Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakai pamoja,Unalea bomu la nuclear ndani, hili likilipuka hakuna fire extinguisher [emoji3462] itakayo uweza huu moto. Na kukiwaná majeruhi ni bahati.
Uzoefu wa nini mkuu. Mimi nina mke mmoja tu na watoto wanne. Anatosha. Najua kuutiisha mwili wangu aiendeshwi na tamaa za mwili mkuuLeteni uzoefu
Bora nyie mna fursa hizo, sisi wakatoriki dini inatubana mnoBinafsi ninaye mmoja Ila mawazo yangu. Napenda niwe na mke mwanza tayari yupo,saivi nipo katavi nahitaji jiwe na mke huku Mana nawaza kumiliki ekari kadhaa like 500+, Arusha napenda mke wangu awepp,dodoma,morogoro,na dar na Tarime ,kigoma pia awepo. Wake wangapi hao pigeni hesabuni wenyewe.
Kuna mzee mmoja Ana wanawake 12 yaani Ana vijana chungu nzima.
Wakiamua kukusanyika kufanya Jambo wao wenyewe hawahitaji kampani yoyote Ile ujue.
Yaani napenda swaga za akina mswati na Suleiman na huyo mzee.
Binafsi napenda nimiliki wake kumi basi angalau kila mmoja minimum watt sita sita ,piga hesabu Nina madarasa mangapi.
Mie kazi yangu ni kuwaboost mama zao wanapambana.
Mfano hapa katavi Kuna nesi naongea naye kazi yangu ni kumfungulia duka la dawa basi nimemaliza anaikuza familia nayompa.
Yaani mpanda lazima niwe na mke niombeni jamani.
Afu nimesahau na Tabora.
Yaani napenda Sana
Huwezi kumsimamia kama unavyo msimamia mchepuko. Yaani huwezi kumlinganisha mke na mchepuko.Tuna ujuzi wa kumanage wanawake na mihemko yao kuliko wale walio na mke mmoja. Inahitaji akili ndefu kumanage wanawake husuani wakiwa wengi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbavu sinaNa sisi wenye mume zaidi ya mmoja tinakutana wapi ndugu mwenyekiti?
We cheka tu uongeze maisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbavu sina
Oa zaidi ya Mmoja wewe, usikubali.....Bora nyie mna fursa hizo, sisi wakatoriki dini inatubana mno
Unaishia kuchepuka tu[emoji4]
Wee ndio binamu yangu pekee ulobakia kunipa furaha maishani[emoji4]We cheka tu uongeze maisha
Mila na desturi haziruhusu hii....sanasana kuna majina watawaita huko mitaani....Na sisi wenye mume zaidi ya mmoja tinakutana wapi ndugu mwenyekiti?
Acha sisi tuwachore tu japo tunajua tunao zaidi.Na sisi wenye mume zaidi ya mmoja tinakutana wapi ndugu mwenyekiti?
Mkuu usifungwe na tamaduni za magharibi ama za mashariki za Kati. Mie naishi ki afrika halisi.Bora nyie mna fursa hizo, sisi wakatoriki dini inatubana mno
Unaishia kuchepuka tu[emoji4]
Mkuu usifungwe na tamaduni za magharibi ama za mashariki za Kati. Mie naishi ki afrika halisi.
So mie hapa nafuata tamaduni za kiafrika.
Mbona wazungu wao wanaachana ama kutalikiana kila kukicha. Dini Ina malengo yake Mana waliileta ili kutulainisha kutuibia tukiwa walaini