JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Mke huwa anakuwa ni mmoja tu, wengine ni michepuko iliyowekwa wazi na kuhalalishwa. Kwa lugha nyepesi wasaidizi wa mke halali sanasana katika suala la ngono na burudani kwa mwanaume.
Ukitaka kuamini tutafsiri maana ya neno Mke/Ndoa.
Kwa ufupi sisi wenye wake wawili na kuendelea tuna akili sana kuzidi ambao wasio na wake zaidi ya mmoja, zingatia hapa ya kuwa ukiondoa wale wenye sababu za kisheria.Natumai siku imeenda vizuri!
Moja kwa moja kwenye mada, katika jamii yetu ya Kiafrika kuwa na wake zaidi ya mmoja (ndoa ya mtaala) ni jambo la kawaida toka enzi. Changamoto iliyojitokeza ni ujio wa dini ambayo kwa kiasi kikubwa ilitumika kutuweka chini na tamaduni zetu hivyo wengi wetu walipojiunga na dini ya mkoloni husuani ukristu, waliona ni dhambi.
Kwa wengine sisi ambao baadae tulitambua upuuzi uliokuwepo nyuma ya pazia, badala ya kujificha eti una mke mmoja anayetambulika huku nje ya ndoa kuna vimada lukuki, tumeamua kujitokeza hadharani kuitetea huu utamaduni.
Mimi binafsi nina wake wawili, wanafahamina na hapa nipo mbioni kuongeza watatu na wanne ifikapo mwakani.
Ninapokutana na mwanamke, mimi nakuwa muwazi kabisa toka mwanzo hivyo anajua anaingia kwenye uhusiano wa aina gani.
Kuna changamoto nyingi tu kama mahusiano mengine ila mafanikio ya ndoa ya aina hii, mwanaume lazima uwe unajitambua, uwe na msimamo, usiwe mbaguzi, kulinda heshima ya wake zako, usiongee madhaifu ya mke A na mke B.
Hebu wengine tuoeane maujuzi.
Uzi tayari.
Ya kiislamu inasemaje boss? Na isiyo ya kidini inasemaje?Hii ni tafsiri ya kikristu.
Yeyote ambaye yupo kwenye ndoa ni mke. Mchepuko ahusiani na ndoa kabisa. Msijitie ujinga usio kuwa na haja.Mke huwa anakuwa ni mmoja tu, wengine ni michepuko iliyowekwa wazi na kuhalalishwa. Kwa lugha nyepesi wasaidizi wa mke halali sanasana katika suala la ngono na burudani kwa mwanaume.
Ukitaka kuamini tutafsiri maana ya neno Mke/Ndoa.
Kwa ufupi sisi wenye wake wawili na kuendelea tuna akili sana kuzidi ambao wasio na wake zaidi ya mmoja, zingatia hapa ya kuwa ukiondoa wale wenye sababu za kisheria.
Waarabu na watu wa pwani wanaweza kwa kutumia majini na madawa tu kuwathibithi wanawake, hata hivyo vijana wengi walioonywa wakashindwa au walioingizwa king na tamaa za wanawake hao ambao wameolewa kwa tamaa tuu, vijana wengi ama wamekuwa machizi, wagojwa wa kudumu ama wengine wamekufa kabisa kimizengwe, tunaoishi mikoa ya pwani tunalijua hili
Ndoa ni nn mkuu? Tafsiri yake. Maana isije ikawa tunapishana tafsiri. Tukikubaliana kwenye tafsiri basi tunaweza kukubaliana au kutokukubaliana au kukubali kuwa kila mtu yupo sahihi kulingana na tafsiri yake.Yeyote ambaye yupo kwenye ndoa ni mke. Mchapuko ahusiani na ndoa kabisa. Msijitie ujinga usio kuwa na haja.
Mke wa pili ni mke na watu ni mke na wanne ni mke kadhalika. Sababu kuwepo kwao ni matokeo ya ndoa.
Unamaanisha mtoa mada alipie tangazo au[emoji848]Hii sredi imekaa kimtego mtego sana.
Ina malengo.... Akina Dada stukeni [emoji16][emoji16]
Ha ha ha....Thread 'Mwaka wa kwanza wanaripoti UDsm na Ardhi lini?' Mwaka wa kwanza wanaripoti UDsm na Ardhi lini?
Hebu piga shule kwanza dogo.
Karucee nakupenda sana we dada, naomba uwe mke wangu wa piliHii sredi imekaa kimtego mtego sana.
Ina malengo.... Akina Dada stukeni [emoji16][emoji16]
Hawa michepuko wanajuana?To be honest,
Nna MKE mmoja na michepuko wawili.
Hawa michepuko wangu wawili wote ndugu wa familia moja, ila mmoja ndio mwizi wa mwezie.
Nafurahi coz wanawake wote watatu Nawamudu vizuri na maisha yanasonga kwa amani na upendo sana[emoji4]
Ukimpata mke mwenye career yake hatakusumbua kwa pesa za matumizi ila mwenyewe utatimiza majukumu unayomudu.Wanaume wengi tunataman sana kuwa na wake wawil tatzo n gharama za maisha kwasasa zmekuwa kubwa mno
Ila kulifanikisha hili nko nasaka mke wa pili mwenye matatizo ya uzazi ambae hawez kuzaa,ili nipunguze hz pasua kichwa za ada za mamilion za watoto
Mdogo mtu anamwibia dada ake, ila dada mtu hajui khs ili kabisa.Hawa michepuko wanajuana?
Unalea bomu la nuclear ndani, hili likilipuka hakuna fire extinguisher 🧯 itakayo uweza huu moto. Na kukiwaná majeruhi ni bahati.Mdogo mtu anamwibia dada ake, ila dada mtu hajui khs ili kabisa.
Dada mtu Anajua yeye ndo Mchepuko wangu wa pekee tu[emoji4]