Hatuna shida na Magufuri ila tuna shida na UKWELI.ENDELEENI KUPAMBANA NA MAGUFULI ILI KUMWONDOA MADARAKANI,MAGUFULI NDIO KAWAZUIA KUINGIA IKILU.
Mama kibori acha nyodo. Takupa talaka 60Tangu lini Bibie akawa mume? Usitende dhambi Bibie ya kujifanya una hogo kumbe tobo!!!
Lipi alifanya jpm lika umiza wananchi?. Mimi silioni.nionyeshe wewe jamba alilofanya jpm la kujinufaisha yeye binafsu na kuwa umiza wananchi.
Tofautisha wanachi ns magenge ya kipigaji na uporaji alyokuwa akipambana nayo jpm.
Excellent analysis. CCM ni ILE ILE awamu zote. Kila awamu ina genge lake la mafisadi.Kwangu adui namba moja wa taifa hili ni genge linaloitwa CCM. Katika awamu yake Magufuli kama Rais, alikuwa pia ndiye kiongozi mkuu wa hilo genge. Alifanya jitihada kubwa kuhakikisha kwamba anaua demokrasia ndani ya taifa hili na matunda ya hizo jitihada ni hili bunge la wasaliti.
Ni kweli amekufa na kuzikwa lakini katuachia balaa mbili; kwanza mrithi wake ni yule yule aliyekuwa msaidizi wake waliyeshirikiana pamoja katika jitihada za kuua hoja mbadala. Pili, matunda ya jitihada zao hizo ni bunge hili lililojaa genge la walafi lisilo na huruma na rasilimali za Watanganyika.
Hapo umepatia, kazi iendelee na kweli kazi inaendelea kwa kasi na matunda yake tunayashuhudia. Malengo kuu ni yale yale ila namna ndiyo iimebadilika. Wafaidika wa wizi na ufisadi pia wamebadilika. Badala ya watu kama Makonda and the gang sasa tunao waarabu wa Dubai...
an offer one can't choose vs coaxing and cajolery. CCM ni ile ile, oh ni ile ileee!
Kwa sababu CCM ni ile ile tena inayong’ang’ania katiba inayompa Rais madaraka yote - hata ya kunajisi kila kitu akijisikia BILA kuhojiwa wala kupingwa!Wakati wa msoga wapinzani walijazana bungeni lkn bado mikataba mibovu ilisainiwa, unasemaje hapo?
YapHakuwa na uwezo kabisa wa kuvumilia ukosoaji alitaka kila jambo liende smooth.Ukimkosoa mara moja mara mbili jiandae kwa pyupyuuu
Tatizo letu sisi kama wananchi hatuna tunachofanya ili kubadili au kupata tunayo yataka, kazi yetu kuishia kuongea tu humu mitandaoni basi. Hivi kama kweli Magufuli alikuwa antesa na kuuwa watu ndio tuseme hayo yalikuwa mapungufu yake hivyo tuliacha tu kwa sababu kila mtu ana mapungufu yake na sasa tunasema Samia anauza nchi bado tunaacha na kuishia kulalamika na kuyapokea kama mapungufu yake?
Mzimu wa MAGU utakuondoka tu. Na huo ndo unaokusunbuaUkweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa, mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.
Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.
Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .
Inaumiza sana
kweli vita ya uchumi haijawahi kumuacha mtu salama (RIP Jembe)JPM aendelee kuishi vita ya kiuchumi ni kubwa mno.
kwa sababu tu labda kati ya ndugu zako hakuna aliyepata shida na huyo mzee ndo maana unamkumbukaUkweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa, mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.
Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.
Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .
Inaumiza sana
Ukweli ndiyo huo.Asante.kwa sababu tu labda kati ya ndugu zako hakuna aliyepata shida na huyo mzee ndo maana unamkumbuka
kama ushagundua ccm wanafurahia wizi, mbona huchukui hatua
Tangu lini mwanamke akatoa taraka?Mama kibori acha nyodo. Takupa talaka 60
Nani aliyekudanganya JPM alichukiwa! Labda wewe na Familia/ukoo wako!Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa, mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.
Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.
Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .
Inaumiza sana
Jamani punguzeni makali ya manenoMagufuli alituchapa viboko tukiwa ndani ya ardhi yetu kwa muda, huyu wa sasa ametuletea nyapara wajomba zake toka Arabuni waje kutuchapa viboko ndani ya ardhi yetu milele.
Kwa hali hii kumkumbuka Magufuli ni haki.
Watu washakula ban [emoji1]Jamani punguzeni makali ya maneno
Marais wote ni zao la ccm kupitia Katiba ya ovyo.Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa, mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.
Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.
Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .
Inaumiza sana