Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Bibi yangu ilikuwa akiwa kijijini analalamika kutelekezwa, akiletwa mjini analalamika mara kuna joto sana, mara tumemleta huku mjini kwenye joto tumemtelekeza mumewe anapigwa na baridi kule kijijini(hapo mumewe alishafariki hivyo hilo baridi anapigwa kaburini).
Mkimtembelea kijijini atawafurahia siku mbili tu ya tatu anawaambia mrudi msijefukuzwa kazi mkakosa pesa za kumtumia. Mkiondoka analalamika tena.
Mkimtembelea kijijini atawafurahia siku mbili tu ya tatu anawaambia mrudi msijefukuzwa kazi mkakosa pesa za kumtumia. Mkiondoka analalamika tena.