Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo ni vipaji walivyojali watu wachache kwa faida ya wengi.Kila Mtanzania angekuwa na spirit kama yako ya kuwa tayari kukutetea anachokiamini kwa gharama yoyote,kwa na rasilimali tulizo nazo tungekuwa kama Japan/Germany
Hao unaowasikiliza ndio walioingia hii mikataba mibovu.Tatizo umekaa kivuta bangi ata kama una point mtu mwenye akili zake hawezi kaa asikilize ata sec 3 za interview yako
You cut the cakeHizi aya 2 ni nimezipenda sana:
"Msimamo wetu ni kwamba tumewajulisha polisi kwamba hawana hiyo mamlaka ya kutuzuia sisi kusafiri kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. Kwamba tutasafiri na wakitusumbua tumewaambia wadhamini wetu waandike barua za kujitoa halafu waturudishe mahabusu na kisha watupeleke mahakamani. Lakini pia bado niko kwenye mashauriano na mawakili wangu nataka kuwafungulia kesi baadhi ya maafisa wa polisi kwa majina yao badala ya vyeo vyao maana askari unapofanya vitu kinyume na sheria hiyo ni utashi wake binafsi na anapaswa kuwajibika mwenyewe."
"Msimamo wetu ni kwamba maandamano ya nchi nzima yako palepale. Kitu pekee kitakachositisha maandamano haya ni serikali kusitisha mkataba huu mbovu wa bandari kati ya nchi yetu na DP World ya Dubai. Kwenye hili sisi tuko tayari kunyongwa, kwanza kunyongwa kwa ajili ya kupigania rasilimali za nchi hii ni fursa tunayoitaka hata kesho. Hatumuogopi yoyote isipokuwa Mungu muumbaji wa mbinguni."
Hate or love him this guy(Mdude Nyagali) ana balls of steel!The guy is so so patriotic!!Watu kama hawa hutokea mara chache sana kwenye jamii.1. 𝗞𝘂𝗸𝗮𝗺𝗮𝘁𝘄𝗮
Mnamo usiku wa manane tarehe 12 august 2023 siku ya ijumaa usiku tukiwa safarini tulikamatwa na askari polisi maeneo ya mikumi check point karibu na mizani. Askari hao walituambia wamepata maagizo kutoka juu ya kutushikilia Mimi pamoja na wezangu Emmanuel Godfrey Masonga pamoja na wakili Boniface Mwabukusi bila kuweka wazi tuhuma zilizokuwa zikitukabili kinyume kabisa na sheria za nchi.
Askari hao walianza kupekua gari yetu na kukisanya simu zetu pamoja na laptop kinyume na sheria Kisha kutuweka kizuizini kituo Cha polisi mikumi. Hata tulivyowauliza mnatushirikilia kwa tuhuma gani walidai wao hawajui chochote isipokuwa Kuna askari wanatoka ofisi ya RCO Morogoro ndio wanaojua.
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania ni wajibu wa askari polisi kumjulisha mtuhumiwa tuhuma zake kabla ya kumkamata na mtuhumiwa anapaswa kuhojiwa ama kuandika maelezo ya kosa lake kwa masaa yasiyozidi manne tangu kukamatwa kwake kisha kufikishwa mahakamani kwa masaa yasiyozidi 24. Lakini sisi mpaka tunasafirishwa kutoka kituo cha polisi Mikumi kwenda Mbeya bado mashtaka yetu hayakuwekwa wazi huku Masonga akiachiwa kwa dhamana kwa kosa ambalo bado halikuwekwa wazi.
Siku 1 baadaye yani jumapili usiku mimi na wakili Mwabukusi tulihojiwa kwa nyakati tofauti kwa tuhuma za uhaini. Kwamba mimi Mdude Mpaluka Nyagali na wenzangu tunapanga kumpindua Samia na serikali yake. Nilikataa kutoa maelezo na badala yake niliwajulisha polisi kwamba maelezo yangu nitatolea mahakamani.
2. 𝗞𝘂𝗴𝗼𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮
Kwamba tangu tulipokuwa tunashirikiwa mikono mwa polisi tulizuiwa kuonana na mawakili wetu pamoja na ndugu. Polisi walikuwa wanalazimisha sisi kula chakula bila kutuweka wazi chakula kilikotoka. Kwa mazingira hayo tukalazimika kugoma kula wala kunywa chochote kwa siku 4 mfululizo mpaka waliporuhusu ndugu yetu kutuletea chakula moja kwa moja.
3. 𝗧𝗲𝘁𝗲𝘀𝗶 𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗲𝗹𝗲𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗵𝗮𝗸𝗮𝗺𝗮𝗻𝗶
Kwamba mnamo 16th august 2023 mimi na mwenzangu wakili Mwabukusi tulijulishwa na ofisi ya RCO Mbeya kwamba tutafikishwa mahakamani siku hiyo kwa mashitaka ya uhaini baada tu ya kuchukua simple za sauti zetu. Kwa bahati mbaya hatukufikishwa mahakamani na wala hatukuambiwa kitu gani kimekwamisha kwani tayari sisi tulikuwa tumejiandaa kwenda gerezani.
4. 𝗞𝘂𝗮𝗰𝗵𝗶𝘄𝗮
Mnamo 18th August 2023 siku ya ijumaa mimi na mwenzangu wakili Mwabukusi tuliitwa tena ofisini kwa RCO na kutujulisha kwamba tutafute wadhamini. Kwanza tulipigwa na butwaa maana kwa mujibu wa sheria za Tanzania makosa ya uhaini hayana dhamana, lakini pia hatukuhojiwa kosa lingine isipokuwa uhaini.
Kwa mazingira hayo sisi tulikataa na badala yake tukataka watufikishe mahakamani na hata kama hawajaandaa hati ya mashitaka sisi tuliwajulisha kwamba tutakuwa tayari kukaa kituoni hapo mpaka watakapokuwa wameandaa hati hiyo. Lakini pia tulitaka kuonana na mawakili wetu ambao walikuwa wanatuzuia kuonana nao. Baada ya kuonyesha msimamo huo tulirudishwa mahabusi lakini masaa mawili baadaye tuliitwa na kujulishwa kwamba mawakili wetu wamekamilisha dhamana bila ya kuwasiliana na sisi kama tulivyotaka. Na tulipoachiwa tumeambiwa kwamba moja ya masharti ya dhamana hiyo ni kutosafiri nje ya mkoa wa Mbeya.
Msimamo wetu ni kwamba tumewajulisha polisi kwamba hawana hiyo mamlaka ya kutuzuia sisi kusafiri kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. Kwamba tutasafiri na wakitusumbua tumewaambia wadhamini wetu waandike barua za kujitoa halafu waturudishe mahabusu na kisha watupeleke mahakamani. Lakini pia bado niko kwenye mashauriano na mawakili wangu nataka kuwafungulia kesi baadhi ya maafisa wa polisi kwa majina yao badala ya vyeo vyao maana askari unapofanya vitu kinyume na sheria hiyo ni utashi wake binafsi na anapaswa kuwajibika mwenyewe.
5. 𝗔𝗳𝘆𝗮 𝘆𝗮𝗻𝗴𝘂
Kwamba baada ya kuachiwa nilipata matatizo ya tumbo katika mfumo wa chakula na choo. Kwamba baada ya matibabu kwa wiki sasa naendelea vizuri.
6. 𝗠𝘀𝗶𝗺𝗮𝗺𝗼
Msimamo wetu ni kwamba maandamano ya nchi nzima yako palepale. Kitu pekee kitakachositisha maandamano haya ni serikali kusitisha mkataba huu mbovu wa bandari kati ya nchi yetu na DP World ya Dubai. Kwenye hili sisi tuko tayari kunyongwa, kwanza kunyongwa kwa ajili ya kupigania rasilimali za nchi hii ni fursa tunayoitaka hata kesho. Hatumuogopi yoyote isipokuwa Mungu muumbaji wa mbinguni.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Vwawa - Songwe.View attachment 2727459
unless you've something valuable to fight for!Wew upo ccm hata siku moja tu ukishinda unakufa😅Kumbe unaweza kukaa siku 4 bila kula na ukatoboa fresh tu
Ukituliaga huwa unaandika vitu vya maana1. 𝗞𝘂𝗸𝗮𝗺𝗮𝘁𝘄𝗮
Mnamo usiku wa manane tarehe 12 august 2023 siku ya ijumaa usiku tukiwa safarini tulikamatwa na askari polisi maeneo ya mikumi check point karibu na mizani. Askari hao walituambia wamepata maagizo kutoka juu ya kutushikilia Mimi pamoja na wezangu Emmanuel Godfrey Masonga pamoja na wakili Boniface Mwabukusi bila kuweka wazi tuhuma zilizokuwa zikitukabili kinyume kabisa na sheria za nchi.
Askari hao walianza kupekua gari yetu na kukisanya simu zetu pamoja na laptop kinyume na sheria Kisha kutuweka kizuizini kituo Cha polisi mikumi. Hata tulivyowauliza mnatushirikilia kwa tuhuma gani walidai wao hawajui chochote isipokuwa Kuna askari wanatoka ofisi ya RCO Morogoro ndio wanaojua.
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania ni wajibu wa askari polisi kumjulisha mtuhumiwa tuhuma zake kabla ya kumkamata na mtuhumiwa anapaswa kuhojiwa ama kuandika maelezo ya kosa lake kwa masaa yasiyozidi manne tangu kukamatwa kwake kisha kufikishwa mahakamani kwa masaa yasiyozidi 24. Lakini sisi mpaka tunasafirishwa kutoka kituo cha polisi Mikumi kwenda Mbeya bado mashtaka yetu hayakuwekwa wazi huku Masonga akiachiwa kwa dhamana kwa kosa ambalo bado halikuwekwa wazi.
Siku 1 baadaye yani jumapili usiku mimi na wakili Mwabukusi tulihojiwa kwa nyakati tofauti kwa tuhuma za uhaini. Kwamba mimi Mdude Mpaluka Nyagali na wenzangu tunapanga kumpindua Samia na serikali yake. Nilikataa kutoa maelezo na badala yake niliwajulisha polisi kwamba maelezo yangu nitatolea mahakamani.
2. 𝗞𝘂𝗴𝗼𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮
Kwamba tangu tulipokuwa tunashirikiwa mikono mwa polisi tulizuiwa kuonana na mawakili wetu pamoja na ndugu. Polisi walikuwa wanalazimisha sisi kula chakula bila kutuweka wazi chakula kilikotoka. Kwa mazingira hayo tukalazimika kugoma kula wala kunywa chochote kwa siku 4 mfululizo mpaka waliporuhusu ndugu yetu kutuletea chakula moja kwa moja.
3. 𝗧𝗲𝘁𝗲𝘀𝗶 𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗲𝗹𝗲𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗵𝗮𝗸𝗮𝗺𝗮𝗻𝗶
Kwamba mnamo 16th august 2023 mimi na mwenzangu wakili Mwabukusi tulijulishwa na ofisi ya RCO Mbeya kwamba tutafikishwa mahakamani siku hiyo kwa mashitaka ya uhaini baada tu ya kuchukua simple za sauti zetu. Kwa bahati mbaya hatukufikishwa mahakamani na wala hatukuambiwa kitu gani kimekwamisha kwani tayari sisi tulikuwa tumejiandaa kwenda gerezani.
4. 𝗞𝘂𝗮𝗰𝗵𝗶𝘄𝗮
Mnamo 18th August 2023 siku ya ijumaa mimi na mwenzangu wakili Mwabukusi tuliitwa tena ofisini kwa RCO na kutujulisha kwamba tutafute wadhamini. Kwanza tulipigwa na butwaa maana kwa mujibu wa sheria za Tanzania makosa ya uhaini hayana dhamana, lakini pia hatukuhojiwa kosa lingine isipokuwa uhaini.
Kwa mazingira hayo sisi tulikataa na badala yake tukataka watufikishe mahakamani na hata kama hawajaandaa hati ya mashitaka sisi tuliwajulisha kwamba tutakuwa tayari kukaa kituoni hapo mpaka watakapokuwa wameandaa hati hiyo. Lakini pia tulitaka kuonana na mawakili wetu ambao walikuwa wanatuzuia kuonana nao. Baada ya kuonyesha msimamo huo tulirudishwa mahabusi lakini masaa mawili baadaye tuliitwa na kujulishwa kwamba mawakili wetu wamekamilisha dhamana bila ya kuwasiliana na sisi kama tulivyotaka. Na tulipoachiwa tumeambiwa kwamba moja ya masharti ya dhamana hiyo ni kutosafiri nje ya mkoa wa Mbeya.
Msimamo wetu ni kwamba tumewajulisha polisi kwamba hawana hiyo mamlaka ya kutuzuia sisi kusafiri kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. Kwamba tutasafiri na wakitusumbua tumewaambia wadhamini wetu waandike barua za kujitoa halafu waturudishe mahabusu na kisha watupeleke mahakamani. Lakini pia bado niko kwenye mashauriano na mawakili wangu nataka kuwafungulia kesi baadhi ya maafisa wa polisi kwa majina yao badala ya vyeo vyao maana askari unapofanya vitu kinyume na sheria hiyo ni utashi wake binafsi na anapaswa kuwajibika mwenyewe.
5. 𝗔𝗳𝘆𝗮 𝘆𝗮𝗻𝗴𝘂
Kwamba baada ya kuachiwa nilipata matatizo ya tumbo katika mfumo wa chakula na choo. Kwamba baada ya matibabu kwa wiki sasa naendelea vizuri.
6. 𝗠𝘀𝗶𝗺𝗮𝗺𝗼
Msimamo wetu ni kwamba maandamano ya nchi nzima yako palepale. Kitu pekee kitakachositisha maandamano haya ni serikali kusitisha mkataba huu mbovu wa bandari kati ya nchi yetu na DP World ya Dubai. Kwenye hili sisi tuko tayari kunyongwa, kwanza kunyongwa kwa ajili ya kupigania rasilimali za nchi hii ni fursa tunayoitaka hata kesho. Hatumuogopi yoyote isipokuwa Mungu muumbaji wa mbinguni.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Vwawa - Songwe.View attachment 2727459
Kumbe bandari imeuzwa ,imeuzwa na nani na shilling ngapi?Hivi ile michango iko wapi kwa wazalendo wa nchi hii kikundi kidogo kutumia dola kujinufaisha ....watanzania sijui ujinga au kukosa elimu tunakubali kuuza bandari ....kikundi kidogo cha mwanasiasa aibuuu.....tuwachangie kesi yao hii aibu
Usiwe msengeVipi huko kinyume na maumbile?
1. 𝗞𝘂𝗸𝗮𝗺𝗮𝘁𝘄𝗮
Mnamo usiku wa manane tarehe 12 august 2023 siku ya ijumaa usiku tukiwa safarini tulikamatwa na askari polisi maeneo ya mikumi check point karibu na mizani. Askari hao walituambia wamepata maagizo kutoka juu ya kutushikilia Mimi pamoja na wezangu Emmanuel Godfrey Masonga pamoja na wakili Boniface Mwabukusi bila kuweka wazi tuhuma zilizokuwa zikitukabili kinyume kabisa na sheria za nchi.
Askari hao walianza kupekua gari yetu na kukisanya simu zetu pamoja na laptop kinyume na sheria Kisha kutuweka kizuizini kituo Cha polisi mikumi. Hata tulivyowauliza mnatushirikilia kwa tuhuma gani walidai wao hawajui chochote isipokuwa Kuna askari wanatoka ofisi ya RCO Morogoro ndio wanaojua.
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania ni wajibu wa askari polisi kumjulisha mtuhumiwa tuhuma zake kabla ya kumkamata na mtuhumiwa anapaswa kuhojiwa ama kuandika maelezo ya kosa lake kwa masaa yasiyozidi manne tangu kukamatwa kwake kisha kufikishwa mahakamani kwa masaa yasiyozidi 24. Lakini sisi mpaka tunasafirishwa kutoka kituo cha polisi Mikumi kwenda Mbeya bado mashtaka yetu hayakuwekwa wazi huku Masonga akiachiwa kwa dhamana kwa kosa ambalo bado halikuwekwa wazi.
Siku 1 baadaye yani jumapili usiku mimi na wakili Mwabukusi tulihojiwa kwa nyakati tofauti kwa tuhuma za uhaini. Kwamba mimi Mdude Mpaluka Nyagali na wenzangu tunapanga kumpindua Samia na serikali yake. Nilikataa kutoa maelezo na badala yake niliwajulisha polisi kwamba maelezo yangu nitatolea mahakamani.
2. 𝗞𝘂𝗴𝗼𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮
Kwamba tangu tulipokuwa tunashirikiwa mikono mwa polisi tulizuiwa kuonana na mawakili wetu pamoja na ndugu. Polisi walikuwa wanalazimisha sisi kula chakula bila kutuweka wazi chakula kilikotoka. Kwa mazingira hayo tukalazimika kugoma kula wala kunywa chochote kwa siku 4 mfululizo mpaka waliporuhusu ndugu yetu kutuletea chakula moja kwa moja.
3. 𝗧𝗲𝘁𝗲𝘀𝗶 𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗲𝗹𝗲𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗵𝗮𝗸𝗮𝗺𝗮𝗻𝗶
Kwamba mnamo 16th august 2023 mimi na mwenzangu wakili Mwabukusi tulijulishwa na ofisi ya RCO Mbeya kwamba tutafikishwa mahakamani siku hiyo kwa mashitaka ya uhaini baada tu ya kuchukua simple za sauti zetu. Kwa bahati mbaya hatukufikishwa mahakamani na wala hatukuambiwa kitu gani kimekwamisha kwani tayari sisi tulikuwa tumejiandaa kwenda gerezani.
4. 𝗞𝘂𝗮𝗰𝗵𝗶𝘄𝗮
Mnamo 18th August 2023 siku ya ijumaa mimi na mwenzangu wakili Mwabukusi tuliitwa tena ofisini kwa RCO na kutujulisha kwamba tutafute wadhamini. Kwanza tulipigwa na butwaa maana kwa mujibu wa sheria za Tanzania makosa ya uhaini hayana dhamana, lakini pia hatukuhojiwa kosa lingine isipokuwa uhaini.
Kwa mazingira hayo sisi tulikataa na badala yake tukataka watufikishe mahakamani na hata kama hawajaandaa hati ya mashitaka sisi tuliwajulisha kwamba tutakuwa tayari kukaa kituoni hapo mpaka watakapokuwa wameandaa hati hiyo. Lakini pia tulitaka kuonana na mawakili wetu ambao walikuwa wanatuzuia kuonana nao. Baada ya kuonyesha msimamo huo tulirudishwa mahabusi lakini masaa mawili baadaye tuliitwa na kujulishwa kwamba mawakili wetu wamekamilisha dhamana bila ya kuwasiliana na sisi kama tulivyotaka. Na tulipoachiwa tumeambiwa kwamba moja ya masharti ya dhamana hiyo ni kutosafiri nje ya mkoa wa Mbeya.
Msimamo wetu ni kwamba tumewajulisha polisi kwamba hawana hiyo mamlaka ya kutuzuia sisi kusafiri kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi. Kwamba tutasafiri na wakitusumbua tumewaambia wadhamini wetu waandike barua za kujitoa halafu waturudishe mahabusu na kisha watupeleke mahakamani. Lakini pia bado niko kwenye mashauriano na mawakili wangu nataka kuwafungulia kesi baadhi ya maafisa wa polisi kwa majina yao badala ya vyeo vyao maana askari unapofanya vitu kinyume na sheria hiyo ni utashi wake binafsi na anapaswa kuwajibika mwenyewe.
5. 𝗔𝗳𝘆𝗮 𝘆𝗮𝗻𝗴𝘂
Kwamba baada ya kuachiwa nilipata matatizo ya tumbo katika mfumo wa chakula na choo. Kwamba baada ya matibabu kwa wiki sasa naendelea vizuri.
6. 𝗠𝘀𝗶𝗺𝗮𝗺𝗼
Msimamo wetu ni kwamba maandamano ya nchi nzima yako palepale. Kitu pekee kitakachositisha maandamano haya ni serikali kusitisha mkataba huu mbovu wa bandari kati ya nchi yetu na DP World ya Dubai. Kwenye hili sisi tuko tayari kunyongwa, kwanza kunyongwa kwa ajili ya kupigania rasilimali za nchi hii ni fursa tunayoitaka hata kesho. Hatumuogopi yoyote isipokuwa Mungu muumbaji wa mbinguni.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Vwawa - Songwe.View attachment 2727459
Bureee tuuu ....Kwani hao mliowaweka wana jali ? ....ujinga mtupuKumbe bandari imeuzwa ,imeuzwa na nani na shilling ngapi?
Kapewa kazi ya kudeki vyoo vya SSMNakala kwa Lucas Mwashambwa.