Tulio single tujuane

Hivi Kwanini lazima ishu iwe Ni pesa tu kwenye Mapenzi??
Hama huna pesa uwe romantic

Kuna watu hawana hela, hawana muonekano, hawako romantic sasa wa hvo unamsaidiaje kwa mfano,

Kuwa na kimoja wapoo ili mpenzi wako ajue ni wapi anajivunia kuwa na wewe sio upo upo tu[emoji23][emoji23][emoji23] akuvumilie mfukoni, akuvumilie chumban bado na barabarn awe na wasi wasi na wewe kuongoza oooh no no no no[emoji847][emoji847]
 
skuiz mtu akiskia pesa tu akili zinahama yuko radhi aliwe tako, ilimradi apate hizo pesa, na hii ni special kwa wanaoendekeza tamaa za pesa.
Muambie huyo kijana mwenzio aelewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu nae anadhan kuna mapenzi ya bureeh duniani, zaidi ya kutoka kwa mama lol.
Hahaaaa hatajua hajui hela kwanza[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji932]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…