KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Mtoto mbichi sana kumbe wewe!.1986[emoji15]...mama yangu aliniambia alikuwa darasa la 6 mwaka huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto mbichi sana kumbe wewe!.1986[emoji15]...mama yangu aliniambia alikuwa darasa la 6 mwaka huo
Nimetoa maelekezo hapo juu kuwa alinizaa akiwa mdogoMtoto mbichi sana kumbe wewe!.
Hahaha!Messi akaja kuzaliwa 1987...hapo Tanzania nzima population haijafika milioni 20...
Maelezo yako hayabadilishi ubichi wako kwangu mimi![emoji16][emoji3][emoji23]Nimetoa maelekezo hapo juu kuwa alinizaa akiwa mdogo
Humu kumbe kuna watoto wadogo sana1986[emoji15]...mama yangu aliniambia alikuwa darasa la 6 mwaka huo
Nimetoa maelekezo hapo juu kuwa alinizaa akiwa mdogoMtoto mbichi sana kumbe wewe!.
😂😂😂sawa bhanaMaelezo yako hayabadilishi ubichi wako kwangu mimi![emoji16][emoji3][emoji23]
Jaman,mi ni mkubwa alinizaa akiwa na umri mdogoHumu kumbe kuna watoto wadogo sana
Na Ile o ya usharobaro bonge la tozi Fulani hivi, I was 12yrs enzi hizo nina kipaji hatari natrain na Akina Bahati Mwaipopo, Willy Njau, na wakali kadhaa wa ligi kuu, niko primary hapo mlima reli acha kbsa. Nawambiaga watu siku hizi kuna bonanza football haipo tena, we used to watch football kila nchi ulaya na ligi zake talented players walikuwa hawahesabikiBagio alivyopaisha ile penati mpaka leo simsahau
Siku hizi makocha hawataki mchezaji aonyeshe skills zake,wanataka afuate maelekezo ,wanaharibu radha ya mpiraNa Ile o ya usharobaro bonge la tozi Fulani hivi, I was 12yrs enzi hizo nina kipaji hatari natrain na Akina Bahati Mwaipopo, Willy Njau, na wakali kadhaa wa ligi kuu, niko primary hapo mlima reli acha kbsa. Nawambiaga watu siku hizi kuna bonanza football haipo tena, we used to watch football kila nchi ulaya na ligi zake talented players walikuwa hawahesabiki
World Cup iliondoka na Uhai Andrew Ascobar wa Colombia, alijifunga goli alivyorudi Colombia wahuni walimpiga risasi, unakumbuka kisa hikiSiku hizi makocha hawataki mchezaji aonyeshe skills zake,wanataka afuate maelekezo ,wanaharibu radha ya mpira