 
Hata Mimi sija mwelewa pale anasema baba yake angempiga na asingesomeshwa shule na angekua mchunga ng'ombe endapo baba yake angejua amelala kwa Monica....

Huyu anasoma saa ngapi wkt anauza miwa?
Ngoja aje atufafanulie mi mwenyewe nimeshaangaa hapo!

Na pale alipoambiwa kwa leo asiguse maji ilhali faza mdogo katoa adhabu ikiwemo na ya kuchota maji aliwezaje kuchota bila kuyashika??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…