Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Dish [emoji341] za TVTSheikh yahaya alikuwa anatumia kingamuzi gani?
Ama alikuwa na Dish lile kubwaaa jeusii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dish [emoji341] za TVTSheikh yahaya alikuwa anatumia kingamuzi gani?
Ama alikuwa na Dish lile kubwaaa jeusii
86 mbali kongole kwako umeshuhudia makombe mengiWe unalingana na mwanangu wa kwanza
Kutembea na chupi kichwaniUkichaa wangu ni nini?
Kumbe Mwamedi anaajiri chawa watoto wadogo wa 1990sWewe wa lini mpaka uniite mimi dogo [emoji1787][emoji1787] ila hapo maza alikuwa maternity ward kidume nasubiri kuzaliwa
Yaani Dar nzima mliangalia mpira ya Sheikh Yahaya!!!??? Au sijakuelewa!Huu uzi kuna watu watapita kama hawaoni maana wengi mwaka huo walikuwa viunoni mwa wazazi wao, wengine mlikuwa Sitimbi huko hamjui hata video ni mdudu gani.
Mwaka 1986 kulikuwa na fainali za Kombe la Dunia nchini Mexico, Germany Magharibi anapigwa 3-2 na Argentina, Argentina anachukua ubingwa. Bonge moja la mechi haijawahi tokea ila imefunikwa na mechi ya jana achana na Messi kuna mtu akiitwa Zicco unamkumbuka.
Kuna timu ya Uruguay walikuwa wanasifika kwa kucheza rafu mbaya hadi huku mtaani timu ikicheza rafu ikawa inaitwa Uruguay.
Kipindi hicho Dar nzima tunaenda Magomeni Mikumi kwa sheikh Yahya ndio alikuwa na hiyo video big screen mithili ya ukubwa wa kioo cha fuso.
Hii screen iliwekwa nje ya nyumba yake sehemu ya wazi watu tulijazana kama tuko Uwanja wa Taifa
pembeni amepaki range rover milango sita.
Huyu ndiyo alikuwa Don Dar nzima, Bakhresa kipindi hicho hajaanza hata kuuza mikate anauza icecream tu.
Mwaka huo Tabata nzima bar ziko mbili tu,Camp bar na Hai bar
Tuwekee picha tuone.Kutembea na chupi kichwani
Dishi la nini si alikua na majiniSheikh yahaya alikuwa anatumia kingamuzi gani?
Ama alikuwa na Dish lile kubwaaa jeusii
KIsukari ,presha, figo n.k wanaugua hadi watoto siku hiziSiye tulikuwa viunoni sawa......haya mjiandae kufa.......maana najua SASA presha visukari na magonjwa ya kizee yako jiraani yako
Hata kama Nyerere angeendelea kuwa rais, kipindi cha kuanzia mwaka 1990 ni lazima angeruhusu TV na bidhaa nyingine nyingi ambazo zilianza kuingia kipindi cha Mwinyi. Hiki kipindi ndicho mvutano wa vita baridi ulipoisha na ukuta wa Berlin kuanguka. Nchi nyingi zilizokuwa zinafuata siasa za ujamaa zililegeza mashartyi kwenye uingizji wa bidhaa na siasa kwa ujumla.Mwaka 1990 luninga zilishaanza kuwa nyingi, halafu anaibuka mjinga mmoja anasema Mzee Ruksa hakufanya kitu.
Mwaka 1986 hata mwaka ulikuwa haujatimia tangu Mwinyi aingie madarakani ndio maana hali ilikuwa hivyo.
Tumetoka mbali
Nyerere asingekzbalu ba alishaona dalili mapema ndio maana akang'atukaHata kama Nyerere angeendelea kuwa rais, kipindi cha kuanzia mwaka 1990 ni lazima angeruhusu TV na bidhaa nyingine nyingi ambazo zilianza kuingia kipindi cha Mwinyi. Hiki kipindi ndicho mvutano wa vita baridi ulipoisha na ukuta wa Berlin kuanguka. Nchi nyingi zilizokuwa zinafuata siasa za ujamaa zililegeza mashartyi kwenye uingizji wa bidhaa na siasa kwa ujumla.