Tulimchukia Hayati Magufuli bila sababu za msingi, sasa tumetambua kuwa alikuwa sahihi, yanayofanyika sasa ni aibu

Hata rais Samia auze hewa/pumzi yetu kwa waarabu. Kamwe siwezi kulikumbuka jitu fedhuli, kiuuaji, tekaji, na kupiga watu risasi kama jiwe.

Ikiwezekana lifariki tena huko liliko.
Umeenda mbali sana huko kisa nini? Shujaa JPM ? Sema tu hivi kuliko umkumbuke shujaa bora upakwe mafuta watu watakuelewa tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Usichanganye cdm na nyie sukuma gang.
Sisi tuliyaona haya mapema tukaaanza kutoa tahadhari, Chadema mkatuambia mama anaupiga mwingi, vipi bado anaugonga mwingi?
Chadema ni genge la wahuni wasio na vision yoyote
 
Wewe kiazi wa CCM usitake kupotosha umma, hakuna aliyemchukia Magufuli bali matendo yake hasa chuki aliyoonyesha wazi kwa upinzani hasa Chadema. Udhalimu wake ndiyo uliomjengea chuki,alisema kwa kinywa chake kuwa watakaochagua upinzani atawanyima huduma za kijamii,jee hii si chuki kwa upinzani? Wewe unachuki binafsi na Mbowe tu umetafuta angle ya kumshambulia.
 
Kwa hiyo lissu kufumuliwa mwili wake kwa risasi ilikuwa sahihi? Acha kuharisha kwa kutumia vidole.
 
makuwadi ya dpworld mliohongwa na warabu wauza watumwa tunawasubiri 2025 ndio mtaelewa vizuri.
 
Acha chuki na wasukuma. Hoja hapa ni namna tulivyomchukia JPM bila sababu
Wasukuma hawana uhusiano na sukuma gang. Mimi nilimchukia na sababu ninazo. Ww sukuma gang maana alikupa kazi ya kuteka watu kwenye lile kundi lake la watu wasiojulikana, unaweza kumuona ni mzuri.
 
Mzee anawacheka Kwa zaraaau
 
Mimi fara nisiwe fara, nasema hatuna mpinzani wa CCM mwenye akili timamu na msimamo. Wote ni njaa tu inahangaisha.

Akili zao ni sawa tu na wale mbwa wengine wanaoiuza nchi.
Kwa tamaa ya kuolewa na Waarabu kwa sababu ya uvivu unaona kama Wapinzani hawana lolote.
 
Magufuli alituchapa viboko tukiwa ndani ya ardhi yetu kwa muda, huyu wa sasa ametuletea nyapara wajomba zake toka Arabuni waje kutuchapa viboko ndani ya ardhi yetu milele.

Kwa hali hii kumkumbuka Magufuli ni haki.
Dah
 
Wasukuma hawana uhusiano na sukuma gang. Mimi nilimchukia na sababu ninazo. Ww sukuma gang maana alikupa kazi ya kuteka watu kwenye lile kundi lake la watu wasiojulikana, unaweza kumuona ni mzuri.
Kamanda unanivunjia heshima kamanda mwenzako
 
Too late... Na hiyo ndiyo tabia ya kimasikini.... Akiibuka mtu kwenye familia ana bidii katika Kazi watesema maneno ya KILA aina... Watamuendea KWa waganga wa KILA aina... Sababu ya ambayo kwao ni yamsingi.. eti wanaona anaringa kisa anabidii katika Kazi na ana mafanikio... Haya wamempiga vita kafa... Wataanza vimaneno eti angekuwepo fulani angetusaidia hili... Mara angetusaidia kile.... Na Hapo muda haurudi nyuma tena ndo una yoyoma....
 
Wewe ni mamluki, mwenye akili ya kupandikizwa...Sijasema popote pale Hayati Magufuli asafishwe ndio nione CHADEMA ni chama halali, isitoshe sijasema popote au kwa kuaminisha au kuashiria kuwa CHADEMA sio chama halali.
Usijaribu kujificha kwenye chaka lako la uongo kuhalalisha kwa nini unaniparamia na matusi yako na matusi dhidi ya CCM....na Watanzania kwa ujumla.
Kwa kifupi hujitambui ni kwanini unapandikiza maneno potofu na unakinzana na CHADEMA, huku ukiaminisha umma kuwa wewe ni CHADEMA isitoshe Wananchi walikuwa hawahitaji mada hii au uzi huu kuelewa Msimamo wa CHADEMA kuhusu suala hili....Kwamba Hayati Magufuli hahusiki na Mkataba huo wa Hovyo na wala Asingeridhia,au Kuukubali Bandari ibinafsishwe kwa Mabeberu.
Vilevile, ni kuwa, katika suala hili linalohitaji mshikamano na mshikamano thabiti wa Watanzania wawe wanatoa maneno ya kuzodoa , kukubehi, na kubeza kama wewe na genge lako mnavyofanya. Yaani ni dhahiri hauko hapa kwa masilahi ya Mtanzania kama unavyotaka kuaminisha, kwani ungesha elewa kuwa alilosema Lissu aliyemiminiwa Risasi lukuki lina mshiko kuliko maneno yako na genge lako yaliyojikita kutafuta kila mwanya unaotokea, kuenda kutafuta kila sababu kujaribu kuwatenganisha Watanzania walioshikamana! Tambua hilo.
Mtashindwa na mlegee
 
Mama ni chaguo la MWENDAZAKE Sukuma gang pure.
Narudia, mmepata mwanya wa kuendeleza yale yaliyowaleta hapa, nayo ni likitokeapo mwanya wa kuzodoa kubeza kukejeli na kudhalilisha Jamii ya Mtanzania, mnafanya hivyo! Ni dhahiri mashambulio yenu ni kwa wale wanaotafuta suluhisho la umoja na mshikamano wa Watanzania. Ukijisoma hapa utaona Umejikita kubeza Jamii na kabila la Wasukuma kwa lengo la kupandikiza siasa za utenganishi na ubaguzi. Umejikita kwenye Uchonganishi. Itoshe kusema, upo hapa kuwashangilia Waarabu! Mtashindwa na mlegeee
 
Tunamkumbuka sana Jembe letu, a.k.a Chuma. Huyu baba kweli alikuwa kifaa. Sasa ndio tunatambua hilo, kwa kulinganisha na hali iliyopo wakati huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…