Tulikuwa tunaambiwa USA inaendeshwa kitaasisi na si maamuzi ya mtu mmoja. Mbona sasa tunashuhudia vituko?

Tulikuwa tunaambiwa USA inaendeshwa kitaasisi na si maamuzi ya mtu mmoja. Mbona sasa tunashuhudia vituko?

Sawa kama ni hivyo lakini najiuliza ni kwa nini marais waliomtangulia hawakufanya anachofanya yeye leo hii? Walipotezea kwa ajili ya masilahi mapana ya marekani au ni kwa kutokujuwa?
Kuna kausemi wazungu wanasemaga "pick your battles?"
Nalo hilo la impeachment linawezekana kama ndani ya siku 100 tu za utawala wake ndio haya tunayoyashuhudia mbeleni tunaweza kuliona hilo la kumtaka aondoke madarakani.
Same old same old, walimuimpeach kama sikosei mara mbili muhula wa kwanza
Supporters zake wanategemea hivyo, kina Obama (Democrats) kwa siasa zao chafu wamemtengeneza their worst nightmare; wamejaribu kumsulubu kwa kumtupia kila kesi kwenye vitabu mpaka kuna majimbo yaliboresha vifungu vya sheria ili kumfikisha mahakamani; wamejaribu kumsulubu mpaka kwenye kesi za kulipa Malaya ili taarifa zisifike kwa wife na media (imagine kujaribu kumharibia mtu nafasi ya kugombea urais kwa hatua alizochukua kuipambania ndoa yake)
Zaidi ya hivyo anachofanya ni justified, mabilioni ya pesa yanapotea kwa mgongo wa "misaada"; unapata ripoti mpaka eti kupitia NGOs zimetumika millions of dollars kusambaza kondomu ukanda wa Gaza (hivi kweli mmarekani anayehangaika kulipa Kodi ya nyumba aone story kama hiyo atajisikiaje.... Yaani nateseka ili mtu Fulani huko duniani afanye anasa salama)
 
Wakuu, kwa miaka mingi tuliambiwa maamuzi yoyote pale USA ni ya taasisi na si mtu mmoja. Kwamba katiba yao ndio inaamua, kwamba hata akija Rais kichaa anaongoza maana yeye si mtoa maamuzi pekeake.

Lakini hiki tunachoshuhudia sasa hivi mbona ni kama Afrika tu?

Yani Trump sasa hivi anaweza kuamka tu na kutoa tamko kwamba toa hiki weka pale, kile leta hapa.

Mfano mzuri ni ishu misaada kwa Afrika, na hili la kujitoa WHO na sasa eti anapanga kujitoa UN.

Mbona mimi naona kama US mfumo wao wa uongozi ni mbovu kuliko Afrika?
Imekuwa kama chadema lissu!
 
kwanza wanakandamiza wanawake ,wanawalipa mshahara pungufu dhidi ya wanaume hata kama wana elimu sawa na vyeo sawa.
Tuwe fair Jamani, wanawake mnafanya kazi kimagumashi sana humu ofisini, sick sheet mnaongoza kuchukua hata kama sio mambo ya uzazi; ukiona mwanaume hayupo kazini kimebana kweli kweli
 
Pomoja na kushuhudia yote hayo, watakuja wa kumtetea
Wametanda JamiiForums yote, kila jamvi, siasa, international, habari mchanganyiko ect ect Wana mpaka viroboti. Ukitaja tyu jina, hao.

Mmoja wao ni huyo anaepindisha hapa wakati kila kitu kinaonekana wazi.

Upo sahii
 
Trump anawaumbua Wazungu kwa unafiki wao. Wakome sasa kutulecture sisi kuhusu democracy na waanzie kwako

Yaani mtu mmoja anaibuka na tamko tu au Executive Order moja tuu na kila Muhimili unaufyata kimyaaa

Sasa hivi amefuta msaada kwa nchi ya Ukraine kwa kutoa tamko tu wakati misaada mingine ilipitishwa Senate
Hata sisi CHADEMA hatuna pakujificha.

Tulimnanga marehemu Magufuli, kisa katumia madaraka yake aliyopewa kikatiba.

Leo kafanya Trump, yupo sahihi, na husikii mtu yeyote aliyekuwa akimkemea Magufuli akimkemea Trump. Hiyo inatuambia nn? Utajaza mwenyewe
 
USA isikie tu kweny mitandaoni wakisimulia wakimbizi weusi waliokimbia makwao ,wanazurura huko kama mapaka shume.

USA ina mambo ya hovyo mengi; hiyo demokrasia ni geresha ,kwanza wanakandamiza wanawake ,wanawalipa mshahara pungufu dhidi ya wanaume hata kama wana elimu sawa na vyeo sawa.

Sasa wakimbizi weusi ndiyo wanapiga kelele humu kutetea kutokana na kukimbia makwao kwenda kubeba box.​
Thanks to the Internet.

Kwa propaganda na kuspini wako vizuri sana. Na kwa miaka mingi walituweza, kisa tulikuwa hatupati taarifa moja kwa moja na sababu zingine zilizokiwa nje ya uwezo wetu.

Leo akikoroma, tunajua anakoroma, akiamka tunajua, yani akimumunya tunajua, live bin live.

Lakini bado unakuta wale ambao wako indocrinated na wenye mahaba ya kupitiliza , machawa, vibaraka, mamluki na magenge mengine kama hayo, bado watataka kutuhadaa hivihivi na viinimacho(gaslighting) wakati Taarifa tunazo viganjani.
 
Dunia Inakwenda Na Muda Binafsi Sioni Cha Ajabu hapo.Dunia inaendeshwa kibiashara kupunguza expenses kitu cha kawaida ili kumaximize surplus na hakuna cha Demokrasia kwenye dunia hii asikudanganye Mtu. Kuhusu kukata misaada inayotumwa Africa yupo sahihi kabisa. Tutapewa vya bure mpaka lini? Hadi Condom MSD unapewa bure ARV upewe bure ndio madhara yake Haya unaona kama unaonewa kumbe ni ujinga wako na viongozi wako. Africa is a shithole. Baba akiwa mjinga unategemea watoto waje kuwa werevu NEVER EVER
 
Thanks to the Internet.

Kwa propaganda na kuspini wako vizuri sana. Na kwa miaka mingi walituweza, kisa tulikuwa hatupati taarifa moja kwa moja na sababu zingine zilizokiwa nje ya uwezo wetu.

Leo akikoroma, tunajua anakoroma, akiamka tunajua, yani akimumunya tunajua, live bin live.

Lakini bado unakuta wale ambao wako indocrinated na wenye mahaba ya kupitiliza , machawa, vibaraka, mamluki na magenge mengine kama hayo, bado watataka kutuhadaa hivihivi na viinimacho(gaslighting) wakati Taarifa tunazo viganjani.
Wazungu ni wajanja sana ,kule kwao wanawake hawana thamani ndio mfumo uko mpaka leo kwa vile wameusambaza .

Wazungu wanawake kukaa uchi wanaita uhuru ,kule hawana sheria kubwa ila wana ndogo ndogo za majimbo ,kila kona ziko tofauti kulingana na maadili yao.

Wanaajiri wanawake wengi ili wawalipe mshahara pungufu ...Huku tz mkiwa level moja mnapokea kima kile kile.
 
Si kweli.

Maamuzi yote ambayo kayafanya yapo chini ya madaraka yake.

Au ni maamuzi gani, kwa mfano, ambayo hayapo kwenye mamlaka yake?
Basi katiba yao ni mbovu sana kama zetu tu.

Kama mtu anajiamkia tu asubuhi anasema futa kile, leta hili.
Tujitoe kule, tuingie kule hapo maana ya taasisi haipo
 
💯%!

Humu watu hawaelewi jinsi Marekani inavyotawaliwa ndo maana wanashangaa.

Halafu ni rais gani wa hivi karibuni, tuseme miaka 100 iliyopita ambaye hakuwahi kutumia executive order?
Point yangu ni kwamba, kumbe Rais wa Marekani na yeye ana nguvu sana tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa kwamba kule yenye nguvu ni taasisi siyo mtu.
 
Hapana. Rais wa Marekani hana mamlaka makubwa kama akina Samia.

Hizo executive orders, kwa mfano, zina kikomo chake.

Hawezi tu kuzitoa kwenye kila kitu na kila jambo.

Halafu, wala hazidumu. Rais ajaye anaweza kuzifutilia mbali.

Ungeniambia kwamba Trump kapiga marufuku shughuli za kisiasa kama vile ambavyo Magufuli na Samia walivyofanya, licha ya kwamba ni haki ya kikatiba, hapo ningekubaliana nanyi.

Mpaka sasa hakuna ambacho Trump amefanya kilicho nje ya mamlaka na madaraka yake.

Kama watu wameona amevuka mipaka ya mamlaka yake, wameenda mahakamani na huko mchakato bado unaendelea.
Kutoa amri kujitoa WHO unaona ni jambo dogo mkuu?

Kutaka kujitoa UN ni jambo dogo?

Kukata misaada ambayo wenzake wote waliiacha ni jambo dogo?
 
Wazungu ni wajanja sana ,kule kwao wanawake hawana thamani ndio mfumo uko mpaka leo kwa vile wameusambaza .

Wazungu wanawake kukaa uchi wanaita uhuru ,kule hawana sheria kubwa ila wana ndogo ndogo za majimbo ,kila kona ziko tofauti kulingana na maadili yao.

Wanaajiri wanawake wengi ili wawalipe mshahara pungufu ...Huku tz mkiwa level moja mnapokea kima kile kile.
Africa haijawahi kuwa na matatizo ya mfumo dume kama ilivyo nchi za Kimagharibi.

Huo uhuru wa kuwa uchi ni ule wa ' they need to stay in their place' kwamba they are just a sex objects.
 
Ogopa sana kundi la wajinga
Linaweza kujikusanya na kukuchagulia mjinga mwenzao, hapo ndio utajua hujui
Na huu ndio udhaifu wa demokrasia....

1741121249756.png
 
Point yangu ni kwamba, kumbe Rais wa Marekani na yeye ana nguvu sana tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa kwamba kule yenye nguvu ni taasisi siyo mtu.
Kusema ukweli hana nguvu sana kulinganisha na hawa wa kwetu.

Hizo executive orders mnazozisikia zimewekewa masharti yanayomfunga asiweze kupitiliza mamlaka yake.

Kwa mfano, ile executive order ya kuondoa birthright citizenship, haiwezi kutekelezwa kwa sababu inakinzana na katiba.

Katiba ndo inatoa hiyo haki ya birthright citizenship.

Yeye kuisaini hiyo executive order kuiondoa hiyo haki, alifanya hivyo makusudi akijua kabisa haitatimizika.

Na kwa vile ni haki ya kikatiba, ili kuiondoa, kutahitajika mabadiliko ya kikatiba [constitutional amendment], kitu ambacho matakwa yake ni magumu sana kuyatimiza.

Sasa kilichopo ni kesi mahakamani ambazo nafhani zitaenda mpaka kwenye mahakama ya upeo.

Mfano mwingine ni gun control. Kwa nini mpaka sasa unadhani hakuna Rais wa Marekani ambaye amesaini executive order kupiga marufuku wananchi kumiliki bunduki

Jibu ni kwa sababu haki ya kumiliki na kubeba silaha ni haki yao ya kikatiba [second amendment]. Hivyo, ili kuiondoa, utahitaji amendment nyingine ambayo mchakato wake ni mgumu sana.

Pia, Rais wa Marekani hawezi kumfunga raia yeyote yule. Huku kwetu Rais ana uwezo wa kukuweka ndani kwa sababu yoyote ile na kwa muda wowote ule.

Rais wa Marekani hawezi tu kuamka siku moja na kupiga marufuku watu kufanya shughuli za kisiasa.

Rais wa Marekani hawezi kuamuru chombo chochote kile cha habari kufungiwa kisa hakijamwandika au kumripoti vizuri.

Hata watumishi wengi anaowateua, hususan wale wa ngazi za juu, ni lazima wathibitishwe na seneti.

Na imeshawahi kutokea huko nyuma mteule wa Rais kukataliwa na seneti. Ikitokea hivyo, Rais anakuwa hana jinsi zaidi ya kuteua mtu mwingine tu.

Mfumo wa serikali za majimbo nao unamfanya Rais wa Marekani asiwe na nguvu sana. Majimbo nayo yana haki zake na viongozi wake, magavana, wana nguvu zao ambao Rais hawezi kuziingilia.

Mfano, Rais wa Marekani anaweza kumsamehe mfungwa yeyote yule aliyefungwa kwenye mfumo wa haki wa serikali ya shirikisho.

Lakini, kama mfungwa amefungwa na mfumo wa haki wa jimbo, Rais hawezi fanya chochote. Mwenye nguvu na mamlaka ya kufanya chochote ikiwemo kutoa msamaha, ni magavana.

Naelewa kwa nini inaweza kuonekana kuwa Rais wa Marekani ana nguvu sana kama hawa marais wa Afrika, lakini Ukweli wa mambo ni kwamba hana nguvu kiasi hicho.
 
Kutoa amri kujitoa WHO unaona ni jambo dogo mkuu?

Kutaka kujitoa UN ni jambo dogo?

Kukata misaada ambayo wenzake wote waliiacha ni jambo dogo?
Ndiyo.

UN na WHO havina kabisa manufaa yoyote yale kwa Marekani.

Kama ilivyo kwa NATO, Marekani ndo inazibeba hizo taasisi.

Wamarekani wengi sana hawana kabisa muda na hizi taasisi na wengi wao wala hawazijui.

Na Marekani ikijitoa, athari tutapata sisi nchi za ulimwengu wa tatu.
 
Kusema ukweli hana nguvu sana kulinganisha na hawa wa kwetu.

Hizo executive orders mnazozisikia zimewekewa masharti yanayomfunga asiweze kupitiliza mamlaka yake.

Kwa mfano, ile executive order ya kuondoa birthright citizenship, haiwezi kutekelezwa kwa sababu inakinzana na katiba.

Katiba ndo inatoa hiyo haki ya birthright citizenship.

Yeye kuisaini hiyo executive order kuiondoa hiyo haki, alifanya hivyo makusudi akijua kabisa haitatimizika.

Na kwa vile ni haki ya kikatiba, ili kuiondoa, kutahitajika mabadiliko ya kikatiba [constitutional amendment], kitu ambacho matakwa yake ni magumu sana kuyatimiza.

Sasa kilichopo ni kesi mahakamani ambazo nafhani zitaenda mpaka kwenye mahakama ya upeo.

Mfano mwingine ni gun control. Kwa nini mpaka sasa unadhani hakuna Rais wa Marekani ambaye amesaini executive order kupiga marufuku wananchi kumiliki bunduki

Jibu ni kwa sababu haki ya kumiliki na kubeba silaha ni haki yao ya kikatiba [second amendment]. Hivyo, ili kuiondoa, utahitaji amendment nyingine ambayo mchakato wake ni mgumu sana.

Pia, Rais wa Marekani hawezi kumfunga raia yeyote yule. Huku kwetu Rais ana uwezo wa kukuweka ndani kwa sababu yoyote ile na kwa muda wowote ule.

Rais wa Marekani hawezi tu kuamka siku moja na kupiga marufuku watu kufanya shughuli za kisiasa.

Rais wa Marekani hawezi kuamuru chombo chochote kile cha habari kufungiwa kisa hakijamwandika au kumripoti vizuri.

Hata watumishi wengi anaowateua, hususan wale wa ngazi za juu, ni lazima wathibitishwe na seneti.

Na imeshawahi kutokea huko nyuma mteule wa Rais kukataliwa na seneti. Ikitokea hivyo, Rais anakuwa hana jinsi zaidi ya kuteua mtu mwingine tu.

Mfumo wa serikali za majimbo nao unamfanya Rais wa Marekani asiwe na nguvu sana. Majimbo nayo yana haki zake na viongozi wake, magavana, wana nguvu zao ambao Rais hawezi kuziingilia.

Mfano, Rais wa Marekani anaweza kumsamehe mfungwa yeyote yule aliyefungwa kwenye mfumo wa haki wa serikali ya shirikisho.

Lakini, kama mfungwa amefungwa na mfumo wa haki wa jimbo, Rais hawezi fanya chochote. Mwenye nguvu na mamlaka ya kufanya chochote ikiwemo kutoa msamaha, ni magavana.

Naelewa kwa nini inaweza kuonekana kuwa Rais wa Marekani ana nguvu sana kama hawa marais wa Afrika, lakini Ukweli wa mambo ni kwamba hana nguvu kiasi hicho.
I used to believe so, not no more
Ukweli ni kwamba sio tu US, nchi zote za West zimejikuta na wake up call, na kuanza kukumbuka nini kilichotokea Germany, Hitler alichaguliwa kiuhalali
Haya majimbo hayana nguvu kwa sasa, unless kuwe na civil war
Trump anacheza na Federal Goverment, anafukuza kila influencial position na kuweka watu wake, anatumia Federal power kuingilia vitengo vyote muhimu kwa sababu anajua hawezi kuingilia serikali za majimbo.
Mfano, anafukuza FBI heads wote wa majimbo wasiomuunga mkono, juzi kamfikuza wa New York
Anatumia Federal power kufukuza wafanya kazi sababu zote hizo ni taasisi za Federal goverment, lakini hawezi kugusa Municipal employees


Kwa ujumla. wale wote waliokuwa wanashangilia Trump, kwa sasa wanasaga meno, kibarua kinaota majani hata kama walikuwa hardcore MAGA.
Hapa ndio flaws za democracy zinajionyesha kama mtu akiweza ku amass kundi kubwa la wajinga na wakamuweka kama Rais wa nchi,
Na general population ya US , ohh my days, nearly above 50% have general literacy of grade school
1741127138153.png
 
I used to believe so, not no more
Ukweli ni kwamba sio tu US, nchi zote za West zimejikuta na wake up call, na kuanza kukumbuka nini kilichotokea Germany, Hitler alichaguliwa kiuhalali
Haya majimbo hayana nguvu kwa sasa, unless kuwe na civil war
Trump anacheza na Federal Goverment, anafukuza kila influencial position na kuweka watu wake, anatumia Federal power kuingilia vitengo vyote muhimu kwa sababu anajua hawezi kuingilia serikali za majimbo.
Mfano, anafukuza FBI heads wote wa majimbo wasiomuunga mkono, juzi kamfikuza wa New York
Anatumia Federal power kufukuza wafanya kazi sababu zote hizo ni taasisi za Federal goverment, lakini hawezi kugusa Municipal employees


Kwa ujumla. wale wote waliokuwa wanashangilia Trump, kwa sasa wanasaga meno, kibarua kinaota majani hata kama walikuwa hardcore MAGA.
Hapa ndio flaws za democracy zinajionyesha kama mtu akiweza ku amass kundi kubwa la wajinga na wakamuweka kama Rais wa nchi,
Na general population ya US , ohh my days, nearly above 50% have general literacy of grade school
View attachment 3259317
Hata sijui unaongelea nini hapa!

You’re just babbling 🤣.
 
Wakuu, kwa miaka mingi tuliambiwa maamuzi yoyote pale USA ni ya taasisi na si mtu mmoja. Kwamba katiba yao ndio inaamua, kwamba hata akija Rais kichaa anaongoza maana yeye si mtoa maamuzi pekeake.

Lakini hiki tunachoshuhudia sasa hivi mbona ni kama Afrika tu?

Yani Trump sasa hivi anaweza kuamka tu na kutoa tamko kwamba toa hiki weka pale, kile leta hapa.

Mfano mzuri ni ishu misaada kwa Afrika, na hili la kujitoa WHO na sasa eti anapanga kujitoa UN.

Mbona mimi naona kama US mfumo wao wa uongozi ni mbovu kuliko Afrika?
Ujumbe huu uwafikie akina Yoda et Al. Mimi niliwahi kuwauliza swali kama Hilo wakati wa kuondolewa bima ya afya ya Obama care
 
Ujumbe huu uwafikie akina Yoda et Al. Mimi niliwahi kuwauliza swali kama Hilo wakati wa kuondolewa bima ya afya ya Obama care
Kwanza Obamacare haijawahi kuondolewa, bado ipo mpaka leo.

Halafu kwani nchi haiwezi kuwa inaendeshwa kitaasisi halafu akaja mtu akaamua kupuuza taasisi na kuongoza kwa one man show??

Nchi haiwezi kuwa inaongozwa kwa one-man show akaja kiongozi kugeuza na kufanya iongozwe kitaasisi?

Taasisi haziyumbi, kuanguka au kufa kabisa??
 
Back
Top Bottom