Tuliingia kwa urahisi, wasema wanajeshi wa Ukraine waliohusika katika uvamizi dhidi ya Urusi

Tuliingia kwa urahisi, wasema wanajeshi wa Ukraine waliohusika katika uvamizi dhidi ya Urusi

Mnajifariji..... Ukweli mchungu RUSSIA jina tu siku ya ngapi leo Ukraine yupo ndani ya Russia na Russia wanalijua hilo?
Hakuna wa kujifariji hapa wote ni blacks,huu sio mpira Boss
Ni vita hii, na umeshuhudia mpaka silaha za Canada zimekamatwa
 
Hakuna wa kujifariji hapa wote ni blacks,huu sio mpira Boss
Ni vita hii, na umeshuhudia mpaka silaha za Canada zimekamatwa
Na Ukraine pia wameshudia silaha za north Korea, Iran zikitumika kuishambulia Ukraine hiyo sio sababu ya Russia kupigika kursk tafuta kisingizio kingine🤣
 
Kua ndani sio shida, shida nikua utaishije huko ndani.
Kwa russia anaishije Ukraine 😂mbona mnajitoa ufahamu.... Ukraine yuko poa kabisa nyinyi tu huku warussia wa chanika ndo mnapata tabu
 
Wanukishe ila wamechukua eneo gani???? Hata hitler alikinukisha huko ila yako wapi??? Ila alipomega mrusi ndo haparudi milele
Inawezekana naongea na chizi.... Hiv unajua hiv tunavyoongea hapa Ukraine muda huu wapo Russia?
 
Inawezekana naongea na chizi.... Hiv unajua hiv tunavyoongea hapa Ukraine muda huu wapo Russia?
Haha kazeni msuli Trump akiingia hamna lenu,,,,, hakikisheni mnachukua eneo kubwa mapema sio hivyo vijiwe vya kuvutia bangi miezi kama mi 4 imebaki kazeni msuli,,,,shida hata marinda hamna mnavyozidi kukaza mnatoka upepo tu
 
Inawezekana naongea na chizi.... Hiv unajua hiv tunavyoongea hapa Ukraine muda huu wapo Russia?
Wahuni wanazidi kuwamega🤣🤣🤣,,,,huko mlipowekeza nguvu kubwa ndo maana akahamisha raia wake ili muingie mtegoni vizuri,,,hivyo visehemu mnasema mmefungua vigoli vyenu anajua mda wowote anaweza kuwafyeka anawaacha mpumbazike kwanza huku anaendelea kuimega ukraine.......miezi mi 4 tu imebaki kumbukeni.........Russia anacheza chess nyie mnacheza checkers🤣🤣🤣
Screenshot_20240816-155555_RT News.jpg
 
Aliposema kwamba Russia inaenda kuipiga Ukraine ina maana US ndo alisuka mpango kwa Russia ili aivamie Ukraine? Yaani US walimchukulia maamuzi Putin?
Halafu wewe kichwa kifuu sana. Kwa hiyo ile kwako wewe uliona ni bonge la intelligence ambayo Marekani tu ndiye aliibainisha. Yaani mtu apeleke majeshi kwa wingi na vifaa mpakani na nchi ambayo wana mgogoro mzito halafu useme umegundua siri nzito . Yaani unaona mtu yupo na mwanamke wa mtu wanaingia gesti halafu unasema umegundua.

VIPORO VINADUMAZA UBONGO
 
Unapoonna Marekani anasema amegundua mpango fulani basi ujue ni yeye aliyeandaa na kupanga huo mpango. Hivyo kusema eti Marekani ilijua mapema kuhusu kifo cha Rais wa Iran unatakiwa uwe na akili kubwa sana na sio ushabiki kwa vile tu wewe ni Pro 🇺🇸.

Ni kwanini huwa hatoi taarifa za yale matukio yanayowagusa wao na washirika wake. Je tukio la kigaidi la September 11 mbona hakulijua
Uliishawahi kuisoma "official document" ya Serikali ya Marekani kuhusu September 11? Kama bado , basi nikudokezee tu kwamba Serikali ya Marekani iliujua huo mpango ila "ikadharau" kwakuwa taarifa inazokusanya za kuishambulia Marekani ni zaidi ya elfu moja kwa siku. Sasa kujua ipi ni kweli na ipi si kweli ndio ikawa changamoto. Lakini document kwamba watashambuliwa ilikuwa mezani zaidi ya miaka miwili tangu Mohamed Atta Kiongozi wa Washambulizi anaingia Marekani kupitia Canada.
 
Anaongea pumba sana huyo jamaa

The People's Republic of China​


China Trade & Investment Summary
U.S. goods and services trade with China totaled an estimated $758.4 billion in 2022. Exports were $195.5 billion; imports were $562.9 billion. The U.S. goods and services trade deficit with China was $367.4 billion in 2022.
U.S. goods exports to China in 2022 were $154.0 billion, up 1.7 percent ($2.6 billion) from 2021 and up 39 percent from 2012. U.S. goods imports from China totaled $536.3 billion in 2022, up 6.3 percent ($32.0 billion) from 2021, and up 26 percent from 2012. U.S. exports to China account for 7.5 percent of overall U.S. exports in 2022. The U.S. goods trade deficit with China was $382.3 billion in 2022, a 8.3 percent increase ($29.4 billion) over 2021.
U.S. exports of services to China were an estimated $41.5 billion in 2022, 5.2 percent ($2.1 billion) more than 2021, and 39 percent greater than 2012 levels. U.S. imports of services from China were an estimated $26.6 billion in 2022, 24.1 percent ($5.2 billion) more than 2021, and 97 percent greater than 2012 levels. Leading services exports from the U.S. to China were in the travel, intellectual property, and financial services sectors. The United States had a services trade surplus of an estimated $14.9 billion with China in 2022, down 17.3 percent from 2021.
U.S. foreign direct investment (FDI) in China (stock) was $126.1 billion in 2022, a 9.0 percent increase from 2021. U.S. direct investment in China is led by manufacturing, wholesale trade, and finance and insurance.
China's FDI in the United States (stock) was $28.7 billion in 2022, down 7.2 percent from 2021. China's direct investment in the U.S. is led by manufacturing, real estate, and depository institutions.

SOMA AKO KIDOGO. KAMA UNAWEZA KU COUNTER ATTACK HIYO, NAKUWEKEA NYINGINE.
 
Back
Top Bottom