mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,266
- 4,057
Kwanii au basiKijijini Matako Makubwa mjini Gentamycline
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanii au basiKijijini Matako Makubwa mjini Gentamycline
Stress za maisha zinachetua akili😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila watu wa JF[emoji114]Shida yenu huwa ni nini lakini?
Nakuona mtaalamu wa kula Ugali bila kunawaNipo hapa mtaalamu wa kula ugali bila mboga, mjini naitwa intelligent businessman🤒
Mtaalamu wa kula mboga bila chumviNipo hapa mtaalamu wa kula ugali bila mboga, mjini naitwa intelligent businessman🤒
Oya naona baada ya kumkosa Ms eyes ume amua kunipopoa😁🤣😂Nakuona mtaalamu wa kula Ugali bila kunawa
Halafu sielewagi maana ya huu mchezo,hata wadada na wakaka wa kazi wakifikaga mjini lazima wanabadili jina sielewi lengo haswa ni Nini?
Juliana anaitwa JojoSikitu anaitwa Judy
Mwenzagu 😄😄😄😄Wadada wanaanza kujiita Dee, Lee, Momo, Vee, Tee[emoji23]
Huko mjini Instagrams unakuta wanaanzia na official Vee[emoji38]