Kenya 2022 Tulieni, tupo kwenye zoezi la kuhakiki kura na mpaka sasa hakuna aliyekidhi idadi ya kutunukiwa Urais

Kenya 2022 General Election
Ahasnte sana, na ole wenu ashinde tusiyemtaka sisi waTanzania...
 
Kwendraa huko unatamani raila ashinde. Ati 50%, u wish. Ruto yuko 51.ushee percent.
 
Oooh kimenuka nchini kwako umeshuka gazeti hilo wakati mlikua mnajisifia matokeo yenu yapo fasta sana na demokrasia pana. Msisingizie ccm wakati kila kona wakenya wanalalamika kuchelewa kwa matokeo
 
Yupo mjumbe mmoja tumemtuma huko, ngoja tuone ujanja wake wa kufunga goli la mkono
Mojawapo ya mambo haya manne litatokea Kenya
1) uchaguzi kurudiwa
2) serikali ya mseto
3) Raila kuwa rais wala siyo ruto
4) machafuko
 
Utasikia eti vurugu zinanusia. Yaani hivyo viumbe vinanusia vurugu vikiwa mbali kilomita zote hizo? Hao bila shaka sio binadamu wenzetu.
We bwege noa panga lako mapema acha kupoteza muda shauri yako [emoji849][emoji849][emoji849]
 

Ukute Uhuru na Ruto walikuwa wanamchezea mchezo Raila.
 
Kwendraa huko unatamani raila ashinde. Ati 50%, u wish. Ruto yuko 51.ushee percent.

Hata nikitamani, mwisho wa siku maamuzi ya walio wengi lazima yaheshimiwe, na ya walio wachache yasikilizwe, ndio utamu na uchungu wa demokrasia, kimsingi atakayeshindwa ashindwe kwa haki.....
Kwa hivyo tusubiri uhakiki wa kura, zitangazwe, mshindi atangazwe ila baada ya siku 14 aapishwe, huwa hatuapishi kama kwenu huko utadhani mwizi anafukuziwa, lazima zipite siku 14 kwanza ili kuwapa wengine fursa ya kwenda mahakamani kama wakihisi haki zao zimekiukwa.
 
Nonsense
 
Acha uongo watu wanapika matokeo hapo, ingekuwa inakubalika machafuko yasingekuwa yanatokea Kenya wala Odinga asingeqpishwa kuwa Rais wa watu uchaguzi uliopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…