Tulichosema kuhusu Kigamboni kimetimia: Tukimbilie wapi?

Tulichosema kuhusu Kigamboni kimetimia: Tukimbilie wapi?

Aisee jamaa wewe sio entrepreneur uoga wako ndio umaskini wako, jenga fasta fasta malipo ni pale pale, court is there to protect you.
duh kaka pesa yenyewe mshahara kwa mshahara - lazima uwe muoga kidogo kuingiza sehemu kuna tanuru la moto - nafikiri serikali ingekuwa inawajali watu wake - wangeruhusu upimaji then watumilikishe kwa muda ili wawekezaji wakija tupate bei ya soko tusogee mbele zaidi tuwaachie eneo lao.

anyway acha tusubiri hatma yetu sisi wanyonge wa nchi hii. mi nishakabidhi yote kwa mungu sina namna yoyote, hapa nafikiria tu kutafuta sehemu nyingine, ila viwanja ni ghali sana nafikiri nitaenda mkulanga tu - i hope kule kupo safe.
 
duh kaka pesa yenyewe mshahara kwa mshahara - lazima uwe muoga kidogo kuingiza sehemu kuna tanuru la moto - nafikiri serikali ingekuwa inawajali watu wake - wangeruhusu upimaji then watumilikishe kwa muda ili wawekezaji wakija tupate bei ya soko tusogee mbele zaidi tuwaachie eneo lao.

anyway acha tusubiri hatma yetu sisi wanyonge wa nchi hii. mi nishakabidhi yote kwa mungu sina namna yoyote, hapa nafikiria tu kutafuta sehemu nyingine, ila viwanja ni ghali sana nafikiri nitaenda mkulanga tu - i hope kule kupo safe.

ELNIN0

Mimi ninawasiwasi kuwa huenda hauna kiwanja huku kigamboni Mkuu, kwani yeyote mwenye kiwanja tayari alikwisha jipanga baba, unadhani utasubiri mpaka lini Mkuu! Serikali wanaweza kusema hili likachukua miaka 30, ikawa kama kipawa, nadhani serikali zinabalika kila kukicha, leo ni CCM kesho Ni cuf au CHADEMA, na sela zinatofautiana mkuu.
 
Malila;

Hayo si kweli ndg yangu Malila; kwani hata mimi nimebahatika kupata kiwanja cha mradi pale Mikwambe na tayari nimepewa ofa, ninategemea kwenda kuchukua hati yangu kesho asubuhi, sasa unaposema 11 km from Fell ni hatari unamaanisha viwanja ganiMkuu Malila!, usichanganye kuna ule mradi unaochukuwa zile kata 4, lakini kuanzia Kibada na kuendelea viwanja hivyo havina shida.

Sio kwamba viwanja havipo,vipo vingi,viwanja vya mradi ni salama ila ukisoma habari yenyewe inaonyesha kiwanja cha jamaa ni vya kujipimia wewe na jirani yako ndio maana nikasema maeneo yale ni hatari kwenda kichwa kichwa.

Hivi mtu leo akikwambia kuna kiwanja Kigamboni kinauzwa mitaani utakubali? Bado nashauri tununue viwanja maeneo yale kwa uangalifu mkubwa. Ndani ya mradi poa ila pembeni ya mradi inabidi kuangalia sana.
 
Sio kwamba viwanja havipo,vipo vingi,viwanja vya mradi ni salama ila ukisoma habari yenyewe inaonyesha kiwanja cha jamaa ni vya kujipimia wewe na jirani yako ndio maana nikasema maeneo yale ni hatari kwenda kichwa kichwa.

Hivi mtu leo akikwambia kuna kiwanja Kigamboni kinauzwa mitaani utakubali? Bado nashauri tununue viwanja maeneo yale kwa uangalifu mkubwa. Ndani ya mradi poa ila pembeni ya mradi inabidi kuangalia sana.

Malila;
Kwa msomi kama wewe tena una sababu ya kugimbana na serikali ndg yangu Malila! bei ya kiwanja cha mradi ni sh 1,242,500 high density, midium ni sh 1, 600,000 na Low density ni 2,504,500. iweje ukanunue kwa mtu binafsi na wakati leo ukienda pale ardhi utapata kiwanja tena cha hati!

Malila; wakati umefika tuwe na akili, na mimi pia nilikuwa kama wewe sikuamini kama naweza kupata kiwanja kule kigamboni hasa hivi vya mradi, nilijiendea pale ardhi midhiri ya mtu aliyechoka nikauliza utaratibu, wakanipa form na kuniomba nirudi mwezi uliofuata, hakika sikuamini nilichokiona, kwani mwezi wa 10, 2009 nilikwenda kuulizia na nikaambiwa eti mimi ni miongoni mwa wale waliopata viwanja, tena bila HONGO(RUSHWA) Ajabu kwelikweli, Tanzania hii jamani!

Malila; sioni sasa kama kuna sababu tena ya kununua viwanja toka kwa watu tena.
Kuna ule mradi wa Geza ulole jaribu utapata kiwanja safi , chenye hati. asante.
 
Malila;
Kwa msomi kama wewe tena una sababu ya kugimbana na serikali ndg yangu Malila! bei ya kiwanja cha mradi ni sh 1,242,500 high density, midium ni sh 1, 600,000 na Low density ni 2,504,500. iweje ukanunue kwa mtu binafsi na wakati leo ukienda pale ardhi utapata kiwanja tena cha hati!

Malila; wakati umefika tuwe na akili, na mimi pia nilikuwa kama wewe sikuamini kama naweza kupata kiwanja kule kigamboni hasa hivi vya mradi, nilijiendea pale ardhi midhiri ya mtu aliyechoka nikauliza utaratibu, wakanipa form na kuniomba nirudi mwezi uliofuata, hakika sikuamini nilichokiona, kwani mwezi wa 10, 2009 nilikwenda kuulizia na nikaambiwa eti mimi ni miongoni mwa wale waliopata viwanja, tena bila HONGO(RUSHWA) Ajabu kwelikweli, Tanzania hii jamani!

Malila; sioni sasa kama kuna sababu tena ya kununua viwanja toka kwa watu tena.
Kuna ule mradi wa Geza ulole jaribu utapata kiwanja safi , chenye hati. asante.


nikweli uliyo yasema kuhusu viwanja vya mradi lakini lazima tuwe wakweli kwenye hili.
Kiwanja cha mradi mfano hivyo vya huko baada ya kibada kule karibu na nyumba za Nssf ambapo kweli ukiomba baada ya siku chache tu unapata,ni ukweli usiofichika kwamba kama unataka kujenga nyumba ya kuishi kwa muda huu huwezi kwan hakuna miundombinu ya kutosha zaidi ya kuchonga barabara zile za vumbi amazo either zinaishia kwenye kolongo au mlima.hamna umeme na maji zaidi ya kuweka mawe ya kupima.
nahuko Geza ulole unakosema wizira imechukua mashamba ya watu ili wapime viwanja vya mradi lakini mpaka leo hawajalipa fidia ya wenye mashambayao,isitosha manispaa haina pesa ya kulipa hela za fidia ya mashamba hayo huku wanatoa ahadi kwamba viwanja vitauzwa march.wizara ilikopesha manispaa pesa ambazo zililiwa na hazikufanya kazi stahiki ,na wewe bado unamwambia mwenzio akanunue kiwanja Gezaulole?Geza ipi ambapo hivyo viwanja vipo?
Yule ma ma Sijaona aliyesema Rais na Wziri wa Ardhi ni wanasiasa ,ila yeye ndio msemaji wa wizara amehamishwa na sasa ni Barozi sijui Japan? na yeye amejigawia viwanja lukuki huko Mwongozo kwenye mradi na hakuna hata kiwa nja kimoja kilicho baki huko ,sasa sijui utuambie wapi huko kigamboni kwenye viwanja tukanunue
 
Malila;
Kwa msomi kama wewe tena una sababu ya kugimbana na serikali ndg yangu Malila! bei ya kiwanja cha mradi ni sh 1,242,500 high density, midium ni sh 1, 600,000 na Low density ni 2,504,500. iweje ukanunue kwa mtu binafsi na wakati leo ukienda pale ardhi utapata kiwanja tena cha hati!

Malila; wakati umefika tuwe na akili, na mimi pia nilikuwa kama wewe sikuamini kama naweza kupata kiwanja kule kigamboni hasa hivi vya mradi, nilijiendea pale ardhi midhiri ya mtu aliyechoka nikauliza utaratibu, wakanipa form na kuniomba nirudi mwezi uliofuata, hakika sikuamini nilichokiona, kwani mwezi wa 10, 2009 nilikwenda kuulizia na nikaambiwa eti mimi ni miongoni mwa wale waliopata viwanja, tena bila HONGO(RUSHWA) Ajabu kwelikweli, Tanzania hii jamani!

Malila; sioni sasa kama kuna sababu tena ya kununua viwanja toka kwa watu tena.
Kuna ule mradi wa Geza ulole jaribu utapata kiwanja safi , chenye hati. asante.

Nafikiri hujanielewa,anayetafuta kiwanja sio mimi,mimi nachangia maada tu. Soma vizuri mada yenyewe. Viwanja viko kwingi,mbuyuni,kinyerezi,mwanagati nk.
 
nikweli uliyo yasema kuhusu viwanja vya mradi lakini lazima tuwe wakweli kwenye hili.
Kiwanja cha mradi mfano hivyo vya huko baada ya kibada kule karibu na nyumba za Nssf ambapo kweli ukiomba baada ya siku chache tu unapata,ni ukweli usiofichika kwamba kama unataka kujenga nyumba ya kuishi kwa muda huu huwezi kwan hakuna miundombinu ya kutosha zaidi ya kuchonga barabara zile za vumbi amazo either zinaishia kwenye kolongo au mlima.hamna umeme na maji zaidi ya kuweka mawe ya kupima.
nahuko Geza ulole unakosema wizira imechukua mashamba ya watu ili wapime viwanja vya mradi lakini mpaka leo hawajalipa fidia ya wenye mashambayao,isitosha manispaa haina pesa ya kulipa hela za fidia ya mashamba hayo huku wanatoa ahadi kwamba viwanja vitauzwa march.wizara ilikopesha manispaa pesa ambazo zililiwa na hazikufanya kazi stahiki ,na wewe bado unamwambia mwenzio akanunue kiwanja Gezaulole?Geza ipi ambapo hivyo viwanja vipo?
Yule ma ma Sijaona aliyesema Rais na Wziri wa Ardhi ni wanasiasa ,ila yeye ndio msemaji wa wizara amehamishwa na sasa ni Barozi sijui Japan? na yeye amejigawia viwanja lukuki huko Mwongozo kwenye mradi na hakuna hata kiwa nja kimoja kilicho baki huko ,sasa sijui utuambie wapi huko kigamboni kwenye viwanja tukanunue
Sanda Matuta
Nashukuru kwa kuwa unavyoweza kuilezea hali halisi japo kuwa sisi tulikuwa tunajua mambo haya kwa kiasi kidogo, lakini sasa sisi tushike wapi?]
 
You are all missing the point.

The point is, there should be difference between planning and ownership. Actually, according to the law there is difference. You can hire your own planners. So when the government plans for you, it is neither must nor necessary for 'the government' to grab your land.

What really happens is that, all these are done as 'projects': meaning the money does not go to Hazina. In the projects, they are operated on 'profit&loss' bases, in which the 'dividends' are given to employees of Ministry, and others 'lucky' enough to be drafted into the project.

It is not the duty of the ministry to do the planning -- duty of the ministry is to prepare policies... and enforce them... not to engage into business.

If I were the president or even the minister for lands or Permament secretary, I'd put three basic principles into practice:

1. There shall be NO incidence in which land is taken from one PRIVATE (non-public use) and be given (read, SOLD) to another PRIVATE party. Anything not Union Government shall be considered private party.

2. There shall be no one forced to leave his / her land, even with the token compensation ('fidia'), unless the land is taken to be used by the United Republic union government.

3. In case when it is indeed for public good to take one's land, (a) alternative land shall be provided, and the government shall contract building of houses / replacement building at that land, with all the necessary utilities, BEFORE the person is paid MARKET VALUE of the PROPOSED new use of land, disturbance allowance, and the MARKET VALUE of his / her property. The person should be able to hire private VALUER, and in event of huge discrepancy (say more than 5% of valuation) the person has right to go to court for the final valuation to be determined by VALUERS hired by the court.

Assumptions: Watanzania Waswahili nao ni watu, kisha ni binadamu wanaostahili kumiliki, na kuishi kwenye "miji ya kisasa" na iliyopangiliwa.

Kwamba mji ukishapangwa maana yake Watanzania Waswahili watolewe ili viwanja vyao viuzwe 'to the highest bidder', shows flawed ideology.

Mlenge
 
Suala sio ahadi za ujenzi bali ulikuwa wapi tangu Nyang'anyi na CCM walipokula hela na kununua pantoni mbovu hadi leo hii Kigamboni hawana daraja wala pantoni ya kueleweka? Mkapa aliahidi mara zote, na wewe bwana mkubwa uliahidi 2005 hujajenga, sasa leo hii tutaamini vipi?
Ama ndi yaleyale Kigamboni kugeuzwa kuwa "The San Francisco of Africa"?. Manake umeshatuahidi kuigeuza Kigoma kuwa "The Dubai of Africa", Mwanza kuwa "The Amsterdam of Africa"
Tanzania poleni sana:sleepy:

Kigamboni bridge coming -JK
BY DOMINIC NKOLIMWA
4th September 2010
Email
Print
Comments

CCM presidential candidate Jakaya Kikwete
CCM presidential candidate Jakaya Kikwete yesterday assured Dar es Salaam residents that the construction of Kigamboni Bridge will be completed within the next five years.
Kikwete made the remark during the party’s campaign at Mbagala Zakhem on the outskirts of the city.
He said so far, there were six companies which have shown interest to enter into joint venture for the construction of the bridge.
Kikwete said the selected company will collaborate with the National Social Security Funds in implementing the project.
“The construction of this bridge has been much talked about but I assure you that the construction will start immediately after selecting the company which will enter into joint venture with NSSF in implementing the project” Kikwete said.
Kikwete said he has directed municipal and council authorities in Dar es Salaam to ensure that people who will be affected by the construction of Kigamboni satellite city to be compensated fairly and on time.:violin:
 
Amnesia is a medical terminology which simply translate '' loss of memory''
 
Miandishi yetu ya habari wala haiulizi maswali. Kikwete ametaja GHARAMA ya hiyo kazi? Anasema ujenzi utaanza mara moja, kwani feasibility study , design, tendering, tayari kufanyika na kukamilika?

Kikwete amesema nini kilimzuia kujenga hilo daraja kabla ya kampeni?
 
Mwenye macho haambiwi tazama...........kazi kwenu watz kuchekecha km mpaka sasa hatuna uwezo wa kupembua na kutofautisha upi mchele na ipi pumba basi endeleeni kuchagua ccm mtakiona cha mtema kuni.........au mtakiona kilichomnyoa.................manyoya
 
Mkuu kwa ahadi hakamatiki..sijui alizoahidi kipindi kile amezimaliza kwa kiasi gani.?
Ila ya meli ziwa Victoria ndo kiboko...tangu 1995 juzi ndo anaahidi..na sio utekelezaji...!
Wanacheza na maisha yetu kwa hilo nazidi kuongeza sababu za kwanini hakifai kurudi madarakani..
 
wana JF ndugu zangu mie nimekuja habari mpya ya jinsi JK alivyouza kigamboni yote kwa bush. naomba mjionee wenyewe.
nawatumia pia program ya kuwezesha kutazama picha hiyo kama utakwama.
AMKA NCHI INAUZWA NA CCM
 
Kitebo... post kama hizi zinashusha hadhi ya forum... tena sana tu!

umeanza na breaking news,..... i thought umeleta evidence nk.

Jitahidi uweke evidence basi tufaidi

Pia ushauri tu.... maana naona hii ni post ya kwanza, JF sio kijiwe cha kahawa
 
Back
Top Bottom