Tulifika Pabaya: Mwenyekiti Ulinzi na Usalama Wilaya eti ni Jambazi?

Tulifika Pabaya: Mwenyekiti Ulinzi na Usalama Wilaya eti ni Jambazi?

Kuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.

Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara

Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.

Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu

Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Wakwepa Kodi nchi nzima walikuwa Hai tu
 
Hayo makosa ni Yale yanayodhaniwa kufanyika miezi michache iliyopita.
No, kuna makosa ya rushwa yametajwa ni ya miaka mingi kulingana na ushahidi uliopelekwa PCCCB
 
Naomba tukubaliane wote, kwamba nchi hii katika awamu ya tano tulifika pabaya sana chini ya Amirijeshi mkuu Magufuli.

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa au wilaya (RC or DC) ni mtu muhimu sana katika eneo husika kwa ajili ya usalama na ulinzi.

Sasa tulifikaje hapa ambapo mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya anafikia hatua ya kushtakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha (ujambazi)?

Inamaana serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli ilikuwa haijajui haya aliyokuwa anatenda DC huyu? Au ilijuwa ikanyamaza kwa vile ni DC wa Hai? na ndio maana watetezi wa Sabaya makada wa CCM, walimtetea sana?

Mnaona uchama CCM ulivyokuwa umeifikisha mahali pabaya nchi?

Hii maana yake ni kuwa, kama ya sirini ya Sabaya yanajulikana basi walio mpiga risasi Lissu na kumuua Akwilina mchana wanajulikana, walioteka watu mchana wanajulikana nk.

Sasa ili nchi isafishike walio tenda maovu wote kwa kutumia kivuli cha serikali ya Jamhuri ya Tanzania washughulikiwe bila aibu ili kuliondolea balaa taifa (hii Mshana Jr ) anaweza kuielezea vizuri zaidi maana pengine inahitaji maombi au kafara ya kitaifa.

TULIFIKA PABAYA KAMA TAIFA
Usimuite jambazi subiri mahakama imtie hatiani kwanza
 
CCM haiwezi kumtupa Ole Sabaya, alipelekwa Hai kuhakikisha Mbowe harudi bungeni. Amelitekeleza vyema jukumu lake.

Usishangae kuwa sasa hivi Ole Sabaya ana cell yake na chakula anakula cha nyumbani. Wewe ulisikia wapi mahabusu anamvimbia mkuu wa gereza.

Jiandaeni kumlipa Sabaya gharama za usumbufu kupitia kodi yenu.
 
JPM alifanya Sana Mambo ya kihuni kwenye uteuzi, aliongoza kwenye utumishi wa umma vibaka na wahuniwahuni wengi Sana serikalini.Mambo yaliyofanywa na sabaya ni zaidi ya uhuni...
 
Kuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.

Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara

Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.

Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu

Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Wewe ni kenge mweusi
 
CCM haiwezi kumtupa Ole Sabaya, wlipelekwa Hai kuhakikisha Mbowe harusi bungeni. Amelitekeleza vyema jukumu lake.

Usishangae kuwa sasa hivi Ole Sabaya ana cell d Ed yake na chakula anakula cha nyumbani. Wewe ulisikia wapi mahabusu anamvimbia mkuu wa gereza.

Jiandaeni kun lips Sabaya gharama za usumbufu kupitia kodi yenu.
Miaka yote Mbowe ana shinda Hai, na hakujawahi kufanyika yaliyofanyika na Sabaya,
 
Naomba tukubaliane wote, kwamba nchi hii katika awamu ya tano tulifika pabaya sana chini ya Amirijeshi mkuu Magufuli.

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa au wilaya (RC or DC) ni mtu muhimu sana katika eneo husika kwa ajili ya usalama na ulinzi.

Sasa tulifikaje hapa ambapo mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya anafikia hatua ya kushtakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha (ujambazi)?

Inamaana serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli ilikuwa haijajui haya aliyokuwa anatenda DC huyu? Au ilijuwa ikanyamaza kwa vile ni DC wa Hai? na ndio maana watetezi wa Sabaya makada wa CCM, walimtetea sana?

Mnaona uchama CCM ulivyokuwa umeifikisha mahali pabaya nchi?

Hii maana yake ni kuwa, kama ya sirini ya Sabaya yanajulikana basi walio mpiga risasi Lissu na kumuua Akwilina mchana wanajulikana, walioteka watu mchana wanajulikana nk.

Sasa ili nchi isafishike walio tenda maovu wote kwa kutumia kivuli cha serikali ya Jamhuri ya Tanzania washughulikiwe bila aibu ili kuliondolea balaa taifa (hii Mshana Jr ) anaweza kuielezea vizuri zaidi maana pengine inahitaji maombi au kafara ya kitaifa.

TULIFIKA PABAYA KAMA TAIFA
Unashangaa la mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya!!
Hushangai kuwa na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama jambazi na muuaji!!??
 
Pia naomba tupaze sauti kwa pamoja ili aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda aweze kushitakiwa kwa makosa aliyoyatenda akiwa mkuu wa mkoa. Ushahidi upo wa kujitosheleza kabisa. Mfano mzuri ni lile tukio la uvamizi na unyang'anyi wa kutumia silaha(Armed Robbery) katika sehemu ya kazi ya radio ya Mawingu.

Matukio mengine anayohusishwa nayo ni ni pamoja na suala la utekaji wa raia wa Tanzania mfano Roma, Mo.

Tupaze sauti kwa pamoja ili haki itendeke.
 
Pia naomba tupaze sauti kwa pamoja ili aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda aweze kushitakiwa kwa makosa aliyoyatenda akiwa mkuu wa mkoa. Ushahidi upo wa kujitosheleza kabisa. Mfano mzuri ni lile tukio la uvamizi na unyang'anyi wa kutumia silaha(Armed Robbery) katika sehemu ya kazi ya radio ya Mawingu.

Matukio mengine anayohusishwa nayo ni ni pamoja na suala la utekaji wa raia wa Tanzania mfano Roma, Mo.

Tupaze sauti kwa pamoja ili haki itendeke.
 
Kuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.

Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara

Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.

Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu

Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Kwa akili yako unataka tuamini Hai ndo wilaya yenye matajiri kuliko wilaya zote nchini! Na kwamba matajiri wa Hai wanafanya biashara haramu zisizoweza kukamatwa na vyombo halali vya ulinzi na usalama mpaka DC aingilie kati na kuingia front mwenyewe.
1.Kwamba Momba yenye mpaka wa Tunduma ambako tulisikia wafanyabiashara wanakimbilia upande wa pili DC wake hakuwa na akili nzuri za kizalendo kama Sabaya akachukua SMG na kuvamia maduka yao ili kuchukua kodi? Ni sheria ipi inayomruhusu DC kukusanya kodi kwa mtutu wa Bunduki?
2.Kwamba Tarime yenye Mpaka wa Silari hakuna matajiri ambao wangeweza kutekwa na DC wa huko ili kuwatia adabu walipe kodi?
3.Kwamba wilaya zote nchini zilikuwa na ma DC wasiojua wajibu wao isipokuwa Hai?

Mapenzi ya kitoto raha sana, mnapendana kitotototo, mwenzio akichukuliwa na wazazi wake akaoge wewe unabaki unalia umeonewa!!
 
Miaka yote Mbowe ana shinda Hai, na hakujawahi kufanyika yaliyofanyika na Sabaya, huu ni umafia wewe fikiria kuna family ya Mbowe mpaka kaipeleka SA, walikuwa wanalatiwa mmoja baada ya mwingine. Haya ni ya Magufuli, CCM na wizi wake wote haijawahi kufikia hapa.

Huyo Sabaya hela zote alikwapua hana tena, kakosa dhamana kalala Kisongo.
Aliyoyafanya Sabaya hayakuwa siri na alisaidiwa na systemen. Mlimsikia RPC anamwambia Mbowe hatashinda uchaguzi 2020. Nilifikia sehemu ya kuichukia Tanzania.
 
Chini ya Marehemu sote tunajua yaliyotokea. Na kuna mengi sana ndani Mkuu, basi tu mengine hayatamkiki lakini kila kitu kilitoka juu kwa Mtu mmoja tushukuru Mungu alipanga yake. Sote hatukuwa na fahari ya Utanzania
CCM bado ni ile ile, kuna waliomsaidia Sabaya ku facilitate aliyoyafanya na bado wana nguvu ndani ya chama na serikalini.
Muda utatuambia. Lakini ninaona tunapigwa changa la macho.
 
Back
Top Bottom