Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Ha haaa,ila Kuna majina mengine nayo ni changamoto sana japo mi nikigundua mtu kabadili jina namuona kama sio muaminifuIli awe na jina la kimjinimjini nakumbuka mwaka 99 kuna jamaa alihamia mkwajuni toka kwao Kondoa alikuwa anajiita Salim kumbe jina lake anaitwa Wasiwasi