Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Leo nimefika kituoni kwangu nikiwa na kitambulisho changu cha Taifa, nimesita kidogo kufika RCH station kwa ajiri ya kupata chanjo as bado nilikua sijaamua.
Nimefungua Computer yangu, nikapitia some notes on Chanjo then nikaamka fasta nikanyoosha RCH. Hakukua na folen, we were only about watu 7. Moyo ulikuwa unadunda duu duu duuuu, but hiari ikaishinda hofu. Ilipofika zamu yangu nilionesha kitambulisho, nikamaliza issues za usajili nikaenda mpaka kwa mdungaji, nikapekenya shati langu, nikakinga bega, akanipaka alcoholic cotton then akazamisha sindano na kusukuma kimiminika cha Johnson n Johnson!
After that nikasaini form ya kiapo, hapa nasubiria cheti changu tu cha kudhibitisha kuwa Nami ni mchanjwa!
Sijasikia chochote zaidi ya maumivu kidogo ya sindano (binafsi ni mwoga wa sindano) I am completely OK.
Je, wengine mlijisikiaje? Mlipata side effects gani?
Please, usinywe ulabu ndani ya masaa 72 baada ya chanjo!
Nawahimiza na wengine mkachanje maana Kinga ni bora kuliko tiba.
UPDATE: Jana usiku nilidevelop Homa kali na kuvibrate kama simu ya Nokia tochi (Homa ni kawaida unapochanjwa as inaashiria mwili unajenga Kinga)
Asubuhi hii nipo ok na nipo job napambana kutafuta mkate wa kila siku.
TUKACHANJE!
Nimefungua Computer yangu, nikapitia some notes on Chanjo then nikaamka fasta nikanyoosha RCH. Hakukua na folen, we were only about watu 7. Moyo ulikuwa unadunda duu duu duuuu, but hiari ikaishinda hofu. Ilipofika zamu yangu nilionesha kitambulisho, nikamaliza issues za usajili nikaenda mpaka kwa mdungaji, nikapekenya shati langu, nikakinga bega, akanipaka alcoholic cotton then akazamisha sindano na kusukuma kimiminika cha Johnson n Johnson!
After that nikasaini form ya kiapo, hapa nasubiria cheti changu tu cha kudhibitisha kuwa Nami ni mchanjwa!
Sijasikia chochote zaidi ya maumivu kidogo ya sindano (binafsi ni mwoga wa sindano) I am completely OK.
Je, wengine mlijisikiaje? Mlipata side effects gani?
Please, usinywe ulabu ndani ya masaa 72 baada ya chanjo!
Nawahimiza na wengine mkachanje maana Kinga ni bora kuliko tiba.
UPDATE: Jana usiku nilidevelop Homa kali na kuvibrate kama simu ya Nokia tochi (Homa ni kawaida unapochanjwa as inaashiria mwili unajenga Kinga)
Asubuhi hii nipo ok na nipo job napambana kutafuta mkate wa kila siku.
TUKACHANJE!