Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Ww pia ni muhenga mwenzangu
Kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww pia ni muhenga mwenzangu
Alikuwa kiunoni badoHongera sana Mkuu sababu ni kitambo sana yaani .
Naona dogo OKW BOBAN SUNZU huu uzi anaupitia kwa mbali. 🤣🤣
Hongera sana Mkuu sababu ni kitambo sana yaani .
Naona dogo OKW BOBAN SUNZU huu uzi anaupitia kwa mbali. 🤣🤣
Namshukuru Rabana kwa pumzi na umri huu mrefu si habaHongera sana Mkuu sababu ni kitambo sana yaani .
Naona dogo OKW BOBAN SUNZU huu uzi anaupitia kwa mbali. 🤣🤣
Kabisa yaani hapo hamna budi kumshukuru.Namshukuru Rabana kwa pumzi na umri huu mrefu si haba
Wewe wa lini mpaka uniite mimi dogo 🤣🤣 ila hapo maza alikuwa maternity ward kidume nasubiri kuzaliwaHongera sana Mkuu sababu ni kitambo sana yaani .
Naona dogo OKW BOBAN SUNZU huu uzi anaupitia kwa mbali. 🤣🤣
Ohooo. Mie age go.Wewe wa lini mpaka uniite mimi dogo 🤣🤣 ila hapo maza alikuwa maternity ward kidume nasubiri kuzaliwa
Hongera Sana kwako mkongwe. Nakiri kwamba umenizidi fainali moja tu katika maisha yangu. Mungu kanijalia kuangalia Kombe la Dunia Tangu fainali za 1990, Argentina ikifungwa na German Kwa penalty ya dakika za mwisho iliyopigwa na Andreas Brehme. Argentina wakipinga penati hiyo Kwa Muda mrefu wakiongozwa na Maradona. Watu wengi wakiamini kocha atamteua Lothar Matheus kupiga penalty ile, ghafla kocha anamwita pembeni wakati Argentina wakiendelea na ubishi na kumwagiza penalty ipigwe na Brehme.Huu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.
Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.
Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.
Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.
Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.
Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.
Mwaka huo Tabata nzima bar ziko mbili tu,Camp bar na Hai bar
Gary Lineker, a fair play player ever.Ile Argentina ya kina batista, huyu alikuepo jana
Maradona aliibuka mchezaji Bora 1986
Kuna mwamba anaitwa Gary lineker wa uingereza[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nakumbuka mwaka huo na Wasomali walitunga wimbo kuwasifu ArgentinaSisi wengine tuliangalia majumbani mwetu fainali ya 1978 kupitia TVZ (Television Zanzibar) ambapo Argentina ilikuwa ni mwenyeji na ndio iliyoibuka bingwa. Huku washabiki wao waki chant " AARGENTINAAA AARGENTINAAA AARGENTINAAA"
Baada ya Kum bamiza Uholanzi 3-1
Hata mitaani watoto wakishinda kwenye chandimu ndio ilikuwa chant yao hiyo.
Nafaidika na nini. Kwani kuna posho ya wenye umri mkubwa? Leo mechi ya Yanga mnaogopa kuleta uzi. Vepe hamna uhakika na bahasha?Ohooo. Mie age go.
Acha kamba weweee. 😂
Mwaka 1990 luninga zilishaanza kuwa nyingi, halafu anaibuka mjinga mmoja anasema Mzee Ruksa hakufanya kitu.
Mwaka 1986 hata mwaka ulikuwa haujatimia tangu Mwinyi aingie madarakani ndio maana hali ilikuwa hivyo.
Tumetoka mbali
Hiyo mechi naikumbuka ilikuwa ni kama kipindi cha pili cha fainali ya 1986 maana final contenders walikutana tena.enzi hizo mechi zilikuwa wa msisimko wa aina yakeHongera Sana kwako mkongwe. Nakiri kwamba umenizidi fainali moja tu katika maisha yangu. Mungu kanijalia kuangalia Kombe la Dunia Tangu fainali za 1990, Argentina ikifungwa na German Kwa penalty ya dakika za mwisho iliyopigwa na Andreas Brehme. Argentina wakipinga penati hiyo Kwa Muda mrefu wakiongozwa na Maradona. Watu wengi wakiamini kocha atamteua Lothar Matheus kupiga penalty ile, ghafla kocha anamwita pembeni wakati Argentina wakiendelea na ubishi na kumwagiza penalty ipigwe na Brehme.
We baki na mawazo yako ya bahasha tu ukija kutahamaki tumekuwa mabingwa tena.Nafaidika na nini. Kwani kuna posho ya wenye umri mkubwa? Leo mechi ya Yanga mnaogopa kuleta uzi. Vepe hamna uhakika na bahasha?
Uko sahihi. Ilikuwa ni kama marudio ya 1986 Mexico.Hiyo mechi naikumbuka ilikuwa ni kama kipindi cha pili cha fainali ya 1986 maana final contenders walikutana tena.enzi hizo mechi zilikuwa wa msisimko wa aina yake
Utakuwa ubingwa wa mchongoWe baki na mawazo yako ya bahasha tu ukija kutahamaki tumekuwa mabingwa tena.
We acha tu.Makwega7 kumbe ulikuwa wa kishua kitambo
Ukichaa wangu ni nini?Kichaa wewe
Na suruali za Van BastenDuuh kuna Jeans za zicco zilitoka kitambo.