Tulikuwa tunaambiwa USA inaendeshwa kitaasisi na si maamuzi ya mtu mmoja. Mbona sasa tunashuhudia vituko?

Tulikuwa tunaambiwa USA inaendeshwa kitaasisi na si maamuzi ya mtu mmoja. Mbona sasa tunashuhudia vituko?

Chadomo huwaga ni roporopo wanaweza kudanganya wajinga tuu.

Rais ndio Kila kitu kwenye Nchi yeyote hakuna Cha Katiba Mpya Wala ya zamani.
ChoiceVariable "take zako" huwa ni vihoja na mihemko sana kwa sababu ya uelewa wako finyu wa mambo, nikikumbuka ulivyoandika uzi mrefu kuwazodoa "machedema" kwamba Tanzania ina sheria nzuri za Madini kuliko Botswana nacheka sana.
 
ChoiceVariable "take zako" huwa ni vihoja na mihemko sana kwa sababu ya uelewa wako finyu wa mambo, nikikumbuka ulivyoandika uzi mrefu kuwazodoa "machedema" kwamba Tanzania ina sheria nzuri za Madini kuliko Botswana nacheka sana.
Kinachokuchekesha ni kipi? Kwani ni uongo?
 
Nchi haiwezi kuwa inaongozwa kwa one-man show akaja kiongozi kugeuza na kufanya iongozwe kitaasisi?

Taasisi haziyumbi, kuanguka au kufa kabisa??
Sio kwa Marekani ndugu zangu, hiyo nchi na nchi nyingine ambazo mnaona zinaendelea Karne hii sio kwasababu ya "one man show" bali kwasababu ya taasisi imara

Trump ni populist, yaani angekuwa nchi hizi zetu zenye taasisi legelege yeye na Mobutu wangekuwa na tofauti kidogo sana ila kitu kama hicho hakiwezi kutokea Marekani kwasababu tangu hiyo nchi inaanza misingi ya Katiba kufuatwa strictly imesimikwa na kujichimbia kabisa kwenye taasisi zake

Chochote afanyacho Trump atakifanya ndani ya Katiba ambayo imempa mamlaka ya kufanya hivyo, na vile vile ndani ya mamlaka yake hiyo hiyo Kuna "handbreak" ambazo zinafanya kazi (mabunge ya Congress na Senate, bila kusahau Judiciary ambayo nayo sio ngeni "kumsawazisha rais")

Kwa ufupi: Hamna kitu Trump atafanikiwa kufanya ambacho kitakuwa nje ya katiba
 
Wakuu, kwa miaka mingi tuliambiwa maamuzi yoyote pale USA ni ya taasisi na si mtu mmoja. Kwamba katiba yao ndio inaamua, kwamba hata akija Rais kichaa anaongoza maana yeye si mtoa maamuzi pekeake.

Lakini hiki tunachoshuhudia sasa hivi mbona ni kama Afrika tu?

Yani Trump sasa hivi anaweza kuamka tu na kutoa tamko kwamba toa hiki weka pale, kile leta hapa.

Mfano mzuri ni ishu misaada kwa Afrika, na hili la kujitoa WHO na sasa eti anapanga kujitoa UN.

Mbona mimi naona kama US mfumo wao wa uongozi ni mbovu kuliko Afrika?

" ......MBONA MIMI......"

☝️☝️☝️☝️☝️
 
Sio one man show, mambo mengi anayoyafanya aliahidi kwenye kampeni; nashangaa wanaomlalamikia aidha ni wapinzani wake (wako nje ya utekelezaji) au raia ambao hawajampigia kura, sidhani kwamba anakaa na kuamka tu na kuamua, cabinet yake nayo inapenda mshike mshike wa aina hiyo....... makosa ya kutumia diplomasia kama muhula wake wa kwanza harudii
Kuna kitu unashindwa kuadmit, hizi show si ni kama executive orders za jpm? Ukizigeuza zikatolewa tokea afrika inakuwa udikteta
 
Basi katiba yao ni mbovu sana kama zetu tu.

Kama mtu anajiamkia tu asubuhi anasema futa kile, leta hili.
Tujitoe kule, tuingie kule hapo maana ya taasisi haipo
Wabongo watabisha na walokole wao huwaambii kitu kuhusu hilo taifa
 
Back
Top Bottom