Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Kaulimbao ya CCM ilitakiwa isiwe 'Ari Mpya na Kasi Mpya' au 'Kilimo kwanza' bali ilipaswa iwe 'Tupishe mwekezaji maana sisi ni apes'..lolz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hii project inaanza 2011?Heshima Mbele,
Nina Habari hapa,ila nashindwa kuthibitisha.Naoma tusaidiane ku connect to the dot..
1.Kwanini huo mradi mipango yote imeanzia marekani?
2.Kwanini iwe haraka hivyo na lazima mradi uanze 2011
3.Kwanini kuna baadhi ya watu ,wafanyabiashara maarufu ndiyo wameuziwa badhi ya viwanja huko?
4.Hivi ni kwanini George alikaa muda mrefu hapa Tanzania?
Kuna habari nimepewa muda huu,bado nazifanyia utafiti ila am speechless
Hivi hii project inaanza 2011?
Basi kwisha kazi...!
Bob
Nakubaliana na mtazamo wako kuhusu hili tamko la serikali (sijui limetolewa lini).
Kinachonishangaza kidogo ni kuwa Kigamboni ilishagawiwa tangu Makamba alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dsm. Ninachojuwa ni kuwa hakuna kiwanja "kinacholipa" kigamboni ambacho hakimilikiwi na Kigogo. Pia, Hati za Kumiliki Viwanja za Muda mrefu (miaka 66) zimeshatolewa chini ya mradi ule wa Makamba.
Sasa sina uhakika Mbunge anaposema Serikali imesitisha kutoa hati za arthi kigamboni anamaanisha viwanja ambavyo "havijapimwa" au vile vya mradi lakini yeye/wao bado hawajachukua hati zao?
Mbunge, tafadhali fafanua kidogo au tunaomba link ya hilo tamko ili tujisomee wenyewe kabla hatujaanza kupaniki..!!
Hey jamani, mji mwema napo ni sehemu ya huu mradi? nina mradi wa kujenga nyumba unalioanza mwezi uliopita.
inaelekea wewe bado umelala
huna habari kuwa masterplan ishakamilika?
ongea na Chiligati atakupa copy au CD
mimi nina shamba pake kibada, km 5 tu toka feli, nimenunua 2006 kabla hata ya tamko hili, cha ajabu nilipotaka kulipima ili nipate offer ya kumiliki nikaambia kuna zuio, ni kweli kibada yate tunaambiwa huwezi pima kiwanja.
mimi sikatai mji mpya kujengwa lakini sasa je haki yangu kweli nitapata? kwa sasa eneo langu ni heka tatu sasa wakija hawa jamaa naona nitapata bei ya mimea tu na sidhani kama itafika laki saba, manake as of now sina karatasi yoyote inayoonyesha mimi ni mmiliki wa eneo hilo.
jamani haki ya mlalahoi ipo kweli? tuliambiwa we are going to be part of the project - lakini utaingiaje kwenye project wakati hata karatasi ya utambulisho kwamba hilo eneo ni lako huna?
ndugu zangu inafika pahara mtu unajiona kama mkimbizi usiye na haki ya kumiliki chochote ndani ya nchi yako.
Pembeni kwangu kuna mchina - kapewa eneo kama heka 100, alipata kwa bei ya kutupwa kabisa na tayari ana umiliki - mimi mzawa bado nahangaika - kweli kazi ipo.
mimi nina shamba pake kibada, km 5 tu toka feli, nimenunua 2006 kabla hata ya tamko hili, cha ajabu nilipotaka kulipima ili nipate offer ya kumiliki nikaambia kuna zuio, ni kweli kibada yate tunaambiwa huwezi pima kiwanja.
mimi sikatai mji mpya kujengwa lakini sasa je haki yangu kweli nitapata? kwa sasa eneo langu ni heka tatu sasa wakija hawa jamaa naona nitapata bei ya mimea tu na sidhani kama itafika laki saba, manake as of now sina karatasi yoyote inayoonyesha mimi ni mmiliki wa eneo hilo.
jamani haki ya mlalahoi ipo kweli? tuliambiwa we are going to be part of the project - lakini utaingiaje kwenye project wakati hata karatasi ya utambulisho kwamba hilo eneo ni lako huna?
ndugu zangu inafika pahara mtu unajiona kama mkimbizi usiye na haki ya kumiliki chochote ndani ya nchi yako.
Pembeni kwangu kuna mchina - kapewa eneo kama heka 100, alipata kwa bei ya kutupwa kabisa na tayari ana umiliki - mimi mzawa bado nahangaika - kweli kazi ipo.
Hey jamani, mji mwema napo ni sehemu ya huu mradi? nina mradi wa kujenga nyumba unalioanza mwezi uliopita.
Mkuu,
Pole sana..ila labda ungefafanua. Unaposema huna karatasi yoyote inayokuonyesha wewe kama mmiliki wa eneo hilo una maana gani??
Iwapo ulinunua hilo Shamba mwaka 2006 ilikuwa ni wajibu wako kuwaita Serikali ya eneo hilo Mjumbe, Mwenyekiti wa Mtaa na Jirani ili wawe mashahidi wako kwamba:
1. Unanunua shamba kutoka kwa mmiliki halali.
2. Wewe ndiye mmiliki mpya wa halali.
3. Anakuuzia shamba lenye mipaka inayoeleweka.
Sasa ina maana wewe hukuweka hao mashahidi au una maana gani?
Swali la pili linajitokeza pia; unasema ulipotaka kupima ili upewe Offer ya kumili, ulitaka kutumia documents gani kuwathibitishia Manispaa ya Temeke kuwa eneo unalotaka kupimiwa ni la kwako??
Kisheria shamba/kiwanja hakiwezi kupimwa bila Mashahidi (Mjumbe na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa) kuweka Sahihi kutbitisha kuwa
1. Unapima shamba/kiwanja chako.
2. Unapima kwenye mipaka yako.
Sasa Mkuu...inakuwaje wewe huna uthibitisho kwamba eneo ni la kwako?
YY
kaka karatasi nazosema mimi si zile zinazotambuliwa na ardhi (offer), hii ni karatasi ya kuuziana tu na inatambuliwa na serikali ya mtaa, ila sidhani itanisaidia sana siku hawa mafisadi wakubwa watakapokuja kuchukua eneo lao (maana yake si langu tena).
nilivyoenda kupima mwaka 2008, nikiwa na hizo karatasi zangu za ununuzi wakaniambia kuna stop order toka serikali kuu kwamba eneo lote up to 10km toka feli limo kwenye mradi mpya - kwa hiyo upimaji umesimama.
napenda mradi uje lakini jee tutalipwa bei ya soko au ndiyo yaleyele ya ngombe wa maskini?
Kuna majirani zangu kule wanajenga na hawajali - mimi nimeogopa kabisa kutia vijicenti vyangu zaidi viliwe - may be kama kuna mtu ana more information about the project atufafanulie if we should continue to invest ama?
Mimi nimebahatika kuiona hiyo Masterplan,lakini kinachonishangaza ni kwanini huu mradi umechelea kwani tofauti na muda wa TANGAZO lao la NOTICE ambayo inaishia Tarehe 30 /10/2010????
kaka karatasi nazosema mimi si zile zinazotambuliwa na ardhi (offer), hii ni karatasi ya kuuziana tu na inatambuliwa na serikali ya mtaa, ila sidhani itanisaidia sana siku hawa mafisadi wakubwa watakapokuja kuchukua eneo lao (maana si langu tena).
nilivyoenda kupima mwaka 2008, nikiwa na hizo karatasi zangu za ununuzi wakaniambia kuna stop order toka serikali kuu kwamba eneo lote up to 10km toka feli limo kwenye mradi mpya - kwa hiyo upimaji umesimama.
napenda mradi uje lakini jee tutalipwa bei ya soko au ndiyo yaleyele ya ngombe wa maskini?
Kuna majirani zangu kule wanajenga na hawajali - mimi nimeogopa kabisa kutia vijicenti vyangu zaidi viliwe - may be kama kuna mtu ana more information about the project atufafanulie if we should continue to invest ama?
kaka karatasi nazosema mimi si zile zinazotambuliwa na ardhi (offer), hii ni karatasi ya kuuziana tu na inatambuliwa na serikali ya mtaa, ila sidhani itanisaidia sana siku hawa mafisadi wakubwa watakapokuja kuchukua eneo lao (maana si langu tena).
nilivyoenda kupima mwaka 2008, nikiwa na hizo karatasi zangu za ununuzi wakaniambia kuna stop order toka serikali kuu kwamba eneo lote up to 10km toka feli limo kwenye mradi mpya - kwa hiyo upimaji umesimama.
napenda mradi uje lakini jee tutalipwa bei ya soko au ndiyo yaleyele ya ngombe wa maskini?
Kuna majirani zangu kule wanajenga na hawajali - mimi nimeogopa kabisa kutia vijicenti vyangu zaidi viliwe - may be kama kuna mtu ana more information about the project atufafanulie if we should continue to invest ama?
Njoo tubanane Shungubweni,kama una hela zako njoo ujikatie huku pande la nguvu,serikali bado haijafika.
Mitaa yote kuanzia kibada mpaka Tundwi songani kupitia Kisarawe II na Dsm zoo ni maeneo hatari kwa sasa,nunua au jenga kwa uangalifu