RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Kua ndani sio shida, shida nikua utaishije huko ndani.Mnajifariji..... Ukweli mchungu RUSSIA jina tu siku ya ngapi leo Ukraine yupo ndani ya Russia na Russia wanalijua hilo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kua ndani sio shida, shida nikua utaishije huko ndani.Mnajifariji..... Ukweli mchungu RUSSIA jina tu siku ya ngapi leo Ukraine yupo ndani ya Russia na Russia wanalijua hilo?
Hakuna wa kujifariji hapa wote ni blacks,huu sio mpira BossMnajifariji..... Ukweli mchungu RUSSIA jina tu siku ya ngapi leo Ukraine yupo ndani ya Russia na Russia wanalijua hilo?
Na Ukraine pia wameshudia silaha za north Korea, Iran zikitumika kuishambulia Ukraine hiyo sio sababu ya Russia kupigika kursk tafuta kisingizio kingine🤣Hakuna wa kujifariji hapa wote ni blacks,huu sio mpira Boss
Ni vita hii, na umeshuhudia mpaka silaha za Canada zimekamatwa
Moto mwingine, tokea wazipokee wamerudisha eneo gani walilomegwa???Ukraine apeleke HIMARS huko Kursk, zile HIMARS ni moto mwingine ule.
Kwa russia anaishije Ukraine 😂mbona mnajitoa ufahamu.... Ukraine yuko poa kabisa nyinyi tu huku warussia wa chanika ndo mnapata tabuKua ndani sio shida, shida nikua utaishije huko ndani.
Inawezekana naongea na chizi.... Hiv unajua hiv tunavyoongea hapa Ukraine muda huu wapo Russia?Wanukishe ila wamechukua eneo gani???? Hata hitler alikinukisha huko ila yako wapi??? Ila alipomega mrusi ndo haparudi milele
Haya mzunguNa Ukraine pia wameshudia silaha za north Korea, Iran zikitumika kuishambulia Ukraine hiyo sio sababu ya Russia kupigika kursk tafuta kisingizio kingine🤣
Haha kazeni msuli Trump akiingia hamna lenu,,,,, hakikisheni mnachukua eneo kubwa mapema sio hivyo vijiwe vya kuvutia bangi miezi kama mi 4 imebaki kazeni msuli,,,,shida hata marinda hamna mnavyozidi kukaza mnatoka upepo tuInawezekana naongea na chizi.... Hiv unajua hiv tunavyoongea hapa Ukraine muda huu wapo Russia?
Wahuni wanazidi kuwamega🤣🤣🤣,,,,huko mlipowekeza nguvu kubwa ndo maana akahamisha raia wake ili muingie mtegoni vizuri,,,hivyo visehemu mnasema mmefungua vigoli vyenu anajua mda wowote anaweza kuwafyeka anawaacha mpumbazike kwanza huku anaendelea kuimega ukraine.......miezi mi 4 tu imebaki kumbukeni.........Russia anacheza chess nyie mnacheza checkers🤣🤣🤣Inawezekana naongea na chizi.... Hiv unajua hiv tunavyoongea hapa Ukraine muda huu wapo Russia?
Halafu wewe kichwa kifuu sana. Kwa hiyo ile kwako wewe uliona ni bonge la intelligence ambayo Marekani tu ndiye aliibainisha. Yaani mtu apeleke majeshi kwa wingi na vifaa mpakani na nchi ambayo wana mgogoro mzito halafu useme umegundua siri nzito . Yaani unaona mtu yupo na mwanamke wa mtu wanaingia gesti halafu unasema umegundua.Aliposema kwamba Russia inaenda kuipiga Ukraine ina maana US ndo alisuka mpango kwa Russia ili aivamie Ukraine? Yaani US walimchukulia maamuzi Putin?
Uliishawahi kuisoma "official document" ya Serikali ya Marekani kuhusu September 11? Kama bado , basi nikudokezee tu kwamba Serikali ya Marekani iliujua huo mpango ila "ikadharau" kwakuwa taarifa inazokusanya za kuishambulia Marekani ni zaidi ya elfu moja kwa siku. Sasa kujua ipi ni kweli na ipi si kweli ndio ikawa changamoto. Lakini document kwamba watashambuliwa ilikuwa mezani zaidi ya miaka miwili tangu Mohamed Atta Kiongozi wa Washambulizi anaingia Marekani kupitia Canada.Unapoonna Marekani anasema amegundua mpango fulani basi ujue ni yeye aliyeandaa na kupanga huo mpango. Hivyo kusema eti Marekani ilijua mapema kuhusu kifo cha Rais wa Iran unatakiwa uwe na akili kubwa sana na sio ushabiki kwa vile tu wewe ni Pro 🇺🇸.
Ni kwanini huwa hatoi taarifa za yale matukio yanayowagusa wao na washirika wake. Je tukio la kigaidi la September 11 mbona hakulijua
Mkuu ukweli LAZIMA usemwe.Hii kitu asikusikie bwana Xi Jinping ila ndio uhalisia sasa.
Ndio. Marekani hii hii ambayo inaendesha uchumi wa China kwa zaidi asilimia ya 76%!
Hii kitu asikusikie bwana Xi Jinping ila ndio uhalisia sasa.
Ahahahahaha! How can I explain the obvious?Unaweza kutuelezea Marekani inaendeshaje uchumi wa China kwa zaidi ya 76% au unabwabwaja tu kufurahisha kijiwe?
Ahahahahaha! How can I explain the obvious?
Anaongea pumba sana huyo jamaa
Ahahahahaha! I've already done that. I'm waiting for your response!If you can't defend your point, you're just talking nonsense
The U.S. goods and services trade deficit with China was $367.4 billion in 2022.
Ahahahahaha!Lets start with this, who is benefited here China or US?