Tulio na wake zaidi ya mmoja, tukutane tubadilishane uzoefu

Tulio na wake zaidi ya mmoja, tukutane tubadilishane uzoefu

Tuliza mzuka sasa watakusikia

Ila Mkuu wake watatu wote wa kazi gani...?? kuna ulazima gani wa kufuga wote...

Kwanini usichukue sample moja tu,,, zingine uendelee nazo chini ya maji
 
Ila Mkuu wake watatu wote wa kazi gani...?? kuna ulazima gani wa kufuga wote...

Kwanini usichukue sample moja tu,,, zingine uendelee nazo chini ya maji

Alafu hao wengine niwaache wakajiuze Ambiance?

Ninawamudu hawa kwa kipato wanakuwa wamejihakikishia na watoto wao, eneo la makaburi ya kuwazika na mimi huku ninakuwa na uhuru wa matobo bila kujificha.

Kidume nazungukia lindo zangu kwa raha zangu!
 
Naona nyie kikundi cha Wanaume wenye furaha zaidi duniani

Mmeamua kuanzisha uzi wenu.


Soon na mimi naweza kukaa chini Na mke wangu nikamwambia nina mpango wa kuwa na mke mdg japo sitamuoa kwa ndoa maana mi ni mkristo ila nitamtambulisha km mke mdg nakupa haki zote kama mke mdogo.

Mke mmoja ni uongo na ubatili,babu zetu hawakuwa wapumbavu km tunavyodhani na soon tutaelewa kuwa babu zetu walikuwa na busara kutuzidi sisi.

Note:Wadogo zangu oeni ili mjue kwanini mke mmoja hatoshi,ukiwa kwenye uchumba utaona anatosha na ata-act km anatosha Siku utakayo thubutu kuoa ndo utajua busara ya babu zako wazaa babu zako kwamba mke mmoja atoshi.

Nasapoti mada kwa kusoma comment kujifunza namna ya kudeal na wake wawili.

Mke mmoja ni pasua kichwa asikuambie mtu.
 
Upendo haugawanyiki..sanasana utaishia kuumiza mmoja Kati ya hao wawili na nyongeza inayofuatia

Hakuna usawa, kila mmoja anapata haki yake ila sio kweli kuwa zitakuwa sawa.
 
Kabla hajaoa hao wake wawili ,watatu na kuendelea hakikisheni

1. Hauna wivu wakijinga ndioo najua unajua wakat wa mambo ya zamu na nini utasaidiwa tuuu au mke mwingine dar wmingine dodoma tegemea tu kusaidiwa majukumu.

2.Kipato cha uhakika la sivyo cha moto utakiona.
3. Ujiweze kitandan sio upo upo tu halafu unawaza kuoa ndugu yangu utalia.
 
Siwezi kuoa wanawake wawili maana naonaga usumbufu kupigiwa pigiwa sim hovyo hovyo pia arguments zinakua azikauki Ni kuchosha akili tu .. Mimi ata madem nilazima niachane na mmoja ili niwe na mwengine ..sababu nashindwag ku pretend upendo..
 
Mkuu usifungwe na tamaduni za magharibi ama za mashariki za Kati. Mie naishi ki afrika halisi.
So mie hapa nafuata tamaduni za kiafrika.
Mbona wazungu wao wanaachana ama kutalikiana kila kukicha. Dini Ina malengo yake Mana waliileta ili kutulainisha kutuibia tukiwa walaini
Naunga mkono hoja
Ufungwe minyororo duniani bila kuifurahia dunia. Tuishi tunavyoona inafaa
 
Hawakai pamoja,
Dada mtu ndo Mchepuko wangu permanent, nmempangia mbali uko.

Mdg Ni mwanachuo, ila kapangisha chumba uraiani jiran na chuo.

Ila wote wako hapa hapa town[emoji4]
Dunia haina siri brother endelea kulea kitoto cha simba ukidhani nyau! Yakikukuta uje utusimulie uwe shamba darasa
 
Binafsi ninaye mmoja Ila mawazo yangu. Napenda niwe na mke mwanza tayari yupo,saivi nipo katavi nahitaji jiwe na mke huku Mana nawaza kumiliki ekari kadhaa like 500+, Arusha napenda mke wangu awepp,dodoma,morogoro,na dar na Tarime ,kigoma pia awepo. Wake wangapi hao pigeni hesabuni wenyewe.
Kuna mzee mmoja Ana wanawake 12 yaani Ana vijana chungu nzima.
Wakiamua kukusanyika kufanya Jambo wao wenyewe hawahitaji kampani yoyote Ile ujue.
Yaani napenda swaga za akina mswati na Suleiman na huyo mzee.
Binafsi napenda nimiliki wake kumi basi angalau kila mmoja minimum watt sita sita ,piga hesabu Nina madarasa mangapi.
Mie kazi yangu ni kuwaboost mama zao wanapambana.
Mfano hapa katavi Kuna nesi naongea naye kazi yangu ni kumfungulia duka la dawa basi nimemaliza anaikuza familia nayompa.
Yaani mpanda lazima niwe na mke niombeni jamani.
Afu nimesahau na Tabora.
Yaani napenda Sana
Kwa baba yako mmezaliwa wangapi?
 
Back
Top Bottom