Tulioangalia Kombe la Dunia mwaka 1986 nyumbani kwa Sheikh Yahya Magomeni tukutane hapa

Tulioangalia Kombe la Dunia mwaka 1986 nyumbani kwa Sheikh Yahya Magomeni tukutane hapa

Huu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.

Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.

Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.

Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.

Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.

Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.
Aisee
 
Sisi wengine tuliangalia majumbani mwetu fainali ya 1978 kupitia TVZ (Television Zanzibar) ambapo Argentina ilikuwa ni mwenyeji na ndio iliyoibuka bingwa. Huku washabiki wao waki chant " AARGENTINAAA AARGENTINAAA AARGENTINAAA"
Baada ya Kum bamiza Uholanzi 3-1
Hata mitaani watoto wakishinda kwenye chandimu ndio ilikuwa chant yao hiyo.
Kichaa wewe
 
Sijui aisee ila stori za kijiweni eti yeye na nyerere pekee ndio walikuwa na hiyo kitu.japo zanzibar walianza kuwa na huduma ya TV kitambo
Zanzibar walikuwa na Tv mwaka 1973 kama sijakosea , nadhani ndio ilikuwa Tv ya kwanza ya rangi kwa afrika .
Sheikh yahya alikuwa anatumia digital receiver , free to air broadcast ambazo ilikuwa ni muhimu uwe na dish kubwa linalozunguka.kutafula free to air satelites.
 
Huu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.

Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.

Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.

Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.

Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.

Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.
Hongera mkuu!

We wa kitambo Sana aiseh!!
 
Zanzibar walikuwa na Tv mwaka 1973 kama sijakosea , nadhani ndio ilikuwa Tv ya kwanza ya rangi kwa afrika .
Sheikh yahya alikuwa anatumia digital receiver , free to air broadcast ambazo ilikuwa ni muhimu uwe na dish kubwa linalozunguka.kutafula free to air satelites.
Kumbe
 
Hongera mkuu....mimi kombe la Dunia la kwanza kuangalia ni 2002 na nilikuwa darasa la 4..mpira inachezwa saa4 asubuhi mida ya mapumziko.
 
Hongera mkuu....mimi kombe la Dunia la kwanza kuangalia ni 2002 na nilikuwa darasa la 4..mpira inachezwa saa4 asubuhi mida ya mapumziko.
Si haba na weww umekula chumvi
 
Huu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.

Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.

Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.

Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.

Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.

Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.

Mwaka huo Tabata nzima bar ziko mbili tu,Camp bar na Hai bar
Amazing flashback asante sana Mkuu, by then I was na infant baby of just 4 years
 
Alikuwa mpigaji tu ila kwa miaka hiyo alikuwa na pesa chafu sana, mtoto wa mjini mzee yule.
Alisema Rais wa 2005 atakuwa mmama, ilipofika uchaguzi akawa mwingine, watu wakamuuliza mmama uliyemtabiria yuko wapi? Akawajibu huyo mliyempata hamuoni ana sura nzuri ina mvuto, tena hana hata ndevu!!!
 
Mkuuu hongera aiseee umeshuhudia kidogo mengi,mimi nimeanza kuangalia WC 1998 wakati huo nipo drs la tano.Zidane,Viera Mungu azidi kiuwalinda
 
sijaelewa alitabiri nini !
Alisema Rais wa 2005 atakuwa mmama, ilipofika uchaguzi akawa mwingine, watu wakamuuliza mmama uliyemtabiria yuko wapi? Akawajibu huyo mliyempata hamuoni ana sura nzuri ina mvuto, tena hana hata ndevu!!!
 
Siye tulikuwa viunoni sawa......haya mjiandae kufa.......maana najua SASA presha visukari na magonjwa ya kizee yako jiraani yako
 
Huu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.

Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.

Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.

Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.

Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.

Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.

Mwaka huo Tabata nzima bar ziko mbili tu,Camp bar na Hai bar
Wale tulioanza kucheki World Cup mwaka 1994 pale Magomeni Agip tukutane hapa
 
Back
Top Bottom