Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Utajiri wao ni kua na cheo kikubwa, ili uwe na cheo lazima uue watu.
Yeah Wengine ili ufanikiwe kwenye mambo yako pesa n.k pia lazima uue ! utoe sadaka/ kafara!
Yani kuna tukio la kichawi liliomtokea ndugu yangu wa damu sina hamu nahawa viumbe na mpaka waleo naendelea kukiri Mungu anatupenda sana na anamakusudi nami! sijui ndio niseme mizimu ya kwetu ni mikali sana mi sijuiiii ilaa Asante yesu!🙏
mmash upoo ☺️??
 
Unatuchoshaaa na wew
 
We jamaa bwana
 
Hujaishi bush wewe alafu unaleta ujuaji bushi mkuu wa shule ni kama mkuu wa kituo cha polisi ndani ya school premises anatandika adi wazee wako na wanasema hewala baba
Nyie mazoba sana. Ndo maana mkija town mnauzia sidiria na blauzi. Sisi town mkuu wa shule unaweza hata usimjue yupo busy nasi tupo busy na masomo.shida ya vijijini ndo hiyo hata sungusungu au mgambo anawaendesha sana. Mjumbe wa mtaa naye anawaendesha basi mnajikuta tu kama mafala hamna mbele mna nyuma tu.
 
Burka eka dola laki na 20...we uutakua unakaa burq ipi
Hehe kwani viwanja vilivyopimwa Ni zote ziliuzwa Dola 120 laki ,hapan si Kweli hapo kwa askofu otai niko mitaa hyo ila sitakuambia nyumba namba ngapi Kama umetokeaa coffee unashuka kidg then unaingia mitaa yangu mm ,karibuni Sana burka coffee estate ,

Kipo kiwanja kinauzwa milion 50 jirani na kanisa la kkkt
 
Mhuu...wabeja sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…