Tuliitumia CECAFA kutambulisha wachezaji na kufanya mazoezi

Tuliitumia CECAFA kutambulisha wachezaji na kufanya mazoezi

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Salaam watu wa soka

Baada ya timu yetu Singida Black Stars kutolewa kwenye mashindano ya CECAFA kwa kushinda mechi moja na kupoteza mechi mbili, maswali yamekuwa mengi mno.

Tulisema mapema tunaenda kwenye mashindano haya kwa lengo la kujaribu wachezaji ikiwa ni mpango wa mwalimu. Ndio maana hata maandalizi yalikuwa ya siku 3 tu. Haya yanakupeleka wapi kwa wachezaji ambao hawajawahi kucheza pamoja ndio kwanza wanakutana?

Kimsingi CECAFA imekuwa platform nzuri kwetu kutambulisha sehemu ya kikosi chetu kwa sababu zaidi ya 98% ya wachezaji waliocheza ndio tumetoka kuwasajili akiwemo Kocha Mkuu, Patrick Aussems.

Kwahiyo niwatoe hofu mashabiki, timu yenu ndio imeingia rasmi kambini Arusha kujifua kuelekea msimu wa mashindano 2024/25.

Kusema ukweli kwa usajili tulioufanya, mwaka huu tumedhamiria tuchukue angalau kombe moja la kuanzia na twende tukapambane kimataifa.
 
Salaam watu wa soka

Baada ya timu yetu Singida Black Stars kutolewa kwenye mashindano ya CECAFA kwa kushinda mechi moja na kupoteza mechi mbili, maswali yamekuwa mengi mno.

Tulisema mapema tunaenda kwenye mashindano haya kwa lengo la kujaribu wachezaji ikiwa ni mpango wa mwalimu. Ndio maana hata maandalizi yalikuwa ya siku 3 tu. Haya yanakupeleka wapi kwa wachezaji ambao hawajawahi kucheza pamoja ndio kwanza wanakutana?

Kimsingi CECAFA imekuwa platform nzuri kwetu kutambulisha sehemu ya kikosi chetu kwa sababu zaidi ya 98% ya wachezaji waliocheza ndio tumetoka kuwasajili akiwemo Kocha Mkuu, Patrick Aussems.

Kwahiyo niwatoe hofu mashabiki, timu yenu ndio imeingia rasmi kambini Arusha kujifua kuelekea msimu wa mashindano 2024/25.

Kusema ukweli kwa usajili tulioufanya, mwaka huu tumedhamiria tuchukue angalau kombe moja la kuanzia na twende tukapambane kimataifa.
Sawa...
 
Tatizo hawa wasemaji wa timu kongwe wameweka standard mbovu kwa wasemaji wa vitimu kama hivi kufikiri kwamba ukiwa msemaji wa timu lazima mtu wa porojo tu
 
Ichi Cheo cha Msemaji wa Team ni cha nini sioni umuhimu wake.
Mimi ni Simba ila Ahmedy anaboa ukimsikiliza TFF wakiondoe banaaa
 
Ligi ianze tu kikubwa uwe unajibu hoja usikumbie
 
Unamchukuliaje Mwigulu? Unamjua vizuri?
Naona na wewe umeshaanza kuvimba na hela zetu za tozo kama ilivyo kwa huyo Boss wako! Bora mambo mengine ukayaacha tu yapite kimya kimya. Ila ukijifanya mjuaji na kuamua kumjibu kila mtu kwenye huu uzi wako, utaishia tu kuchafua hali ya hewa.
 
Back
Top Bottom