Kwanini wengi wenu mliochanjwa mnazungumzia madhara ya chanjo ya muda mfupi..? Mkishachomwa mnasema hamjaona mabadiliko yoyote!.
Ukichanjwa leo haimaanishi mabadiliko lazima uyaone leo inaweza chukua miaka!. Wengine wanakuja na hoja ati mbona tulichanjwa utotoni! Hawajifikirii ile chanjo ya utotoni zilipitia hatua nyingi mpk kukubaliwa tofauti na hizi za uviko 19 ambazo ni for your own risk even your government inaogopa kutiwa hatia na madhara utakayoyapata halafu wanakushawishi choma..[emoji28]
Hii statement ni ya kuangalia Sana tena sana. Kuna mahali huko nimeandika "dunia inahitaji strong people na intelligent" Kama taifa tunahitaji kuwa na wataalum wenye ujuzi wa kutosha na wenye uhakika na ujuzi wao,viongozi pia wawe na maamuzi yenye utimamu na uhakika wa muelekeo stahiki kwa staili hii ya kudungwa kimiminika toka nchi za nje ambacho hata serikali yako inakusainisha mkataba wa kutohusika kwa litakolokupata!,hili tayari ni doa kubwa sana hata huko marekani mpk wanapeana dollar mia ili ukubali kuchanjwa..[emoji23]
Mkuu chanja chanjo ya uviko kwa manufaa yako mwenyewe huu ugonjwa unakasumba nyingi sana kusema kweli.