Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nihakikishie tu kwamba tutaweka thread mbili kwenye vitendo(ile ya kula kimasikhara na Fantasy)Itapendeza sana 😅
Kimasihara huwa haipangwi😅Nihakikishie tu kwamba tutaweka thread mbili kwenye vitendo(ile ya kula kimasikhara na Fantasy)
Ngamenye pakuti ngimba nungwe uli ghwa kumyitu!Kukajha kununu
Dah! So nitaona green light. Sio? Fantasy je?Kimasihara huwa haipangwi😅
Jaman! Pole kkNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Haha basi jamaa alibebeshwa mzigo na mama monica kwa style hii.Kuna kijiji tulihamia mwaka 1996 huo ujinga wa ukikutana na mchawi kabeba mzigo hata kama ni mchana anakubebesha pasipo wewe kufahamu na unamfikishia mpaka kwake pasipo wewe kujua,zaidi na zaidi baadae utahis kama shingo inakuuma tu
Tamoha amasenti tata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mura isitori yao ninchiya bhukong'u mbane. Shusha mzigo wa kutosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I am crazy over this shit.
nikilala naamka nawaza Monica na Mwise[emoji23]
f*ck all day
KabisaEpisode moja kwa siku vibes linakata heri nisubiri wiki nzima nikute episode 7 tayari