Tulio na wake zaidi ya mmoja, tukutane tubadilishane uzoefu

Tulio na wake zaidi ya mmoja, tukutane tubadilishane uzoefu

Waarabu na watu wa pwani wanaweza kwa kutumia majini na madawa tu kuwathibithi wanawake, hata hivyo vijana wengi walioonywa wakashindwa au walioingizwa king na tamaa za wanawake hao ambao wameolewa kwa tamaa tuu, vijana wengi ama wamekuwa machizi, wagojwa wa kudumu ama wengine wamekufa kabisa kimizengwe, tunaoishi mikoa ya pwani tunalijua hili
Aisee
Hii ni kweli,nilishamsikia mtu 1 anasema wanatumia majini sbb kikawaida hivi haiwezekani kuwa na mke zaidi ya mmoja!halafu eti wale wanawake wakaelewana,hakuna kitu kama hicho!
Mungu mwenyewe ana wivu sembuse mwanadamu?!
 
Upendo haugawanyiki
huwezi kugawa hisia sawa kwa wanawake wengi hivyo upendo ni kwa mwanamke mmoja
Mkuu, kama upendo haugawanyiki basi Mungu agempenda Ibrahim au Musa au Yesu pekeyake... Sisi wengine asinge tupenda.
 
Oeni wanaume muwastiri wanawake wasio na ndoa
 
Mungu na binadamu wanafanana?
acha kujifananisha na Mungu
kifupi ni kwamba upendo wa eros wa kibinadamu haugawanyiki
Write your reply...
 
Ndoa za wanawake wengi ukiingia kichwakichwa huchelewi kufanywa ndondocha, kila mwanamke anavutia kwake kwa mbinu anazojua mwenyewe.
Utapoteza maisha mapeema, hao wanawake wa hiyo dini wenyewe wenye akili timamu huwa hawaridhiki hata siku moja kuongezewa mwingine ambapo kiasili lazima kipya kinyemi kitapata upendeleo hawa wa zamani wanabaki kulindwa na technolojia kutoka uarabuni... dada wewe kijana jipitishe kwa kao wanawake watakuchekea kwa sababu wanahitaji jichomeke hapo ndio uone shughuli ya jeshi utaanza kuongea lugha ambazo hujafundishwa
 
Upendo haugawanyiki..sanasana utaishia kuumiza mmoja Kati ya hao wawili na nyongeza inayofuatia
 
Kama kuna ulazima wa kuoa mke zaidi ya mmoja, basi hakikisha una uwezo wa kujenga boma watakaloishi wote...! Sio mmoja yupo kigamboni mwingine kimara
 
Kama kuna ulazima wa kuoa mke zaidi ya mmoja, basi hakikisha una uwezo wa kujenga boma watakaloishi wote...! Sio mmoja yupo kigamboni mwingine kimara

Mimi wa kwangu wanaishi kwenye boma moja.
 
Kupeperusha vipepeo anavotega mleta uzi haitakusaidia lolote wewe Mwanamke...

Huyu anataka mke kabisa,,so watakaonasa The future is bright.

Tuliza mzuka sasa watakusikia
 
Naona nyie kikundi cha Wanaume wenye furaha zaidi duniani

Mmeamua kuanzisha uzi wenu.


Soon na mimi naweza kukaa chini Na mke wangu nikamwambia nina mpango wa kuwa na mke mdg japo sitamuoa kwa ndoa maana mi ni mkristo ila nitamtambulisha km mke mdg nakupa haki zote kama mke mdogo.

Mke mmoja ni uongo na ubatili,babu zetu hawakuwa wapumbavu km tunavyodhani na soon tutaelewa kuwa babu zetu walikuwa na busara kutuzidi sisi.

Note:Wadogo zangu oeni ili mjue kwanini mke mmoja hatoshi,ukiwa kwenye uchumba utaona anatosha na ata-act km anatosha Siku utakayo thubutu kuoa ndo utajua busara ya babu zako wazaa babu zako kwamba mke mmoja atoshi.

Nasapoti mada kwa kusoma comment kujifunza namna ya kudeal na wake wawili.
 
Back
Top Bottom