[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu nae anadhan kuna mapenzi ya bureeh duniani, zaidi ya kutoka kwa mama lol.Ajui hyo muache[emoji23]
Hama huna pesa uwe romanticHivi Kwanini lazima ishu iwe Ni pesa tu kwenye Mapenzi??
Muambie huyo kijana mwenzio aelewe.skuiz mtu akiskia pesa tu akili zinahama yuko radhi aliwe tako, ilimradi apate hizo pesa, na hii ni special kwa wanaoendekeza tamaa za pesa.
Waaaaah! unalenga mule mule kwenye point yanguPesa ndiyo shina. Km hauna pesa na unapendwa. Ujue kuna msela anakusaidia
Hahaaaa hatajua hajui hela kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu nae anadhan kuna mapenzi ya bureeh duniani, zaidi ya kutoka kwa mama lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji932]Ndo hivyo Yan.
Mbaya zaidi mi nikipenda Napenda ile kweli, ila kila nikijaribu kuwaelewesha hawa viumbe (SIO kwa maneno tu mpaka kwa vitendo) hawanielewi naishia kuwa rejected naona labda Ni kwa vile Sina mvuto Wala ushawishi wa Aina yoyote kwa hawa viumbe.
Saivi nshachoka Sasa sitongozi Tena labda utokee muujiza akatokea mmoja anipende mwenyewe Kama nilivyo, na nahisi utakuwa ni muujiza wa karne!!
[emoji3526]Nawasoma mlio single, wengine tulitegemea tutakua single milele, ila JAH kafanya yake nimetoka kundini,
Kupendwa na kupenda ni raha bhana.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji3526]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hatareewh San lolHahaaaa hatajua hajui hela kwanza[emoji23]
Unaenda wap rudi hapa mada haijaisha wewe[emoji125][emoji125][emoji125]
Tatizo mimi sio single ni doubleUnaenda wap rudi hapa mada haijaisha wewe
Ooh unaweza kuwa uzoefu wenzio waogop a majukumuTatizo mimi sio single ni double
Watazalia nyumbani sio mbaya..Ooh unaweza kuwa uzoefu wenzio waogop a majukumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nayo ni fannyWatazalia nyumbani sio mbaya..
Lakini kwakuwa nyie mpo wengi kuliko sisi basi sisi ambao tuko double mkubali tuwape tulizo la moyo msiteseke na upweke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nayo ni fanny
Mmmh kuolewa na mume watu ni fanny piaLakini kwakuwa nyie mpo wengi kuliko sisi basi sisi ambao tuko double mkubali tuwape tulizo la moyo msiteseke na upweke
Nishirikishe mkuu[emoji23]Mie SINGLE zimejaa, soon naachia ALBUM
[emoji125][emoji125]Mmmh kuolewa na mume watu ni fanny pia