Tulio single tujuane

Tulio single tujuane

Hodiiiiiii hodiiii hodiii hodiiiii.
Nimeingia humu mazima mazima bila kujari. Yamenikuta hukooooo.
Nimerudi zangu wanachama, nipokeeni plzzzzz
 
Loneliness sucks! Sasa kama huku kwetu leo jua halijawaka kabisa imagine hiyo baridi yake eti huko single, huko tu hapo umekikaliza kumsubiri Mr right. Utachelewa dada [emoji38][emoji38][emoji38]

We tafuta mahusiano yaliolegea legea ujichomeke.
Tabu yote ya nini, sisi tupo.. Hatuna hata hayo mahusiano yaliyolega lega..
 
Mitaani kwetu? Hapana kwanza sipendagi mahusiano ya karibu sana.hata hivyo nahisi hiyo ligi siiwezi nikishajua tu jimbo lina mgombea siangaiki[emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu, jimbo lipo wazi, mh. Kadondoka

Ni mwendo wa kupita bila kupingwa[emoji3][emoji1]
 
Loneliness sucks! Sasa kama huku kwetu leo jua halijawaka kabisa imagine hiyo baridi yake eti huko single, huko tu hapo umekikaliza kumsubiri Mr right. Utachelewa dada [emoji38][emoji38][emoji38]

We tafuta mahusiano yaliolegea legea ujichomeke.

Apa kama uliandika ulijua ipo siku ntakuja kuisoma lool[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaa tufyatue tu album yetu kwakweli! Babe am ready [emoji8]

This is for my lady financial services
You are my first, my last n everything in between..

Siwezi elezea jinsi navyokuzimia
Nikicheza na moyo wako, nahisi nacheza na wangu pia, Nafsi yangu ilishapotea, siwezi hata kujitetea
Ka ulitoroka peponi uzuri ulivyokuenea
Piga la kushoto ntageuza na la kulia
Wengine hawanijaribu wanajua kitakachotokea.

Sitaki mambo yaende kombo na yakienda yawahi kurudi. Hatuendi nayo, hatuwezi shindwa, yaje na mapambio ikibidi.

Tayari una nusu ya moyo wangu, na nusu iloyobaki kwangu, Yote nakupenda wewe, We ndio michelle obama wangu.

Sijui uliumbwa muda gani!? ni mzuri MashAlaah, ukicheka mwanya fulani, akinuna utashangaa
Muda wote natamani
Niwe nawe kila saa
Nikwambie jinsi gani
Kwenye giza we ni taa
Chuchu msumali, figure nane sio Saba
Hatari hatari wacha anipe case murder
Akinikiss ni asali yaani she’s so beautiful
[emoji446][emoji449][emoji448][emoji450][emoji447][emoji441][emoji443]
 
Poleee jmn
Asante sana mkuu. Ama hakika mapenzi ni pasua kichwa. Natamn akili yangu irudi enzi za utotoni kipindi sikuwaza kuhusu mapenzi🤣🤣🤣 nahisi naweza kunenepa sanaaa.

Na ukweli kinachonifanya nisinenepe ni mapenzi mkuu😁
 
Back
Top Bottom