Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabu yote ya nini, sisi tupo.. Hatuna hata hayo mahusiano yaliyolega lega..Loneliness sucks! Sasa kama huku kwetu leo jua halijawaka kabisa imagine hiyo baridi yake eti huko single, huko tu hapo umekikaliza kumsubiri Mr right. Utachelewa dada [emoji38][emoji38][emoji38]
We tafuta mahusiano yaliolegea legea ujichomeke.
Salama wa salminTunaondelea na u single tuko salama ?
Karibu, jimbo lipo wazi, mh. KadondokaMitaani kwetu? Hapana kwanza sipendagi mahusiano ya karibu sana.hata hivyo nahisi hiyo ligi siiwezi nikishajua tu jimbo lina mgombea siangaiki[emoji23][emoji23][emoji23]
Hi makaveli! Upo single pia? 😒Stop
Let's go
Hi, hi
Dully Sykes
Tena singo ile singo yenyewe kabisa, nikipata show inabidi nipige na copy ili kufidia muda[emoji3]Hi makaveli! Upo single pia? [emoji19]
Hahaa tufyatue tu album yetu kwakweli! Babe am ready 😘Tena singo ile singo yenyewe kabisa, nikipata show inabidi nipige na copy ili kufidia muda[emoji3]
Ila we uhalisia unajua, we unataka kunipa colabo tufyatue albamu yetu na sisi!? [emoji2]
Loneliness sucks! Sasa kama huku kwetu leo jua halijawaka kabisa imagine hiyo baridi yake eti huko single, huko tu hapo umekikaliza kumsubiri Mr right. Utachelewa dada [emoji38][emoji38][emoji38]
We tafuta mahusiano yaliolegea legea ujichomeke.
Hahaa tufyatue tu album yetu kwakweli! Babe am ready [emoji8]
Poleee jmnHodiiiiiii hodiiii hodiii hodiiiii.
Nimeingia humu mazima mazima bila kujari. Yamenikuta hukooooo.
Nimerudi zangu wanachama, nipokeeni plzzzzz
Unishirikishe mkuuUsingo mwingi nakaribia kutoa albamu sasa.
We kamata maiki chana mistari tani yako.. Tunatia biti mwendo mchibuyu.Unishirikishe mkuu
Asante sana mkuu. Ama hakika mapenzi ni pasua kichwa. Natamn akili yangu irudi enzi za utotoni kipindi sikuwaza kuhusu mapenzi🤣🤣🤣 nahisi naweza kunenepa sanaaa.Poleee jmn
Sema shemeji
hahahahaha...eeh! Wewe je? Uko doubleBado mko single?