Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Haha basi sawaMpira tu,magomeni yote ilikutana pale hiyo ramli itapigwa saa ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha basi sawaMpira tu,magomeni yote ilikutana pale hiyo ramli itapigwa saa ngapi
Wewe na fujo zako zote kumbe ni mtoto mdogo tu? Asee1986😳...mama yangu aliniambia alikuwa darasa la 6 mwaka huo
Hapana mkuu,alinipata akiwa mdogo tu ...alipohitimu std 7 alipumzika mwaka mmoja tu akanipata😷Wewe na fujo zako zote kumbe ni mtoto mdogo tu? Asee
Hapo atleast tunaenda sawa miaka mitatu au nne mbele ya 1986 imekaa poa. Cha fujo weee.Hapana mkuu,alinipata akiwa mdogo tu ...alipohitimu std 7 alipumzika mwaka mmoja tu akanipata😷
Wewe ulikuwa jiran yangu mm niliishi sandali kwa Sasa ofs ya kata na kituo Cha afya kimejengwaMimi niliangalia Kombe la Dunia Mwaka 1990 pale Mikoroshini Maganga nyumbani kwa Mzee Omari Omari,Baba mzazi wa yule mwimbaji Marehemu wa Mchiriku na Singeli Omary Omary.
Kwa hiyo wewe ni katoto ka ujanani?Hapana mkuu,alinipata akiwa mdogo tu ...alipohitimu std 7 alipumzika mwaka mmoja tu akanipata😷
KabisaKwa hiyo wewe ni katoto ka ujanani?
HongeraKabisa
Hata Bakhresa kkoo mwaka huo alionesha pia mpiraSijui aisee ila stori za kijiweni eti yeye na nyerere pekee ndio walikuwa na hiyo kitu.japo zanzibar walianza kuwa na huduma ya TV kitambo