Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
AiseeWaarabu na watu wa pwani wanaweza kwa kutumia majini na madawa tu kuwathibithi wanawake, hata hivyo vijana wengi walioonywa wakashindwa au walioingizwa king na tamaa za wanawake hao ambao wameolewa kwa tamaa tuu, vijana wengi ama wamekuwa machizi, wagojwa wa kudumu ama wengine wamekufa kabisa kimizengwe, tunaoishi mikoa ya pwani tunalijua hili
🤣🤣🤣asante kwa kulitambua hilo....basi umesamehewa upon fulfillment of that conditionWee ndio binamu yangu pekee ulobakia kunipa furaha maishani[emoji4]
Ni wake pia🏃Sie wenye sexmates wawili tunaruhusiwa kuchangia?
Ndoa za wanawake wengi ukiingia kichwakichwa huchelewi kufanywa ndondocha, kila mwanamke anavutia kwake kwa mbinu anazojua mwenyewe.Nitaoa mke wa pili nikishampata mganga wa kunipa kinga ya. Ziada
Mkuu, kama upendo haugawanyiki basi Mungu agempenda Ibrahim au Musa au Yesu pekeyake... Sisi wengine asinge tupenda.Upendo haugawanyiki
huwezi kugawa hisia sawa kwa wanawake wengi hivyo upendo ni kwa mwanamke mmoja
Tuongeze sioMsilaze damu
Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji nisijali, Naona ametoka nje nasikia ananoa kisu nadhani anataka anichinjie kuku!Upo sahihi sana. Mke awe mmoja kwani ni mama yako.
Huo ni utamaduni wa kizungu ili kututawala wa africa
Utapoteza maisha mapeema, hao wanawake wa hiyo dini wenyewe wenye akili timamu huwa hawaridhiki hata siku moja kuongezewa mwingine ambapo kiasili lazima kipya kinyemi kitapata upendeleo hawa wa zamani wanabaki kulindwa na technolojia kutoka uarabuni... dada wewe kijana jipitishe kwa kao wanawake watakuchekea kwa sababu wanahitaji jichomeke hapo ndio uone shughuli ya jeshi utaanza kuongea lugha ambazo hujafundishwaNdoa za wanawake wengi ukiingia kichwakichwa huchelewi kufanywa ndondocha, kila mwanamke anavutia kwake kwa mbinu anazojua mwenyewe.
Ina malengo.... Akina Dada stukeni 😁😁