Tulimchukia Hayati Magufuli bila sababu za msingi, sasa tumetambua kuwa alikuwa sahihi, yanayofanyika sasa ni aibu

Tulimchukia Hayati Magufuli bila sababu za msingi, sasa tumetambua kuwa alikuwa sahihi, yanayofanyika sasa ni aibu

Wewe ni Empty Head ,JPM alikuwa na mazuri yake na alikuwa pia na mabaya yake vile vile na ndiyo maana mchungaji akipoteza kondoo mmoja ataacha wale 99 kwenda kumtafuta mmoja bila kujali hao 99 watakuwa kwenye hali gani.

Ukitenda 99 ukaja kuharibu 1 lazima watu waseme ,so haizuii CDM kusema mazuri ya JPM kwa kipindi hiki cha DP WORLD.

Tangu enzi za Jiwe yupo hai nilishasema kuna mambo aliyafanya mazuri ambayo yaligusa wananchi na kuna mengine yaliumiza watu.
Tatizo letu sisi kama wananchi hatuna tunachofanya ili kubadili au kupata tunayo yataka, kazi yetu kuishia kuongea tu humu mitandaoni basi. Hivi kama kweli Magufuli alikuwa antesa na kuuwa watu ndio tuseme hayo yalikuwa mapungufu yake hivyo tuliacha tu kwa sababu kila mtu ana mapungufu yake na sasa tunasema Samia anauza nchi bado tunaacha na kuishia kulalamika na kuyapokea kama mapungufu yake?
 
Magu alikuwa Rais mzuri na mwenye vision kwa kiasi fulani kosa alilolifanya ni kuminya haki na uhuru wa watu ikiwa ni pamoja na kuteua baadhi ya wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ambao walikuwa wanafanya kazi kama viongozi wa genge la mamafia
Ndio ilitakiwa iwe hivyo,na hata mimi ningekuwa rais ningefanya hivyo.watanzania hatuna utii wa sheria,ili kuwanyoosha watanzania,ni lazima utumie nguvu.china ilijengwa kwa nguvu,singapole,malaysia,urusi,ufaransa.zimejengwa na viongozi wagumu na wenye misimamo migumu.democrasia na maendeleo ni mbingu na nchi.huwezi kupata maendeleo kwa kutumia democrasia,hata wewe leo lete democrasia kwenye familia yako,uwape uhuru wa kila mtu afanye kila analotaka,utaona! Familia itakushinda.
Anzisha kiwanda leo,halafu ruhusu democrasi,utafilisika.

Nchi ni familia,nchi ni kama kiwanda,mipango ya mkuu wa familia ndio itaiinua famila na taifa.
 
Siku ukija kuelewa kuwa Raisi ndio anatengeneza mfumo mzima kwa hao subordinates wake wafanyeje kazi ndio tutaelewana lugha. Hapa tutajaza server tu.

Huwezi kuwa kiongozi mbumbumbu ukategemea mambo yataenda vizuri kwa watu walioko chini yako. Taifa haliwezi songa mbele kama kiongozi hana vision kwa katiba tuliyo nayo.
Werevu wake umelifikisha Taifa hapa na hatuna wa kumlilia maana yeye alishamaliza kazi yake acha Mama Samiah na timu yake wafurahie kuisambaratisha nchi kama kitabu.Alianza na mbuga ya Ngorongoro akafanikiwa,akaja na Bonde la Usangu akashindwa,amekuja na la Bandari ameshinda 100% kwa hiyo tusubiri mengine katika nchi ya mababu zetu waje watu from nowhere kuja kutuendesha na kututawala.
 
Siku ukija kuelewa kuwa Raisi ndio anatengeneza mfumo mzima kwa hao subordinates wake wafanyeje kazi ndio tutaelewana lugha. Hapa tutajaza server tu.

Huwezi kuwa kiongozi mbumbumbu ukategemea mambo yataenda vizuri kwa watu walioko chini yako. Taifa haliwezi songa mbele kama kiongozi hana vision kwa katiba tuliyo nayo.

Mfumo wetu wa sasa Inategemea sana utashi, vision, mikakati, ufuatialiaji wake, na vipaumbele vyake, vitendo vyake, maneno yake hata akili zake.

Ukiongeza yuko juu ya Bunge, mahakama, katiba, anachagua, kuteua watu wote wa maana, ana kinga ya kutoshitakiwa ni mungu katika hii nchi.

Tunahitaji katiba mpya kujenga msingi mzuri.
 
Hawa wajanja waliopo madarakani leo aliwaweka Mbowe pumbavu?Huo si uzao wa mwendazake?Kwenye Serikali hiyo umemwona LISSU,ZITO KABWE,JOHN HECHE,EZEKIEL WENJE,MNYIKA,SUGU,MSIGWA,HAULE,SALUM MWALIMU,MBOWE,LEMA,MWAIPAYA,MDUDE je wana vyeo gani kwenye Serikali hiyo ya Magufuri?
Ujinga ni mzigo,wala hujishughurishi na kujua kile mwenzio amesema,weww unalipuka tu kama kichaa amekata kamba.changia maada baada ya kuisoma na kuelewa.
 
Tatizo letu sisi kama wananchi hatuna tunachofanya ili kubadili au kupata tunayo yataka, kazi yetu kuishia kuongea tu humu mitandaoni basi. Hivi kama kweli Magufuli alikuwa antesa na kuuwa watu ndio tuseme hayo yalikuwa mapungufu yake hivyo tuliacha tu kwa sababu kila mtu ana mapungufu yake na sasa tunasema Samia anauza nchi bado tunaacha na kuishia kulalamika na kuyapokea kama mapungufu yake?
Sasa si kila mtu anawaza familia yake. Mtatoboa vipi? 🤣 Ukianzisha movement wewe ndio utaonekana kituko mbele ya watanzania wenzio hao hao ambao wanalalamikaga🤣🤣🤣 ubinafsi, chuki na unafiki ndio kitu watanzania wanakiweza kwa 100%
 
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa, mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana
Umetambua wewe na nani? Mbona mi mpaka Leo namchukia kwa sababua alinifanya kuwa maskini Leo ndo angalau najikongoja
 
Wewe ni Empty Head ,JPM alikuwa na mazuri yake na alikuwa pia na mabaya yake vile vile na ndiyo maana mchungaji akipoteza kondoo mmoja ataacha wale 99 kwenda kumtafuta mmoja bila kujali hao 99 watakuwa kwenye hali gani.

Ukitenda 99 ukaja kuharibu 1 lazima watu waseme ,so haizuii CDM kusema mazuri ya JPM kwa kipindi hiki cha DP WORLD.

Tangu enzi za Jiwe yupo hai nilishasema kuna mambo aliyafanya mazuri ambayo yaligusa wananchi na kuna mengine yaliumiza watu.
Lipi alifanya jpm lika umiza wananchi?. Mimi silioni.nionyeshe wewe jamba alilofanya jpm la kujinufaisha yeye binafsu na kuwa umiza wananchi.

Tofautisha wanachi ns magenge ya kipigaji na uporaji alyokuwa akipambana nayo jpm.
 
This is too low to be called short sighted analysis. Mwasisi wa yanayoendelea sasa hivi ni Magufuli. Angeachia uchaguzi ukafanyika kwa uhuru angalau kwenye level ya ubunge basi tungekuwa na wabunge ambao wangesaidia. Pia alikataa mipango ya katiba mpya bila kujua/kujali concequences zake. Samia alikuwa anajulikana kabisa uwezo wake ni mdogo na ni loyal kwa wapiga deal hivyo likitokea la kutokea nchi itaingia kwenye crisis ya uongozi na ufisadi.
Hebu nitajie jambo moja ambalo upinzani umewahi kuzuia bugeni?,hoja ngapi za hovyo zimepitishwa bungeni kipindi cha kikwete na upinzani ukiwemo?. Acheni upumbavu.
 
Magu alikuwa Rais mzuri na mwenye vision kwa kiasi fulani kosa alilolifanya ni kuminya haki na uhuru wa watu ikiwa ni pamoja na kuteua baadhi ya wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ambao walikuwa wanafanya kazi kama viongozi wa genge la mamafia
Sasa Leo tumeteua genge la kimafia lakiarabu,
kipi bora?
Bakora za muarabu au bakora za Mswahili?
Tatizo tumejaa unafki na hatujui tunachokitaka
 
Ni huzuni kubwa na haya yanayotukuta nadhani ni masikitiko yake huko aliko.ila linalomipa moyo ni kuwa uwepo wake ulifungua akili za watanzania. Only what is needed is to go extra mile ,kuchukua hatua. Hilo ndo linakosekana
 
Back
Top Bottom