haha! ilipofeli hii nchi ni kuachia wenye nguvu kiuchumi kuwa na mamlaka yakufanya jambo!,kuna watu wamejificha kuchafua wanaoonekana kwa masirahi yao wenyewe vile wanavyotaka na sio kwamba hawajuani wanajuana lkn ni mfuko upo kwenye mfuko!.. it's like matrix!.
nashangaa sana wanaosema rais kuhusika na matukio haya moja kwa moja nachojua rais akimtaka mtu huwa ni chap na in a smart way!.
hawa wacheza ngoma ndo wanajipigia hutu tu singeli twao kuchafua mavazi..
hakuna serikali ikakosa changamoto,sasa sisi wananchi tunachotakiwa ni kupiga kelele serikali ifanyie kazi haya machangamoto haijalishi inakwaruana na nani!.